Mkuu, sikiliza tena hoja ya mgombea wetu kabla ya kufika mbali huko kwa CAG.Mbunge litakuwa limehusishwa endapo tu report ya ukaguzi itarudishwa bungeni.
Je report ya manununuzi ya ndege za ATCL imewahi kufanywa na CAG na kupelekwa bungeni??
Kwako unaona kuwa na ndege ni hasara!! Ndege inafaida nyingi sana zisizo za moja kwa moja kwanza ikiwa inasafiri kimataifa inajenga image ya nchi. Unaona Kenya na Ethiopia inajulikana sana duniani kwa sababu ya ndege zao kwa kuwa zinazunguka duniani kote mpaka wakati mwingine wazungu wanajua vivutio kibao viko Kenya wakati viko Tanzania wakati mashirika yao hayapati faida ya moja kwa moja...mimi naangalia kama ndege zina faida au hasara.
Point kubwa Sana hii, Hawana ata mchanganuo wa biashara..hoja siyo kama bunge lilihusishwa au halikuhusishwa.
..Tanzania hatukutakiwa kununua ndege kwasababu shirika la ndege ni biashara ya hasara.
..matrilioni ya fedha tulizotumia kununua ndege ambazo zinatutia hasara sasa hivi, yalipaswa kuelekezwa ktk sekta nyingine zinazogusa wananchi wengi zaidi.
Dunia nzima, hakuna taifa lolote serikali yake inapotekereza miradi ya kazi zake inapitishwa na bunge. Kazi ya bunge nikuhoji kinachofanywa na serikali na kutoa ushauri. Kwahyo puuuzeni propaganda zinazoenezwa na na mzee wa kiki kwamba miradi yote inayofanywa na serikali kwamba ni lazima ipitie bungenii. Mwenye ushaidi wa taifa au kifungu cha sheria kinachosema shuguli zote serikali ni lazima zipitishwe na bunge wekeni hapa.Huko majukwaani tunasikia mengi, lakini mengine nadhani yanafanywa kwa makusudi ya kutafuta kura. Inawezekana ikawa ndio maana halisi ya kampeni kwa tafsiri yetu ya Kibongo tu.
View attachment 1580402
Ukimsikiliza Lissu anasema hakuna mbunge hata mmoja anayejua hata fedha zilizotengwa kununua hizo ndege. Hiyo ndiyo ilikuwa hoja yake kwenye clip hiyo kama umeisikiliza. Halafu baadaye anaonekana Mheshimiwa Halima Mdee akiijadili hoja hiyo akiwa Bungeni. Msinishambulie mimi kwakuwa mimi sio niliyesema hivyo na bahati nzuri nimeweka video yake. Mimi sigombei hata udiwani.
Hoja yandege haikuanza kipindi cha magufuli tuambie nikiachangapi hicho bunge langapi nimemsikiliza alima nikama analala mika utekelezaji haujafanyika sasa usituletee uongo hapa ataukimsikiliza doto jems nikwamba anaonesha mjadala haukuwepo bungeni ilakatumia vikanuni nasheria ndiovinalihusiha bunge twambie nimkutano wangapi kiochangapi halima alisema hayo kabla yamagu kuwa rais alima alikuwa mbungeHuko majukwaani tunasikia mengi, lakini mengine nadhani yanafanywa kwa makusudi ya kutafuta kura. Inawezekana ikawa ndio maana halisi ya kampeni kwa tafsiri yetu ya Kibongo tu.
View attachment 1580402
Ukimsikiliza Lissu anasema hakuna mbunge hata mmoja anayejua hata fedha zilizotengwa kununua hizo ndege. Hiyo ndiyo ilikuwa hoja yake kwenye clip hiyo kama umeisikiliza. Halafu baadaye anaonekana Mheshimiwa Halima Mdee akiijadili hoja hiyo akiwa Bungeni. Msinishambulie mimi kwakuwa mimi sio niliyesema hivyo na bahati nzuri nimeweka video yake. Mimi sigombei hata udiwani.
Yes bunge ambalo walio wengi ni CCM na hotuba za wapinzani hufanyiwa censorship.Mkuu, ni lile Bunge ambalo Mheshimiwa Mdee alikuwa mbunge mmojawapo.
Na kweli huyu ni wa ajabu mnaunganisha nguvu na rasilimali zenu zote bado ana wakokoto hiyu si Lowassa akisimama aseme ELIMU ELIMU ELIMUTunaposema kwamba, Tunamgombea wa ajabu haijawahi kutokea, Chadema muwe mnaelewa!!!
Ligombea liongo kwelikweli!!
Mkuu acha upotoshaji.Ukimsikiliza Lissu anasema hakuna mbunge hata mmoja anayejua hata fedha zilizotengwa kununua hizo ndege. Hiyo ndiyo ilikuwa hoja yake kwenye clip hiyo kama umeisikiliza. Halafu baadaye anaonekana Mheshimiwa Halima Mdee akiijadili hoja hiyo akiwa Bungeni. Msinishambulie mimi kwakuwa mimi sio niliyesema hivyo na bahati nzuri nimeweka video yake. Mimi sigombei hata udiwani.
Kwako unaona kuwa na ndege ni hasara!! Ndege inafaida nyingi sana zisizo za moja kwa moja kwanza ikiwa inasafiri kimataifa inajenga image ya nchi. Unaona Kenya na Ethiopia inajulikana sana duniani kwa sababu ya ndege zao kwa kuwa zinazunguka duniani kote mpaka wakati mwingine wazungu wanajua vivutio kibao viko Kenya wakati viko Tanzania wakati mashirika yao hayapati faida ya moja kwa moja.
Mkuu. Fungua video clip hiyo na umsikilize kwa makini Mheshimiwa Halima Mdee maana ametaja hadi mwaka uliopita wakati akichangia hoja hiyo ya ununuzi wa ndege. Jibu liko wazi humo.Hoja yandege haikuanza kipindi cha magufuli tuambie nikiachangapi hicho bunge langapi nimemsikiliza alima nikama analala mika utekelezaji haujafanyika sasa usituletee uongo hapa ataukimsikiliza doto jems nikwamba anaonesha mjadala haukuwepo bungeni ilakatumia vikanuni nasheria ndiovinalihusiha bunge twambie nimkutano wangapi kiochangapi halima alisema hayo kabla yamagu kuwa rais alima alikuwa mbunge
Bunge lilishirikishwa na wabunge wa CCM ndio walioshiriki Katika mchakato mzima maana wabunge wa chadema walikimbia so wasiongeeongee vitu wasivyoelewa.Huko majukwaani tunasikia mengi, lakini mengine nadhani yanafanywa kwa makusudi ya kutafuta kura. Inawezekana ikawa ndio maana halisi ya kampeni kwa tafsiri yetu ya Kibongo tu....
Mkuu, siwezi kuweka maneno mdomoni kwa mtu. Kwenye video clip hiyo mgombea hakuitaja Chato. Sasa kama umeamua kumuwekea maneo hayo kupitia clip yake mwenyewe, basi ni wewe. Ila mimi nimeamua kuchanganya na zangu na jibu lake nabaki nalo mwenyewe kwakuwa sio lazima jibu langu lifanane na lako Mkuu.Mkuu acha upotoshaji.
Lissu hakusema hakuna anayejua fedha zilizotengwa ... Anasema hakuna anayejua bei za ndege na mikataba yake. Bajeti ikisomwa haina haina maana hiyo ndiyo bei ya ndege.Inaweza kupungua au kuongezeka kutegemea na situation.
Kitu ambacho alisema hakikupitishwa bungeni ni Chato International Airport.
Kama wanataka kujibu waweke gharama ya ndege moja moja tuchambue pumba na mchele wenyewe.