dr namugari
JF-Expert Member
- Nov 19, 2022
- 10,466
- 18,206
Jamaa aliwalazimisha watu wakae vijijini badal ya Kuja mjiniNyerere hakuwa muona mbali. Mara nyingi alifanya mambo kwa mkurupuko.
Ie vijijini vya ujamaa, Azimio la Arusha etc vilifeli vibaya sana
Amini hajawahi kua mtu wa maana tusidanganyane hapa! hakuna tofauti yake na M7Waambie Waganda vizazi vya leo ambao wananyanyaswa na viwanda na maduka ya wahindi, uone kama hautatolewa nduki.....
Nyerere alikosea sana kumchokonoa Amin.
Ukweli ndiyo huo nduli Amin hajawahi kuwa mtu wa maana.Uganda ipi wewe? Amini hajawahi kua mtu wa maana
HuelewekiUkweli ni kwamba Idd Amini alikuwa na kukosi chake maalum walikuwa wakivaa nguo za vitenge. Uganda waliwaita ichitenge, walikuwa kama watu wasiojulikana, wakikufuata hurudi. Hata Kikwete alikuwa na watu hawa wakiongozwa na Ramadhani Igwondu aliyemteka na kumtoa kucha na meno Dr. Ulimboka.
Pia magufuli alikuwa na watu wa aina hii. magufuli ni Mtakatifu wa kina Kulwa Jilala na Sukuma gang wote.
Bunge lililopitisha mkataba wa DP World ni matokeo ya utawala mbovu wa kifashisti wa magufuli
Kweri nyelele haritumika vibayaSio Uganda Tu nyelele alitumika vibaya mpaka zanzibar na muungano wa kijinga
Kweri nyelele harituka vibaya
Nduli, joka kuu, kumbe nawe sawa na yeye. Ungejua watz wa wakati huo alivyowasababishia usumbufu usingesema hivyo. Inabidi upimwe damu ya uraia wako.Weekend Kareem wapenzi wa JamiiForums popote mlipo. Naamini mu wazima wa siha muruwa kabisa huku mkifanya tathmini ya kile mlichokifanya kwa juma zima hili.
Leo nimeleta kwenu swali juu ya Idd Amini, sipendi kumwita Nduli ila tumuombe tu Mwenyezi Mungu aendelee kuipumzisha roho yake.
Idd Amini aliitwa majina yote mabaya na nchi za magharibi baada ya utiriri wa matukio ya wadhalilisha Wazungu na kuwatimua Wahindi ili Waganda wenyewe waendeshe shughuli zote za kiuchumi na kukuza uchumi wao.
Miongoni mwa visanga alivyo vifanya Idd Amini ni pamoja na:-
Hivyo ni basi baada ya kuwatoa Wazungu dole la jicho, ndipo walipomuanza kumchonganisha Mwalimu na Amini ili Mwalimu ampige Amini na apotezwe kabisa.
- Kuwaamuru mabalozi wa nchi za Ulaya wambebe juu juu na kiti kisha kumzungusha mitaani huku wananchi wakishangalia. Alifanya hivi kulipa kisasi jinsi babu zetu walivyowabeba wazungù.
- Kuna wakati Amin aliomba msaada wa kifedha kwa Malkia Elizabeth, msaada ukachelewa, baada ya miezi kadhaa ndipo Amin akapewa hiyo pesa, kwa jeuri akamwambia sina shida na pesa yako, akairudisha. Malkia alikasirika sana.
- Idd Amini aliwatimua Waasia wote, Wahindi na Waarabu ili kupisha Waganda wenyewe wafanye biashara.
KUKAWA na maneno kati ya Mwalimu na Amini ambayo hayakuwa mazuri, hatimaye yakapelekea vita ya mataifa mawili haya.
Habari za Idd Amini kula nyama za watu, je ilikuwa uzushi ama propaganda?
Je habari za Amin kuwapasua wanawake wajawazito, ilikuwa ni kweli au uzushi?
Je habari za Amini kuwatupa mto Nile walemavu zina ukweli gani? Je kuna uhusiano gani na ule wimbo wa Mchakamchaka Idd Amini akifa siwezi kulia, nitamtupa Kagera awe chakula cha mamba?
Karibuni waungwana
Nope!Alipambanishwa
Siyo kila kitu unachokuta kwenye goggle ni sahihi.Historia ya vita ya Uganda na Tanzania iko. Just goggle utaelewa. Nani aalianzisha vita, na kwa nini, mm siyo mchochezi
Kama siyo sahihi kwa nini inaaminika duniani kote?Siyo kila kitu unachokuta kwenye goggle ni sahihi.
TzNope!
Hivi ukigombana na mke wako na baadaye ukasikia jirani yako amempa room mkeo katika nyumba yake, hivi utafanyaje?
Sifahamu kama unajua ugomvi wa Milton Obote na Nduli Idi Amin Dada?
Hivi Obote alipopinduliwa na Idi Amin mwaka 1971 alikimbilia nchi gani?
Mpaka usiku, usiku wa manane, tutaandama usiku, usiku wa mananeNduli, joka kuu, kumbe nawe sawa na yeye. Ungejua watz wa wakati huo alivyowasababishia usumbufu usingesema hivyo. Inabidi upimwe damu ya uraia wako.