Je, ni kweli Hayati Magufuli alihusika katika kuandaa kesi ya ugaidi ya Mbowe? Ilikuwa kwa lengo lipi?

Je, ni kweli Hayati Magufuli alihusika katika kuandaa kesi ya ugaidi ya Mbowe? Ilikuwa kwa lengo lipi?

Baada ya uchaguzi wa 2020, Mwendazake alidhamiria kuiangamiza CDM kabisa. Baada ya mbinu ya kununua wapinzani kuto kuleta matunda yaliyotarajiwa na ugumu alioupata kwenye campaign za 2020 na kwa jinsi Lissu alivyo mkalia kooni na kumpelekesha kwenye campaign dhamira yake ilikuwa kumaliza game kwa kuua yeyote ambaye alionekana hatari au kuwafungilia kesi za ugaidi ili waozee gerezani.

Utakumbuka pia Mwendazake alitaka kubadili katiba ili agombee tena 2025...hivyo alikuwa hataki kabisa kelele wakati wa mchakato wa mabadiliko ya katiba.
Mmh! Yeye mwenyewe alisema Hana mpango wa kubadilisha katiba, unamlisha maneno kwa kuwa hayupo sio Acha roho mbaya
 
Kulazimisha kupendwa kwa kutumia nguvu ya dola ni utopolo tu.
Nyie kila mipango yenu ikifeli,mnamsingizia Magufuli.

Ila Magufuli huyo huyo ndiye aliyeifanya ccm ianze walau kukubalika kwa wananchi.nakumbuka wakati wa kikwete ilifikia point mtu ukionekana umevaa linguo la kijani mtaani watu wanakuzomea,huyu mwamba wa lake zone ndiye akaja kurekebisha mambo.

Na sasa tunakoelekea ni kule kule kwa enzi za kikwete.
 
Habari JF ,binafsi huwa nakuwa na Shaka sana na upinzani wa Mwenyekiti wangu mbowe

Kuna muda huwa napata mawazo ni mtu aliyewekwa kimkakati kuhakikisha CCM haitoki madarakani.

Nimekaa nimejiuliza sana je Kesi ya Mbowe ilianza kusikilizwa kwa BENEFITS au FAIDA kwa awamu ya TANO au SITA au WANANCHI ?

Ilifunguliwa kwe lengo gani? Maana kwa Awamu ya Tano Mbowe alinyamazishwa na akanyamaza tofauti na Tundu Lissu.

Ushahidi ulikuwepo hata kabla uchaguzi 2020 ni Kesi yenye shutuma nzito vile, kwanini haikufunguliwa mapema ikichukuliwa ingeidhohofisha CHADEMA uchaguzi 2020?

Kwa haya mazingira ni kweli serikali ya awamu ya TANO ilihusika na ilikuwa kwa lengo lipi? Au ndio ulikuwa mwanzo wa kinachoitwa sasa ni MARIDHIANO?
Kila kitu kinawezekana kwa siasa za wakati ule wa Giza.
 
Hawa watu sijui Wana hali gani siku hizi. Wanajisikiaje kumuona Mbowe akiwa juu

Mbowe yuko juu kwani ni mkuu wa Majeshi,waziri wa ulizi au makamu wa raisi?.
Alichokifanya Mama ni uoga tu wa kisiasa na mataifa ya magharibi,sawa alichokifanya Pilato kumwachia Jambazi na Muuaji mkuu Barba akamsulubisha Yesu.
 
Habari JF ,binafsi huwa nakuwa na Shaka sana na upinzani wa Mwenyekiti wangu mbowe

Kuna muda huwa napata mawazo ni mtu aliyewekwa kimkakati kuhakikisha CCM haitoki madarakani.

Nimekaa nimejiuliza sana je Kesi ya Mbowe ilianza kusikilizwa kwa BENEFITS au FAIDA kwa awamu ya TANO au SITA au WANANCHI ?

Ilifunguliwa kwe lengo gani? Maana kwa Awamu ya Tano Mbowe alinyamazishwa na akanyamaza tofauti na Tundu Lissu.

Ushahidi ulikuwepo hata kabla uchaguzi 2020 ni Kesi yenye shutuma nzito vile, kwanini haikufunguliwa mapema ikichukuliwa ingeidhohofisha CHADEMA uchaguzi 2020?

Kwa haya mazingira ni kweli serikali ya awamu ya TANO ilihusika na ilikuwa kwa lengo lipi? Au ndio ulikuwa mwanzo wa kinachoitwa sasa ni MARIDHIANO?
Kwani SERIKALI yoyote Duniani inapowafunga Waua Wapinzani wanakuwa na lengo gani?
 
Mbowe yuko juu kwani ni mkuu wa Majeshi,waziri wa ulizi au makamu wa raisi?.
Alichokifanya Mama ni uoga tu wa kisiasa na mataifa ya magharibi,sawa alichokifanya Pilato kumwachia Jambazi na Muuaji mkuu Barba akamsulubisha Yesu.
Uko sahihi
 
Habari JF ,binafsi huwa nakuwa na Shaka sana na upinzani wa Mwenyekiti wangu mbowe

Kuna muda huwa napata mawazo ni mtu aliyewekwa kimkakati kuhakikisha CCM haitoki madarakani.

Nimekaa nimejiuliza sana je Kesi ya Mbowe ilianza kusikilizwa kwa BENEFITS au FAIDA kwa awamu ya TANO au SITA au WANANCHI ?

Ilifunguliwa kwe lengo gani? Maana kwa Awamu ya Tano Mbowe alinyamazishwa na akanyamaza tofauti na Tundu Lissu.

Ushahidi ulikuwepo hata kabla uchaguzi 2020 ni Kesi yenye shutuma nzito vile, kwanini haikufunguliwa mapema ikichukuliwa ingeidhohofisha CHADEMA uchaguzi 2020?

Kwa haya mazingira ni kweli serikali ya awamu ya TANO ilihusika na ilikuwa kwa lengo lipi? Au ndio ulikuwa mwanzo wa kinachoitwa sasa ni MARIDHIANO?
Sio kweli huwezi kuandaa kesi dhidi ya kingpin wa uharifu akiwa uraiani bila kukamatwa na kuhojiwa kisha taratibu za kisheria kupelekwa mahakamani au kuachiliwa hazijafanyika.
Uovu wa kumchafua JPM ulianzia hapo bila kujijuwa wahusika kwa kuwa walisukumwa malsahi binafsi
 
Uko sahihi
Tanzania ni yetu sote lazima tuwasemee wenzetu walamba Asali waache kutusalit...Uzuri mwenye hicho kibuyu cha Asali yupo humu na anapitiaga comment za watu alisema mwenyewe.
 
Habari JF ,binafsi huwa nakuwa na Shaka sana na upinzani wa Mwenyekiti wangu mbowe

Kuna muda huwa napata mawazo ni mtu aliyewekwa kimkakati kuhakikisha CCM haitoki madarakani.

Nimekaa nimejiuliza sana je Kesi ya Mbowe ilianza kusikilizwa kwa BENEFITS au FAIDA kwa awamu ya TANO au SITA au WANANCHI ?

Ilifunguliwa kwe lengo gani? Maana kwa Awamu ya Tano Mbowe alinyamazishwa na akanyamaza tofauti na Tundu Lissu.

Ushahidi ulikuwepo hata kabla uchaguzi 2020 ni Kesi yenye shutuma nzito vile, kwanini haikufunguliwa mapema ikichukuliwa ingeidhohofisha CHADEMA uchaguzi 2020?

Kwa haya mazingira ni kweli serikali ya awamu ya TANO ilihusika na ilikuwa kwa lengo lipi? Au ndio ulikuwa mwanzo wa kinachoitwa sasa ni MARIDHIANO?
Kwa jinsi yule bwana alivyokuwa katili inawezekana.
 
Ushahidi ulikuwepo hata kabla uchaguzi 2020, ni Kesi yenye shutuma nzito vile, kwanini haikufunguliwa mapema ikichukuliwa ingeidhoofisha CHADEMA uchaguzi 2020?
Huenda wahusika waliona haina mashiko kipindi hicho hivyo waliipuza ila waliifufua baadae ili kumkomoa Mbowe na kuifunga mdomo Chadema.

JokaKuu zitto junior Kalamu
 
Huenda wahusika waliona haina mashiko kipindi hicho hivyo waliipuza ila waliifufua baadae ili kumkomoa Mbowe na kuifunga mdomo Chadema.

JokaKuu zitto junior Kalamu
Lengo lilikuwa ni kuiua CHADEMA toka mwanzo na mwisho; kwa hiyo haijalishi kesi ilianza kutengenezwa lini na kuungurumishwa lini.

Lakini, kwa uhakika kabisa, kama Magufuli asingeondoka, CHADEMA tuijuavyo chini ya Mbowe ilikuwa imekwisha.
Mbowe wakati huu angekuwa anasota lupango.
 
Lengo lilikuwa ni kuiua CHADEMA toka mwanzo na mwisho; kwa hiyo haijalishi kesi ilianza kutengenezwa lini na kuungurumishwa lini.

Lakini, kwa uhakika kabisa, kama Magufuli asingeondoka, CHADEMA tuijuavyo chini ya Mbowe ilikuwa imekwisha.
Mbowe wakati huu angekuwa anasota lupango.
Sidhani
 
Back
Top Bottom