Tigershark
JF-Expert Member
- Oct 9, 2018
- 7,051
- 12,566
Mleta mada anafumbia macho haya,anadeal na angle anayoona ni nafuu kwake kupotosha watu!Na hii ndo imeua biashara nyingi, purchasing power ya watu imepungua hivyo kupunguza kasi ya mzunguko wa pesa huku Kodi zikiwa za kukomoana.Ila malengo yake ya kuwafanya watu waishi Kama mashetani yametimia