UHURU JR
JF-Expert Member
- Jul 24, 2014
- 16,543
- 7,880
Na yale maelezo yake kwenye mahojiano yake BBC nayo unayazungumziaje?Kwa katiba hii iliyopo hakuna kiumbe chochote kinachoweza kumkatalia Mkuu wa Nchi kitu chochote akitaka kifanyike !!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na yale maelezo yake kwenye mahojiano yake BBC nayo unayazungumziaje?Kwa katiba hii iliyopo hakuna kiumbe chochote kinachoweza kumkatalia Mkuu wa Nchi kitu chochote akitaka kifanyike !!
Mmh !! Kwakweli !!Na yale maelezo yake kwenye mahojiano yake BBC nayo unayazungumziaje?
Au ilikuwa makusudiHivi kwanini hakujizuia kulewa kwa siku kama ile?
Itakuwa hivyo ni hivyo ili aweze kusimama mbele ya umati wa wanachadema huku akimsifia Rais Samia, naona alilewa ili asione noma.Au ilikuwa makusudi
Baada ya uchaguzi wa 2020, Mwendazake alidhamiria kuiangamiza CDM kabisa. Baada ya mbinu ya kununua wapinzani kuto kuleta matunda yaliyotarajiwa na ugumu alioupata kwenye campaign za 2020 na kwa jinsi Lissu alivyo mkalia kooni na kumpelekesha kwenye campaign dhamira yake ilikuwa kumaliza game kwa kuua yeyote ambaye alionekana hatari au kuwafungilia kesi za ugaidi ili waozee gerezani.
Utakumbuka pia Mwendazake alitaka kubadili katiba ili agombee tena 2025...hivyo alikuwa hataki kabisa kelele wakati wa mchakato wa mabadiliko ya katiba.
Hakuna kitu kama hichoVery true
Mbowe kawa mwenyekiti wako tena?Habari JF, binafsi huwa nakuwa na shaka sana na upinzani wa Mwenyekiti wangu Mbowe.
Kuna muda huwa napata mawazo ni mtu aliyewekwa kimkakati kuhakikisha CCM haitoki madarakani.
Nimekaa nimejiuliza sana, je, Kesi ya Mbowe ilianza kusikilizwa kwa benefits au faida kwa Awamu ya Tano au Sita au Wananchi?
Ilifunguliwa kwe lengo gani? Maana kwa Awamu ya Tano Mbowe alinyamazishwa na akanyamaza tofauti na Tundu Lissu.
Ushahidi ulikuwepo hata kabla uchaguzi 2020, ni Kesi yenye shutuma nzito vile, kwanini haikufunguliwa mapema ikichukuliwa ingeidhoofisha CHADEMA uchaguzi 2020?
Kwa haya mazingira ni kweli serikali ya awamu ya Tano ilihusika na ilikuwa kwa lengo lipi? Au ndio ulikuwa mwanzo wa kinachoitwa sasa ni Maridhiano?
Ikafikia hatua ukivaa nguo ya kumwombea lissu anakufanyaje vile?Nyie kila mipango yenu ikifeli,mnamsingizia Magufuli.
Ila Magufuli huyo huyo ndiye aliyeifanya ccm ianze walau kukubalika kwa wananchi.nakumbuka wakati wa kikwete ilifikia point mtu ukionekana umevaa linguo la kijani mtaani watu wanakuzomea,huyu mwamba wa lake zone ndiye akaja kurekebisha mambo.
Na sasa tunakoelekea ni kule kule kwa enzi za kikwete.
Sio kweli huyu mwamba acheni kumsingiziaUnaweza kutoa udhibitisho hata wa kimazingira juu ya hicho unachokisema?, au na wewe ni wale wale tu maroboti?
😅😅😅legacy warriorsWatu wengine ni wa ajabu sana yote hiyo wanataka kulinda legacy ya mwendazake kwa kutumia mabavu.
Ilinibidi nicheke tuIn other words. Mbowe ana busara na si mropokaji.
Sijawahi msikia Mbowe akimtusi mpinzani wake yeyote hata akiwa amepiga Faru John. Tofauti na yule Mbelgiji - yule wanaendana na Mdude.
We hujui kitu..Wewe unamzungumzia Mbowe huyo anayelewa na kusingizia kapigwa na watu wasiojulikana,Kamanda Nnayemkubali kwenye Upinzani wa kweli wa Taifa hili alimuwaga Augustine Lyatonga Mrema (RIP) Na Pro.
Ibrahim Lipumba aliyepigwa na kuvunjika Mkono, hawa wengine ata wakitiwa tairi shingoni au Fungwa jiwe tumbukizwa baharini hakuna shida.
Hmataga wao upo wapi,kutafta maridhiano kama ndo umataga basi na Mbowe ni Mataga?.We hujui kitu..
Lyatonga Mrema (Rip) na Prof. Lipumba ni mataga!
Siyo siri, Magufuli alikuwa Rais Mbambikaji No One katika kesi nyingi.Habari JF, binafsi huwa nakuwa na shaka sana na upinzani wa Mwenyekiti wangu Mbowe.
Kuna muda huwa napata mawazo ni mtu aliyewekwa kimkakati kuhakikisha CCM haitoki madarakani.
Nimekaa nimejiuliza sana, je, Kesi ya Mbowe ilianza kusikilizwa kwa benefits au faida kwa Awamu ya Tano au Sita au Wananchi?
Ilifunguliwa kwe lengo gani? Maana kwa Awamu ya Tano Mbowe alinyamazishwa na akanyamaza tofauti na Tundu Lissu.
Ushahidi ulikuwepo hata kabla uchaguzi 2020, ni Kesi yenye shutuma nzito vile, kwanini haikufunguliwa mapema ikichukuliwa ingeidhoofisha CHADEMA uchaguzi 2020?
Kwa haya mazingira ni kweli serikali ya awamu ya Tano ilihusika na ilikuwa kwa lengo lipi? Au ndio ulikuwa mwanzo wa kinachoitwa sasa ni Maridhiano?