stormryder
JF-Expert Member
- Mar 23, 2013
- 3,776
- 5,786
Kwa siku 3 Hadi 5 Israel imeua viongozi wote wa Hezbollah imemuacha Nashrallah tu.Hizo story za Hollywood hamna kitu zamani media zote zilikuwa zao propaganda zote walikuwa wanawalisha matango pori wajinga wengi, ndiyo maana unaona Al Jazeera wanaonyesha udhaifu wao wanawashambulia waandishi wao wa habari.
Kadri Organization inazokuwa kubwa ndivo inakuwa vulnerable.
Lebanon ni Nchi Complex, ni Nchi ambayo imegawanyika kwa Msingi ya Dini na kwa pamoja wameamua Jeshi la nchi liwe hoehae kama mgambo, badala kila Dini/Dhehebu litajilinda kwa namna linajua, na Ndio maana imekuwa Rahisi Israel kuua viongozi wa Hezbollah sababu Wana taarifa nyingi wanazaopewa
Wakati nyie huku Bongo mnaichukia Israel.
Wasunni wa Lebanon na Syria pamoja na Wakristo wanasherekea kichapo wanachopata Hezbollah.
View: https://x.com/MOSSADil/status/1839018363042873631
Ukitoa Hamasa ambaye ni Kibaraka wa Iran hakuna Kundi au Waislam wa Kisunni nje ya Israel waliorusha hata jiwe, tafakari