Akilindogosana
JF-Expert Member
- Jan 12, 2020
- 4,303
- 12,679
- Thread starter
- #41
Sawa MkuuKwenye magari Ukitafuta unique ujiandae kusuffer
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sawa MkuuKwenye magari Ukitafuta unique ujiandae kusuffer
Maneno ya mafundi tu, 4d 33 sio imara kivile! Nimebahatika kutumia engine karibu 5 za mitsubishi canter kwenye shuguli zangu za utafutaji ( 4d 32, 4d31, 4d 33, 4d35 na 4m51)Naona kila mtu anaisifia 4D33, je kuna engine nyingine ambayo ni nzuri na imara kama 4D33 au zaidi yake?
Okay Mkuu. Umeniongezea upeo wa kufikiri. Mafundi wakiwa hawajui kutengeneza gari, wanasema gari ni mbovu, halifai, gari ni mayai.Maneno ya mafundi tu, 4d 33 sio imara kivile! Nimebahatika kutumia engine karibu 5 za mitsubishi canter kwenye shuguli zangu za utafutaji ( 4d 32, 4d31, 4d 33, 4d35 na 4m51)
The best of both worlds ni 4m51, inafuel consumption nzuri, nguvu za kutoaha na inadumu, sema mafundi wengi hawajui kuzitengeneza ndo maana wanazikimbia na kuzibeza.
4d33 kwenye kazi nilizokuwa nafanya ilidai overhaul mapema sana
4d34 ile yenye intercooler na turbo Inaamsha sana kuliko 4d series zoteNaona kila mtu anaisifia 4D33, je kuna engine nyingine ambayo ni nzuri na imara kama 4D33 au zaidi yake?
Okay4d34 ile yenye intercooler na turbo Inaamsha sana kuliko 4d series zote
Okay tunawasubira waje kutupa muongozo.
Tena hakikisha ni 4D33 single filter.Naona kila mtu anaisifia 4D33, je kuna engine nyingine ambayo ni nzuri na imara kama 4D33 au zaidi yake?
Je engine ipi inafaa kwa zile canter kubwa kabisa? Za tani 3.5 ambazo zinabebea vitu toka vijijini hadi mikoani kwenda mikoa mingine? Au na zenyewe zinatumia engine ya 4D33?Tena hakikisha ni 4D33 single filter.
4D33 sababu ya uimara wake, pia kuna jamaa anayo anapakia hadi tani 5. 4D34 na 4D35 zinasumbua sana mara kuchemsha ndio tatizo common na kuwahi kula ring piston.Je engine ipi inafaa kwa zile canter kubwa kabisa? Za tani 3.5 ambazo zinabebea vitu toka vijijini hadi mikoani kwenda mikoa mingine? Au na zenyewe zinatumia engine ya 4D33?