Je ni kweli kua mazoezi yanakula mwili?

Mkuu, hao hawafanyi mazoezi ya mwili; wanafanya maonevu ya mwili.

Ukizidisha mazoezi, mwili unaathirika kama hivyo.

Wapo wengi wanaojuta leo kufuatia upumbavu waliofanya zamani kwa jina la mazoezi.
 
Mkuu, hao hawafanyi mazoezi ya mwili; wanafanya maonevu ya mwili.

Ukizidisha mazoezi, mwili unaathirika kama hivyo.

Wapo wengi wanaojuta leo kufuatia upumbavu waliofanya zamani kwa jina la mazoezi.
Bodybuilder!
 
Mkuu, hao hawafanyi mazoezi ya mwili; wanafanya maonevu ya mwili.

Ukizidisha mazoezi, mwili unaathirika kama hivyo.

Wapo wengi wanaojuta leo kufuatia upumbavu waliofanya zamani kwa jina la mazoezi.
Ma Suplements hayo!,lazima yelete madhara hapo baadae.
 
Waangalie Wakimbia mbio ndefu wapo Kama Alien
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…