Je ni kweli kua mazoezi yanakula mwili?

Je ni kweli kua mazoezi yanakula mwili?

Hypersonic WMD

JF-Expert Member
Joined
Apr 11, 2024
Posts
1,337
Reaction score
1,876
Je ni kweli kua mazoezi yanakula mwili??
Mwili ndio mwili
Yaan unaisha
Screenshot 2025-03-03 195319.png
 

Attachments

  • B9849159-5545-41F6-8C4F-3962C1C3DAD4.jpeg
    B9849159-5545-41F6-8C4F-3962C1C3DAD4.jpeg
    1.2 MB · Views: 1
Mkuu, hao hawafanyi mazoezi ya mwili; wanafanya maonevu ya mwili.

Ukizidisha mazoezi, mwili unaathirika kama hivyo.

Wapo wengi wanaojuta leo kufuatia upumbavu waliofanya zamani kwa jina la mazoezi.
 
Mkuu, hao hawafanyi mazoezi ya mwili; wanafanya maonevu ya mwili.

Ukizidisha mazoezi, mwili unaathirika kama hivyo.

Wapo wengi wanaojuta leo kufuatia upumbavu waliofanya zamani kwa jina la mazoezi.
Bodybuilder!
 
Mkuu, hao hawafanyi mazoezi ya mwili; wanafanya maonevu ya mwili.

Ukizidisha mazoezi, mwili unaathirika kama hivyo.

Wapo wengi wanaojuta leo kufuatia upumbavu waliofanya zamani kwa jina la mazoezi.
Ma Suplements hayo!,lazima yelete madhara hapo baadae.
 
Waangalie Wakimbia mbio ndefu wapo Kama Alien
 
Back
Top Bottom