Je, ni kweli Freeman Mbowe yupo Kazini?

Mkuu hii, inafanana na hadithi a Beans Mrema, ambaye uchaguzi wa mwaka 1995, Gari alilokua anafanyia kampeni kuzimwa na kusukumwa na wananchi. Wananchi walibeba Imani kubwa mioyoni mwao lakini Mrema mwishoni aliwaumiza na kupoteza imani kwa wananchi.
Unakisema kuhusu Mh. Mbowe inawezekana ikawa kweli au Ni uzushi. Ngoja tuwe na subira tunaweza kupata somo jipya
 
Chadema iliundwa kama TAKWA la nchi za Magharibi kutaka Multipartism, hivyo Mchonga akamuita rafiki yake Nzee Ntei aunde chama, so cdm ni ccm B, naye akamkabidhi Uhuru mboe aliyemwaminifu kwa sisiem,
Uhuru ni wakala mtiifu, aliyekazini
Unataka kudanganya watu kwamba successor wa Mzee Mtei ni Mbowe?

Jinga kabisa, na Bob Makani alikuwa ni nani?
 
Njia nyingine mnakuja nayo Ili jamii isimuamini but Moyo wake unaongea kwa sauti kuliko mdomo na mwili wake,kwani ukiwa mtu wa system unakuwa huna jema unaloweza kulifanya kwa nchi yako? Je madai ya Mbowe kwa nchi ya Tanzania ni ya ukweli au sio ya ukweli?

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…