Sijijui
JF-Expert Member
- Jan 14, 2018
- 7,877
- 8,804
Kijezo kikuu kilichotumika ni GNI,Sasa wastani wetu ni USD 1080 per year.Mwaka 2015 GNI ilikuwa USD 980.00, only 20 USD away from uchumi wa kati,now tupo ndani ya uchumi wa kati tena kabla ya muda maana GNI yetu Sasa ni USD 1080,yaani mchapa kazi kaongeza USD 100 in five good yearsSijijui mbona unataka kubisha tuu? Hebu niambieni, unajua kuwa Tanzania imetangazwa kuingia kwenye uchumi wa kati? Unafikiri ni vigezo gani vilitumika kutuweka hapo?