Mantheman6
Senior Member
- May 30, 2020
- 169
- 143
- Thread starter
- #41
Mimi bange sivuti ila napenda harufu ya majani yake ule mmea umebarikiwa sana ni vile tu watu wenye fitna wanausema vibaya, ukweli ni kuwa bangi huwa inachochea sana katika kukamilisha nia uliyo nayo moyoni, moyo wako ukiwa na tamaa wivu na chuki bange inaenda kuchochea ile nguvu iliyo ndan yako ndo hapo unaenda kufanya mambo ya kipuuzi siku zote bange ni mbaya kwa watu wenye nia mbaya.
Lakin bange ukivuta kwa malengo ya kupambania maisha yako inaenda kuchochea na kuleta morali katika kile kilicho ndani yako kama ni kufanya ibada hakuna kipindi cha sala kitakacho kupita kama ni mtu mwema bas hata mambo ya kinafki na uchonganishi hautayataka kuyaskia kabisa Wana wanaweza kuleta stori za uchonganishi, ila we ukawa zako cool tu hata kuchangia mada huchangii kwakua tayar ilishakuchoche katika kile kilicho ndani yako ambacho ni amani.
Marasta wengi wale wa kweli ambao hawali nyama huwa hawawezi kushuhudia hata kuku akichinjwa huwa wanaumia sana moyoni kwakua Imani yake ni amani na upendo Sasa bange inaenda kuchochea kile kilicho moyon na hata utendaji wake unakua ni sahihi zaidi kwa 90% zaid ya yule ambae hatumii mmea.
Umeeleweka vyema sana ndugu