Rais Samia Suluhu kaika maadhimisho ya miaka 59 ya Mapinduzi ya Zanzibar maadhimisho hayo yamefanyika katika Kijiji cha Paje, Mkoa wa Kusini Unguja leo tarehe 10 Januari, 2023
Amezungumzia mambo mengi lakini pia amegusia suala la ajira kwa vijana na kusema
"Nataka kuwaambia, kazi ya serikali si kutengeneza ajira, kazi yake ni kuweka mazingira mazuri ili vijana muyatumie kutengeneza ajira na hiyo kazi tunaifanya vya kutosha, naomba mkatengeneze ajira kwa mazingira yaliyokuwepo,"- Rais Samia Suluhu Hassan
Kwa maoni yangu naona ni sahihi kwasababu kazi kubwa ya serikali ni kututengenezea mazira mazuri ya kufanya biashara au kuajiriwa na serikali imefanya juhudi hizo kupitia kufungua vyuo vya ufundi (VETA) nchi nzima kwaiyo kupitia elimu ya ufundi vijana wanaweza kujiari.
Amezungumzia mambo mengi lakini pia amegusia suala la ajira kwa vijana na kusema
"Nataka kuwaambia, kazi ya serikali si kutengeneza ajira, kazi yake ni kuweka mazingira mazuri ili vijana muyatumie kutengeneza ajira na hiyo kazi tunaifanya vya kutosha, naomba mkatengeneze ajira kwa mazingira yaliyokuwepo,"- Rais Samia Suluhu Hassan
Kwa maoni yangu naona ni sahihi kwasababu kazi kubwa ya serikali ni kututengenezea mazira mazuri ya kufanya biashara au kuajiriwa na serikali imefanya juhudi hizo kupitia kufungua vyuo vya ufundi (VETA) nchi nzima kwaiyo kupitia elimu ya ufundi vijana wanaweza kujiari.