Lucas Mwashambwa
JF-Expert Member
- Jul 28, 2022
- 28,722
- 20,610
😆😆😆Binafsi mpaka leo sijawahi pata maana halisi ya serikali, siku zote naona serikali zote ulimwenguni zipo kwa ajili ya kutia ugumu ktk maisha ya mwanadamu. Na dunia nzima mfumo wa serikali ni mmoja. Na hakuna kitu kinachoitwa serikali bali ni Mamlaka...
Jambo hili linasikitisha kwa kweli.serikali kama baba yako ajakuwepo kwenye mfumo sahuni ndungu zangu kayumba
Hawa watu ni wajinga sana kila alisemalo rais hata kama ni pumba wao huja kupaka mafuta ili ionekane ni halali.
Nani kakwambia,je Mama Samiah alijiajiri kuwa mkuu wa nchi?Ndio kazi ya serikali ni kutengeneza ajira (mazingira) , ila kutoa ajira sio kazi yake.
Uwe unaelewa , Serikali Ina watumishi wengi kwa kiasi gani? Serikali ikiajiri Ni kwa ajili ya kuwawezesha nyie na Kutoa Huduma ila haiwezi kuajiri ilimradi kuajiriSerikali itafanyaje kazi bila kuwa na watendaji kwenye ofisi zake?
Wewe unayeelewa umeajiri wangapi ambao hata ukifa leo watakukumbuka?Uwe unaelewa , Serikali Ina watumishi wengi kwa kiasi gani? Serikali ikiajiri Ni kwa ajili ya kuwawezesha nyie na Kutoa Huduma ila haiwezi kuajiri ilimradi kuajiri
Jamaa wamavichwa vidogo, achana naoUwe unaelewa , Serikali Ina watumishi wengi kwa kiasi gani? Serikali ikiajiri Ni kwa ajili ya kuwawezesha nyie na Kutoa Huduma ila haiwezi kuajiri ilimradi kuajiri
Ndio ni kazi ya Serikali kutengeneza AJIRA.Rais Samia Suluhu kaika maadhimisho ya miaka 59 ya Mapinduzi ya Zanzibar maadhimisho hayo yamefanyika katika Kijiji cha Paje, Mkoa wa Kusini Unguja leo tarehe 10 Januari, 2023
Amezungumzia mambo mengi lakini pia amegusia suala la ajira kwa vijana na kusema
"Nataka kuwaambia, kazi ya serikali si kutengeneza ajira, kazi yake ni kuweka mazingira mazuri ili vijana muyatumie kutengeneza ajira na hiyo kazi tunaifanya vya kutosha, naomba mkatengeneze ajira kwa mazingira yaliyokuwepo,"- Rais Samia Suluhu Hassan
Kwa maoni yangu naona ni sahihi kwasababu kazi kubwa ya serikali ni kututengenezea mazira mazuri ya kufanya biashara au kuajiriwa na serikali imefanya juhudi hizo kupitia kufungua vyuo vya ufundi (VETA) nchi nzima kwaiyo kupitia elimu ya ufundi vijana wanaweza kujiari.
Ukweli ndio huo.Ndio ni kazi ya Serikali kutengeneza kutengeneza AJIRA.
Kama HUWEZI kutengeneza AJIRA achia MAMLAKA wanaoweza wafanye KAZI.
Samia anajikwepesha tu Jukumu la msingi hapa.Rais Samia Suluhu kaika maadhimisho ya miaka 59 ya Mapinduzi ya Zanzibar maadhimisho hayo yamefanyika katika Kijiji cha Paje, Mkoa wa Kusini Unguja leo tarehe 10 Januari, 2023
Amezungumzia mambo mengi lakini pia amegusia suala la ajira kwa vijana na kusema
"Nataka kuwaambia, kazi ya serikali si kutengeneza ajira, kazi yake ni kuweka mazingira mazuri ili vijana muyatumie kutengeneza ajira na hiyo kazi tunaifanya vya kutosha, naomba mkatengeneze ajira kwa mazingira yaliyokuwepo,"- Rais Samia Suluhu Hassan
Kwa maoni yangu naona ni sahihi kwasababu kazi kubwa ya serikali ni kututengenezea mazira mazuri ya kufanya biashara au kuajiriwa na serikali imefanya juhudi hizo kupitia kufungua vyuo vya ufundi (VETA) nchi nzima kwaiyo kupitia elimu ya ufundi vijana wanaweza kujiari.
Sinywi Mimi hayo maji hata iwe bure 🤣🤣Bila shaka katikati ya hotuba yake alitupia hii kitu kulainisha koo.View attachment 2476307
Lakini na sisi tunataka kazi serikalini bana, kwani wao wana nini, na sisi tuna nini?,,Naam na mimi pia nakazia
Kwanini mkuu, ni jina tu hilo. Halihusiani na kilichomo.Sinywi Mimi hayo maji hata iwe bure 🤣🤣
serikali kama baba yako ajakuwepo kwenye mfumo sahuni ndungu zangu kayumba