Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama Anglican....ndio maana wanapigana hadi Juju kwenye chaguzi zao hazina tofauti na ccmKkkt from the start unaona kabisa alina tofauti na wakina mwamposa . Sadaka unasomesha na kulisha wake na watoto wa askofu . Marekani na ulaya
Nimechaka Sana MkuuWivu tu unawasumbua.
Wapi sadaka zikitolewa haziliwi na viongozi wa taasisi hiyo?. .
Ukisikia mtu anamtolea Mungu sadaka unadhani hiyo sadaka italiwa na Mungu au binadamu?..
Mimi siyo muumini wa KKKT lakini ninachoona kinachowaumiza ni siasa za maji taka mnazotaka kuzihusisha na KKKT.
Kama hoja ni ulafi wa madaraka au fedha hilo ni tatizo la kiongozi binafsi na siyo la taasisi.
Mitano tenaKKKT tangu zamani ni mabepari na sehemu ilipojikita mizizi huwa kuna maendeleo tofauti ba RC wajamaa.
Mahubiri ya KKKT yanewajenga sana kuwa na moyo wa kujitolea,RC miaka mingi walitegemea misaada toka ulaya
Sasa misaada ulaya imepungua wanashangaa spirit ya utoaji wa KKKT
Haya mambo ukiwa kimwili huwezi elewa Bora ukakaa kimya tuNimechaka Sana Mkuu
Wao Wanajua Sadaka Wakitoa Mungu Ndiyo Huchukua
Umesema Vema Sadaka Hutumiwa Na Binadamu
Nimeona huu mjadala
Mahala. Kama KKKT wanatakatisha fedha ni vema serikali iwachunguze Maana hawalipi kodi hawa.
Pia hawa wasamaria wanaoleta hizi taarifa inabidi serikali iwalinde wasije wakadhurika
View attachment 3138750View attachment 3138751View attachment 3138752
Mtu anatoa sadaka ku wa hadharani hadi unashangaa ?! Kumbe mlango wa nyuma inarudiWanatakatishaje?utakatishaji wa fedha ni nini?.Ilibidi atufafanulie hiyo scheme ya money laundering ndani ya KKKT inavyooperate ili tumuamini.Otherwise hii tuhuma ni ya mkulupukaji
Hahaha.....kwani muhasibu haingizi kwenye mahesabu ya mapato ya kanisa?Mtu anatoa sadaka ku wa hadharani hadi unashangaa ?! Kumbe mlango wa nyuma inarudi
Nae mwanaadamuHahaha.....kwani muhasibu haingizi kwenye mahesabu ya mapato ya kanisa?
Hiyo ni moja ya sababu ya mababa wa Kanisa Katoliki kuamua kupiga marufuku mapadri kuoa.Kkkt from the start unaona kabisa alina tofauti na wakina mwamposa . Sadaka unasomesha na kulisha wake na watoto wa askofu . Marekani na ulaya