Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
Wakikujibu mi najinyea mkuuSwali ni Je pesa zote zilizopitishwa na Bunge kununulia ndege zimenunulia ndege kweli kwa pesa ileile????
Bunge kuambiwa zimepitishwa shilingi bilioni 400 kununulia ndege 3 au 4 haimaanishi pesa zote hizo zilinunulia ndege.
CCM wajibu hili kwa kutuonesha bank transactions kwamba kila ndege walinunua kiasi gani full stop!
Hili ndiyo lengo kuu,tusikute Kuna upigaji.Tuonyeshwe risiti ya manunuzi na mikataba...hoja siyo kama bunge lilihusishwa au halikuhusishwa.
..Tanzania hatukutakiwa kununua ndege kwasababu shirika la ndege ni biashara ya hasara.
..matrilioni ya fedha tulizotumia kununua ndege ambazo zinatutia hasara sasa hivi, yalipaswa kuelekezwa ktk sekta nyingine zinazogusa wananchi wengi zaidi.
Hizo zinazozungumza na halima bado hazijanunuliwa au hazijaja. Lissu anazungumzia zile za mwanzo zilizonunuliwa kinyemela na mtu na mpwa wakeHuko majukwaani tunasikia mengi, lakini mengine nadhani yanafanywa kwa makusudi ya kutafuta kura. Inawezekana ikawa ndio maana halisi ya kampeni kwa tafsiri yetu ya Kibongo tu.
View attachment 1580402
Ukimsikiliza Lissu anasema hakuna mbunge hata mmoja anayejua hata fedha zilizotengwa kununua hizo ndege. Hiyo ndiyo ilikuwa hoja yake kwenye clip hiyo kama umeisikiliza. Halafu baadaye anaonekana Mheshimiwa Halima Mdee akiijadili hoja hiyo akiwa Bungeni. Msinishambulie mimi kwakuwa mimi sio niliyesema hivyo na bahati nzuri nimeweka video yake. Mimi sigombei hata udiwani.
Lissu hajasema kuwa hakuna mbunge hata mmoja anayejua fedha zilizotengwa kwa ajili yakununua ndege hizo. Alichosema ni hakuna ( si mbunge au mwananchi) anayejua bei ya ndege na hakuna aliyeona mkataba wa manunuzi. Hakusema kuwa suala la ununuzi wa ndege halijawahi kujadiliwa Bungeni. Anachohoji ni mchakato wa kununua ndege baada ya Bunge kupitisha maombi ya serikali kupitia Bunge. Halima Mdee anahoji maombi ya serikali ya kupewa kibali ili cha Bunge ili watengewe Shilingi bilioni 495 wakati mwaka uliopita walitengewa bilioni takribani 500. Ni dhahiri kuwa yeye kamambunge hajawahi kupata mrejesho wa matumizi wa pesa zilizoombwa. Mrejesho unakuwa ni Mkataba wa manunuzi unaoonyesha bei na masharti ya manunuzi. Wote wawili wanaongelea kitu kimoja. Kuna tofauti kubwa kati ya kutenga pesa na matumizi yake. Bajeti inaonyesha makisio ya matumizi wakati mikataba ya manunuzi inaonyesha kiasi kinachotakiwa kukamilisha manunuzi.Huko majukwaani tunasikia mengi, lakini mengine nadhani yanafanywa kwa makusudi ya kutafuta kura. Inawezekana ikawa ndio maana halisi ya kampeni kwa tafsiri yetu ya Kibongo tu.
View attachment 1580402
Ukimsikiliza Lissu anasema hakuna mbunge hata mmoja anayejua hata fedha zilizotengwa kununua hizo ndege. Hiyo ndiyo ilikuwa hoja yake kwenye clip hiyo kama umeisikiliza. Halafu baadaye anaonekana Mheshimiwa Halima Mdee akiijadili hoja hiyo akiwa Bungeni. Msinishambulie mimi kwakuwa mimi sio niliyesema hivyo na bahati nzuri nimeweka video yake. Mimi sigombei hata udiwani.
Chadema wapuuuzi tangu wa juu mpaka wa chini, Kwa nini hawakumkumbusha mgombea kuhusu Hilo, ukizingatia pengine Kwa yaliyompataga yameweza kupunguza vitu Fulani mkichwa,Mkuu, ukimsikiliza mgombea anasema hakuna mbunge hata mmoja anayejua hata fedha zilizotengwa kununua hizo ndege. Hiyo ndiyo ilikuwa hoja yake kwenye clip hiyo kama umeisikiliza. Halafu baadaye anaonekana Mheshimiwa Halima Mdee akiijadili hoja hiyo akiwa Bungeni. Msinishambulie mimi kwakuwa mimi sio niliyesema hivyo na bahati nzuri nimeweka video yake. Mimi sigombei hata udiwani.
Hapa hoja sio biashara kamanda rudi kwenye hoja ya msingi...
Ya Chato nimeongeza kwa kuwa ni kaa la moto hawataki kujibu.Mkuu, siwezi kuweka maneno mdomoni kwa mtu. Kwenye video clip hiyo mgombea hakuitaja Chato. Sasa kama umeamua kumuwekea maneo hayo kupitia clip yake mwenyewe, basi ni wewe. Ila mimi nimeamua kuchanganya na zangu na jibu lake nabaki nalo mwenyewe kwakuwa sio lazima jibu langu lifanane na lako Mkuu.
Basi ndiyo imekula kwenu. Sisi wananchi hatujui bei ya kila ndege. Hapo kuna ufisadi. .. wananchi tunamuelewa Sana Lisu kuliko huyu John mtaka fujo.Mkuu, hoja ya Mgombea ni kwamba bunge halikuhusishwa kabisa, na ndivyo anavyotueleza wapiga kura wake.
Hilo ni swali lako wewe!Swali ni Je pesa zote zilizopitishwa na Bunge kununulia ndege zimenunulia ndege kweli kwa pesa ileile?
Kuambiwa Bunge limepitisha shilingi bilioni 400 kununulia ndege 3 au 4 haimaanishi pesa zote hizo zilinunulia ndege.
CCM wajibu hili kwa kutuonesha bank transactions kwamba kila ndege walinunua kiasi gani full stop!
Hapa wanakwepa sijui kwanini!Hilo ni swali lako wewe!
Mada inahusu alichoongea Lisu na kilizungumzwa na Mdee bungeni!
Mdee alizungumza nini?Hilo ni swali lako wewe!
Mada inahusu alichoongea Lisu na kilizungumzwa na Mdee bungeni!
Ina maana hiyo attachment huioni?Mdee alizungumza nini?
Hapo ni taarifa tu ya jumla. Bunge linapohusishwa, ni kupitia hatua mbili muhimu sana:Mkuu, hoja ya Mgombea ni kwamba bunge halikuhusishwa kabisa, na ndivyo anavyotueleza wapiga kura wake.
Aliye poteza kumbukumbu ni PLPL alisema mwenyewe CCM kukukiwa na tume huru haiwezi kushinda na mwaka huu mnapigwa kwa uzembe wenu 'he can't think outside the box 'Polepole anasema tena kwa kimombo kuwa amepoteza kumbukumbu.
Bunge husimamia kila kitu kupitia kamati ndogo, Oversight Committees, ambazo kwa utaratibu wa jumuiya ya madola, ambapi sisi ni wanachama, kamati hizi husimamiwa na wabunge kutoka kambi rasmi ya upinzani, ili kuweka utawalabora.Kawadanganye wanachadema wenzako uliona wapi mchakato wa manunuzi unapelekwa bungeni? Bunge huwa linapitisha bajeti tu siyo manunuzi. Wakati mwingine mkubali tu kuwa mgombea wenu anachemka sana asifikiri watz ni wajinga kiasi hicho.
HaikusaidiiTunaposema kwamba, Tunamgombea wa ajabu haijawahi kutokea, Chadema muwe mnaelewa!!!
Ligombea liongo kwelikweli!!
Utamwachaje C.A.G. ambaye hutumwa kufanya kazi ya Bunge? Wakati wanagombana na Prof. Assad, Ndugai alieleza hili vizuri sana. Kwamba C.A.G. ni mtumishi wa Bunge. Bunge haliwezi kwenda kufanyavhayo yote, linamtumia C.A.G.Mkuu, sikiliza tena hoja ya mgombea wetu kabla ya kufika mbali huko kwa CAG.
Na huu ndio mwisho wakeKilichopelekwa bungeni ni bajeti ya manunuzi ambapo kama kawaida ya wabunge wa CCM ni ndiyoooo. Kilichotakiwa kupelekwa ni hoja ya kuzinunua na ijadiliwe shirika litaendeshwa vipi. Hata hayo ya reli ni bajeti tu zinapelekwa bungeni ila siyo hoja! Watu walitaka hoja ijadiliwe. Huwezi kujenga reli ya trilioni 6 aa kitanzania halafu uamue peke yako.
Huwezi kuja tu unasema nanunua ndege 11 tena wewe ndiye unapanga ununue wapi na kwa muda gani na ulipeje. Hakuna nchi inaendeshwa hivyo! Ndiyo maana likawepo bunge.
Unajua Magufuli alikuwa ametufanya watanzania wote ni mazuzu kwamba yeye peke yake ndiye mwenye akili!
Tuseme No!
Mpumbavu ni wewe!Una uhakika gani hizo fedha zilizotengwa zote zitatumika kununua ndege ili hali bei halisi iko katika mikataba?DA yaani hii kitu nilikuwaga sijaisikia kumbe kila kitu kiliptia bungeni kuhusu ununuzi wa ndege kweli chadema ni wapumbavu wanataka kutufanya wajinga eti kila mtu hajui ndege zimenunuliwaje hawana hoja wanawadanganya watu wakati walipitisha wenyewe yaani na wewe unataka risiti ya ndege ? nenda ATCL utaonyeshwa