Je, ni kweli Dyna na Toyoace sio gari nzuri? Hasa Kwa shughuli za kubeba mizigo kuanzia tani 2 hadi 3.5T

Je, ni kweli Dyna na Toyoace sio gari nzuri? Hasa Kwa shughuli za kubeba mizigo kuanzia tani 2 hadi 3.5T

Akilindogosana

JF-Expert Member
Joined
Jan 12, 2020
Posts
4,303
Reaction score
12,679
Kuna mafundi niliwasikia wakizungumzia hilo suala kuwa Toyota Dyna na Toyoace sio imara na zina shida nyingi,
Je ni kweli DYNA na Toyoace sio gari nzuri kwa shughuli za kubeba mizigo kuanzia tani 2 na zaidi?

Je, mafundi wapo sahihi au ni wapotoshaji?

Je wajuzi wa magari mnashauri gari gani bora ndio linafaa kwa shughuli za kubeba mizigo kuanzia tani 2 mpaka 3.5Ton?

Je, Kwa vigezo vya uimara, matumizi ya mafuta, uwezo wa kufanya kazi, upatikanaji wa spare, upatikanaji wa mafundi, uimara wa engine, mnashauri gari lipi linafaa kwa shughuli za kubeba mizigo kuanzia tani 2 hadi 3.5T?


Je, bei ya gari hiyo kwa sasa ikoje?

Bei ya kuagiza toka nje (used ya Japan).

Bei ya kununua kutoka kwa mtu Tanzania (used ya kibongo).

Mad Max Offshore Seamen JituMirabaMinne t blj Kichuguu Chivundu
 
Gari za mizigo midogo zinazofanya vizuri hapa Tanzania ni mitsubish canter na zinaanzia na tani 1.5 hapa ni mkataba acha na diana/daina,, townice zinafanya poa ila haibebi mzigo mkubwa kama mitsubish na townice nzr ni yenye engine ua 7k
 
Toyota Town Hiace ni tani 1, unapobeba tani 2 mpaka 3.5 wewe mwenyewe unaiua kwa kuzidisha uzito. Hizo gari ni ngumu zina engine nzuri , na kwa Toyota Dyna zinakuja na uwezo wa kubeba tani 2 mpaka 3 engine yake haina shida zina 15B engine ambayo inatumika kwenye Coaster
 
Gari za mizigo midogo zinazofanya vizuri hapa Tanzania ni mitsubish canter na zinaanzia na tani 1.5 hapa ni mkataba acha na diana/daina,, townice zinafanya poa ila haibebi mzigo mkubwa kama mitsubish na townice nzr ni yenye engine ua 7k
Canter ya aina ipi ndio bora? Yenye engine ipi?
 
Toyota Town Hiace ni tani 1, unapobeba tani 2 mpaka 3.5 wewe mwenyewe unaiua kwa kuzidisha uzito. Hizo gari ni ngumu zina engine nzuri , na kwa Toyota Dyna zinakuja na uwezo wa kubeba tani 2 mpaka 3 engine yake haina shida zina 15B engine ambayo inatumika kwenye Coaster
Sawa Mtaalamu. Je dyna ya aina ipi ndio imara na nzuri?
 
Kwa mizizgo ya tani 2 toyoace haiwezi kudumu, hpao mwenyewr ni mitsubishi canter, au kama pesa ipo nunua Dutro ambayo ni advanced version ya toyota Dayna.
 
Kwa mizizgo ya tani 2 toyoace haiwezi kudumu, hpao mwenyewr ni mitsubishi canter, au kama pesa ipo nunua Dutro ambayo ni advanced version ya toyota Dayna.
Je ni aina gani ya canter ndio inafaa kwa ajili ya kazi hizo? Ni engine ipi ? Mafundi wanasema matoleo ya canter mengi ni mabovu!
 
Kuna Toyota zinataka kufanana na canter, ndio zinaitwa Dyna na toyoace
Uwe unaelewa,Canter ni aina ya Mitsubishi hakuna aina yoyote ya Toyota inaitwa Canter.
Mimi sizungumzii hizo Toyota Dyna wala Toyoace bali nimemjibu aliyeandika Toyota Canter ndiyo nikasema sijawahi kuiona hiyo Toyota Canter.
 
Uwe unaelewa,Canter ni aina ya Mitsubishi hakuna aina yoyote ya Toyota inaitwa Canter.
Mimi sizungumzii hizo Toyota Dyna wala Toyoace bali nimemjibu aliyeandika Toyota Canter ndiyo nikasema sijawahi kuiona hiyo Toyota Canter.
Sawa mkuu
 
Back
Top Bottom