Je, ni kweli Hayati Magufuli alihusika katika kuandaa kesi ya ugaidi ya Mbowe? Ilikuwa kwa lengo lipi?

Au ilikuwa makusudi
Itakuwa hivyo ni hivyo ili aweze kusimama mbele ya umati wa wanachadema huku akimsifia Rais Samia, naona alilewa ili asione noma.
 

Very true
 
Mbowe kawa mwenyekiti wako tena?
 
Ikafikia hatua ukivaa nguo ya kumwombea lissu anakufanyaje vile?
 
In other words. Mbowe ana busara na si mropokaji.

Sijawahi msikia Mbowe akimtusi mpinzani wake yeyote hata akiwa amepiga Faru John. Tofauti na yule Mbelgiji - yule wanaendana na Mdude.
Ilinibidi nicheke tu
 
We hujui kitu..
Lyatonga Mrema (Rip) na Prof. Lipumba ni mataga!
 
Siyo siri, Magufuli alikuwa Rais Mbambikaji No One katika kesi nyingi.
Mzee Shamte wa TPSF alibambikwa kesi na akafia gerezani.
Kisa?
Alimsahihisha Magufuli hadharani juu ya matatizo ya wafanya biashara.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…