Je, ni kweli flyovers na ndege zetu hazina msaada wowote kwa mwananchi anayeishi Nanyamba au Kyabakari?

Udhaifu wake ni upi mkuu?
Mbona unasema uongo kwa hii comment yako hapa chini na zingine zilizotangulia:

Mafanikio makubwa yanagharama zake. Mwaka huu mshahara umeongezwa.
Kuhusu ajira ni lazima ujue haiwezekani kila mtu akaajiriqa na serikali. Serikali inatengeneza mazingira mazuri kupitia PPP na huko ajira rasmi na zisizo rasmi hutokea.
Ajira za walimu zimetangazwa. Najua bado eneo hilo lina changamoto ila tutafika pazuri zaidi
 
Onesha uongo ulipo
 
Watu waliozoea kishu ujima wa kuishi kwenye mapango utawajua tu.
Mtatoka lini huko?
Mkuu mjima ni yule anayewanyima watoto wake chakula eti anajenga nyumba.Huna sababu ya kuwabana wanao,tafuta tu kuongeza kipato,kipato kikiongeza utajenga tu tena ukiwa unaenjoy maisha
 
Mkuu mjima ni yule anayewanyima watoto wake chakula eti anajenga nyumba.Huna sababu ya kuwabana wanao,tafuta tu kuongeza kipato,kipato kikiongeza utajenga tu tena ukiwa unaenjoy maisha
Ukiishi bure, kusali kila siku bahati ikudondokee ili uishi vizuri na ulishe watoto wako, utakufa masikini na heri usingezaa mzigo huo wa watoto.
Jitahidi uishi na wakati na usiwe mtumwa wa matatizo yako.
Hakuna mtu atakayetokea kutatua matatizo yako binafsi, ila wewe mwenyewe.
 
Hizo ndege zimenunukiwa kwa kufuata open tender process kama inavyotakiwa kwenye manunuzi ya kiserikali?

Gharama zilizotumika kuzinunua ni zipi?

Gharama hizo zitarudiahwa lini?

Ndege zinajiendesha kwa faida au hasara?

Kulikuwa na ulazima gani wa serikali kujiingiza katika biashara ya ndege wakati sekta binafsi ilikuwa inatoa huduma hii kwa ufanisi?

Toka serikali ijiingize kwenye biashara ya ndege, nauli za safari za ndege zimepanda au zimeshuka?
 
Kwa hiyo kwa akili yako unadhani kazi ya kina Magu ni kukusanya Kodi zetu,Kisha kujilipa marupurupu na mishahara minono basi,kwamba madaraka yao hayana connection na umasikini wetu siyo mkuu?
 
Nimegundua mleta mada unapenda mwonekano wa vitu vya juu bila kujua athari ya wanayopitia watu wa chini.

Hayo yote yangekua na maana kama yangeenda sambamba na vipato vya wananchi.

Mfumo wa kodi zetu sasa umekua kandamizi kiasi cha kwamba watu wanaofikiria kuanza biashara kujifikiria mara mbilimbili
 
Kama hupandi ndege huoni umuhimu wake.
Kitu lingine, ambao hamsafiri mnaona hata barabara zinazojengwa ni bure
 


Kipimo Cha maendeleo Ni kipato/ Cha mtu mojamoja,,matumizi ya rasmiamali( uvuvi,utalii,madini), miundo mbinu, Ajira/mitaji nguvu au pesa na techonojia, Pato la taifa.....

1, hakuna ajira sio Mwl. Dr, hakuna mitaji... Hapo ajira Ni labda itakavyua.
2.khs kipato.... Vyuma vimekaza...
3. Hizo asilimali wanakula wachache...
4... Ktk miundo mbinu tuwe na Subira...
5. Ktk techonojia hapo hamna kitu... Kama Ile formula ya Madagascar ya covd59 ili feli unategemea nn...

Uchumi
Sio tu kubana pesa pia unatumiaje.. inflation, pricing, utilazation of labour, inter trade, natural resources Ni vitu vya kuzingatia sio kujenga Jenga tu....
 
Yani unajua mimi mwenyewe nashangaa sana hivi huduma muhimu ambazo ni za lazima kama Afya, barabara n.k unazifanyaje kuwa za kisiasa?

Malaysia ni kosa mwanasiasa kufanya hizi siasa sijui nitajenga barabara au kituo cha afya

Kwani hizo pesa Ni mapato ya Tra, ushuru na fani/tozo.... Kwahiyo walitaka hayo makusanyo yafanyiwe nn au yapo kwaajiri ya nn....
 
Fursakibao

Barabara zimejengwa tokea enzi ya mkoloni... Labda ukaulize Familia ya Sokoine enzi hizo ilikuaje...
Hayo Ni matusi kuita watu mafirauni na wakati wanalipa Kodi halali...
 
Kwa hiyo kwa akili yako unadhani kazi ya kina Magu ni kukusanya Kodi zetu,Kisha kujilipa marupurupu na mishahara minono basi,kwamba madaraka yao hayana connection na umasikini wetu siyo mkuu?
Magufuli hatakubadilisha kama wewe mwenyewe hutabadilika.
Hakuna mtu anabadilishwa na watu, anajibadilisha mwenyewe.
Kuna watu wanapata pesa ya kutosha, wanazilewea na kula starehe za kufa mtu.
Anakumbuka kujenga ana mitoto mitano ambayo hata kusomesha ni shida, hajajenga na sana sana ana Brevis kali.
Watu kama hao wapo na wanalaumu toka Mwinyi, Mkapa,Kikwetu hadi sasa Magufuli.
Na hata akipata urais mtu wa upinzani wataendelea kuwa masikini wa fikra na kimaisha.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…