yvegenc prymacov
JF-Expert Member
- Jan 22, 2023
- 1,530
- 1,961
Unaweza kutoa udhibitisho hata wa kimazingira juu ya hicho unachokisema?, au na wewe ni wale wale tu maroboti?Baada ya uchaguzi wa 2020, Mwendazake alidhamiria kuiangamiza CDM kabisa. Baada ya mbinu ya kununua wapinzani kuto kuleta matunda yaliyotarajiwa...na ugumu alioupata kwenye campaign za 2020 na kwa jinsi Lissu alivyo mkalia kooni na kumpelekesha kwenye campaign dhamira yake ilikuwa kumaliza game kwa kuua yeyote ambaye alionekana hatari au kuwafungilia kesi za ugaidi ili waozee gerezani.
Utakumbuka pia Mwendazake alitaka kubadili katiba ili agombee tena 2025...hivyo alikuwa hataki kabisa kelele wakati wa mchakato wa mabadiliko ya katiba.
Mbowe: Wanachama wenzangu wa CCMNever, your contention is not correct! Mbowe was not silenced, he was only not vocal like Lisu and even today Mbowe is not vocal, he is a slow mover contrary to Lisu!
Huyo mzee wako hata pumzika hadi kizazi hiki cha waliomshuhudia akiwa kiongozi kiishe.Embu mwacheni mzee wa watu hapumzike
Mbona walipandishwa vyeo ndugu?Sijui wale police walioshirikiana na jamaa kumtesa Mbowe wanajisikiaje SAsa hivi Mbowe alivyo juu.
Unamtesa mtu ambae hata ustaafu pensheni YAKO hata ukiuuzwa na wewe ufikii hata robo ya mapato yake.
Acheni ujinga hii Dunia ikanyage polepole.
Leo wanaona aibu.
Pana siku Kova kova baada ya kustaafu alimkimbia Gwajima supermarket akikumbuka alipokuwa akimsotesha kabla ajastaafu.
Kesi ile ya Mbowe iliandaliwa na mwendazake kwa madhumuni ya kukifutilia mbali CHADEMA,kwamba kama Mbowe ni gaidi basi na wafuasi wake wote ni magaidi hivyo chadema kimekosa uhalali wa kuwa chama cha siasa na kuwa chama cha kigaidi zaidi.Habari JF ,binafsi huwa nakuwa na Shaka sana na upinzani wa Mwenyekiti wangu mbowe
Kuna muda huwa napata mawazo ni mtu aliyewekwa kimkakati kuhakikisha CCM haitoki madarakan...
Hapumzike ndiyo nini.Embu mwacheni mzee wa watu hapumzike
Ni kweli kabisaBaada ya uchaguzi wa 2020, Mwendazake alidhamiria kuiangamiza CDM kabisa. Baada ya mbinu ya kununua wapinzani kuto kuleta matunda yaliyotarajiwa...
Mazingira hukuyaona wewe baada ya uchaguzi kilitokea nini?Mitandao yote ilizimwa,ulishawahi ona kitu hicho Tangu Tanzania ipate uhuru?Unaweza kutoa udhibitisho hata wa kimazingira juu ya hicho unachokisema?, au na wewe ni wale wale tu maroboti?
Sema tu unataka tu unataka kumnaga hayati. Lakini kila kitu kinajulkana. JAJI liganga alishamaliza kazi kesi ilikuwa ya Mchongo ndio Maan Mama aliitema.Habari JF ,binafsi huwa nakuwa na Shaka sana na upinzani wa Mwenyekiti wangu mbowe
Kuna muda huwa napata mawazo ni mtu aliyewekwa kimkakati kuhakikisha CCM haitoki madarakani...
Ukweli mtupu.Baada ya uchaguzi wa 2020, Mwendazake alidhamiria kuiangamiza CDM kabisa. Baada ya mbinu ya kununua wapinzani kuto kuleta matunda yaliyotarajiwa...
Mpaka wakepeleka pesa za umma China😅😅😅Modus operand za serikali za kidikiteta,huwa zinafanana,
Zuia mawazo binafsi, bana vyombo vya habari ua wapinzani, funga wapinzani, wazungu wanaita attach on descent...
Day light dreamsHabari JF ,binafsi huwa nakuwa na Shaka sana na upinzani wa Mwenyekiti wangu mbowe
Kuna muda huwa napata mawazo ni mtu aliyewekwa kimkakati kuhakikisha CCM haitoki madarakani...
Magufuli alishirikiana na Samia kuandaa kesi ya ugaidi dhidi ya Mbowe, ndio maana aliithibitishia BBC kuwa ni gaidi na alikimbia kujificha KenyaHabari JF ,binafsi huwa nakuwa na Shaka sana na upinzani wa Mwenyekiti wangu mbowe
Kuna muda huwa napata mawazo ni mtu aliyewekwa kimkakati kuhakikisha CCM haitoki madarakani.
Nimekaa nimejiuliza sana je Kesi ya Mbowe ilianza kusikilizwa kwa BENEFITS au FAIDA kwa awamu ya TANO au SITA au WANANCHI ?
Ilifunguliwa kwe lengo gani? Maana kwa Awamu ya Tano Mbowe alinyamazishwa na akanyamaza tofauti na Tundu Lissu.
Ushahidi ulikuwepo hata kabla uchaguzi 2020 ni Kesi yenye shutuma nzito vile, kwanini haikufunguliwa mapema ikichukuliwa ingeidhohofisha CHADEMA uchaguzi 2020?
Kwa haya mazingira ni kweli serikali ya awamu ya TANO ilihusika na ilikuwa kwa lengo lipi? Au ndio ulikuwa mwanzo wa kinachoitwa sasa ni MARIDHIANO?
Pamoja na kwamba udikteta mkubwa ni mbaya lakini kwa Nchi zetu hizi za Africa bila kuwepo na kaudikteta dikteta mambo mengi hayaendi kama inavyopaswa kwenda !! Nitajie Nchi za Africa zinazoitwa Zimeendelea !! Developed Countries !!Kama hujuma, udhalimu na ufedhuli mkubwa ulifanyika katika vitega uchumi vyake, katika akaunti zake binafsi, kwa wafuasi, wanachama na viongozi wa chama chake, nini ambacho kilishindikana katika kufanya maandalizi ya kesi ile ya mchongo?
Moderators, tunaomba nyuzi zote zenye kumuhusu hayati huyu ziunganishwe katika uzi mmoja tu, pengine ambao upewe kichwa kinachosemeka kama;
"Mazuri na mabaya yaliyofanyika katika utawala wa awamu ya tano"
Ili kama mtu atajisikia kuupitia, aende humo kwa wakati wake, na siyo kama ilivyokuwa hivi sasa nyuzi nyingi zinakuja kwa vichwa vya habari tofauti lakini "the bottomline" ni kwamba kuna mazuri na mabaya yaliyoambatana na utawala wake.
Hayati kafa na matendo yake mengi ya jinai yaliyoambatana na utawala wake, lakini pia anawiwa na madeni kupitia madai mengi dhidi yake. Ukweli ni lazima usemwe, na kama ambavyo yeye mwenyewe alipenda kusisitiza, msema kweli ni mpenzi wa Mungu, hii kwa kuwa ukweli utatuacha huru, utawala wake ulikuwa ni wa kibabe, kidikteta, na ulitamalaki kila aina ya uovu.
Kwa katiba hii iliyopo hakuna kiumbe chochote kinachoweza kumkatalia Mkuu wa Nchi kitu chochote akitaka kifanyike !!Magufuli alishirikiana na Samia kuandaa kesi ya ugaidi dhidi ya Mbowe, ndio maana aliithibitishia BBC kuwa ni gaidi na alikimbia kujificha Kenya