Watu wakimtolea Mungu wewe inakuuma nini?Acha uwongo wako bro makanisa yote yalitegemea misaada kutoka ulaya na america
Sema kwamba KKKT kwa sababu ni wachache hivyo ina walazimu watumie nguvu kubwa sana ya ziada ili waonekane kuwa wamefanya kitu tofaut na CATHOLIC wao wana vyanzo vingi vya pesa na muumini mmoja mmoja wako wako vizur
Kuna mtu mmoja tu anaweza akajitolea akachonga mabenchi yote ya kanisa
Hawa si ndio wamesema MAZA MI5 TENA au?Wivu tu unawasumbua.
Wapi sadaka zikitolewa haziliwi na viongozi wa taasisi hiyo?. .
Ukisikia mtu anamtolea Mungu sadaka unadhani hiyo sadaka italiwa na Mungu au binadamu?..
Mimi siyo muumini wa KKKT lakini ninachoona kinachowaumiza ni siasa za maji taka mnazotaka kuzihusisha na KKKT.
Kama hoja ni ulafi wa madaraka au fedha hilo ni tatizo la kiongozi binafsi na siyo la taasisi.
nimefuatilia huu mjadala kwenye twitter. Huyo dada aliongea hivo kashushuliwa kweli mpaka kafuta tweet. Hizi ni hujma za roman catholic. Kanisa kkkt ni watoaji mno, shetani yuko kazini kuua spirit ya utoaji kwa waumini. Sio rahisi kutoa fedha account ya kanisa bila wazee wa kanisa wote kujua.Nimeona huu mjadala
Mahala. Kama KKKT wanatakatisha fedha ni vema serikali iwachunguze Maana hawalipi kodi hawa.
Pia hawa wasamaria wanaoleta hizi taarifa inabidi serikali iwalinde wasije wakadhurika
View attachment 3138750View attachment 3138751View attachment 3138752
Sasa mkuu mbona unaongelea yaliyopita? Ni miaka mingapi sasa hivi RC hawapati tena direct support kutoka Vatican? Huwezi kuwalinganisha KKKT na RC kwa sasa!Hujanielewa,RC ni dominant wako wengi sana ila maendeleo yao yalitegemea misaada wana mizizi mizuri ya uchumi,shule,hospitali,makanisa makubwa etc.
Walutheri ni dhehebu la pili kwa ukubwa na wamefika hapo kwa asilimia kubwa kwa kujitolea wenyewe sadaka kuliko misaada.
Uongo wa mchana kweupe! Mkatoliki gani atakatoka RC aende KKKT?Kasi ya ukuwaji ya KKKT inaitisha RC hilo tunalielewa.
Tena tuna vuna waumini toka RC.
Mungu ni mwema.
Kazi ya Mungu iheshimiwe na watu woteNimeona huu mjadala
Mahala. Kama KKKT wanatakatisha fedha ni vema serikali iwachunguze Maana hawalipi kodi hawa.
Pia hawa wasamaria wanaoleta hizi taarifa inabidi serikali iwalinde wasije wakadhurika
View attachment 3138750View attachment 3138751View attachment 3138752
Wewe ndio tapeli mkubwa.Uongo wa mchana kweupe! Mkatoliki gani atakatoka RC aende KKKT?
Mvuta bangi yule na slitimuliwa"Sisi KKKT ni wafuasi wa oya oya " ...Hananja
Mtu anatoa sadaka ku wa hadharani hadi unashangaa ?! Kumbe mlango wa nyuma inarudi