Je, ni kweli kufanya kazi kwa wazungu huwa kuna maslahi mazuri pamoja na kujaliwa utu au ni stori tu za vijiweni?

Je, ni kweli kufanya kazi kwa wazungu huwa kuna maslahi mazuri pamoja na kujaliwa utu au ni stori tu za vijiweni?

sky soldier

JF-Expert Member
Joined
Mar 30, 2020
Posts
5,407
Reaction score
19,264
Wengi (sio wote)

Kunakuwaga na zile stori kwamba ukifanya kazi kwa mzungu umelamba dume, kuanzia maslahi yaani Mshahara na posho utapata kwa wakati tena kwa kiwango kizuri, utahehimiwa utu wako n.k.

Ila sasa ukiwa mvivu, inachelewa kazini, kutoka toka muda wa kazi, kunaongea sana kuliko kazi, n.k hawapindishi wanakupa ukweli usoni.

Je, haya ni ya kweli au ni stori za kuchangamsha genge?
 
Wengi (sio wote)

Kunakuwaga na zile stori kwamba ukifanya kazi kwa mzungu umelamba dume,,, kuanzia maslahi yaani Mshahara na posho utapata kwa wakati tena kwa kiwango kizuri,,, Utahehimiwa utu wako, n.k.

Je haya ni ya kweli au ni stori za kuchangamsha genge
Kweli kabisa mara mia ufanya kazi chini ya mzungu lakini sio mblack mwenzio.
Uzuri wa mzungu bwana kama wee ni mchapa kazi na muaminifu mbona wanakupigia debe kabisa na maslahi yako watakupigania. Alafu uzuri wa wazungu bwana...yeye kama ni boss anataka wachini wake wawe wazuri , watu ambao wataweza mpaka mawazo yenye tija na kumchallenge.

Bongo bwana, loh! Tuna babia zza kuwekeana kauzibe, yaani hawataki kabissa kuwa na watu competent around them. Maslahi ndio kama hivyo hawataki kukulipa vizuri. Sababu utasikia ah huyu tukimpa hela hizo atatutombeaa dada zetu....like seriously😲😲😲😲

Tupo tayari kumlipa mzungu millions lakini wa kwetu ambaye yupo anachapa kazi hatupo tayari kumlipa vizuri. Hao ndio blacks. Piga kazi na mzungu haki zako atakupa na atakupigania
 
Mzungu ni Mzungu piga teke mchina na mhindi don't try this people hawana humanity
 
Wazungu wako poa
Waarabu wako poa

Kati ya hawa, ni heri kufanya kazi kwenye makampuni ya waarabu, wana utu, wana huruma, wana hofu ya Mungu. So, waarabu kwangu ni number 1 then mzungu.

Wasiowapenda waarabu, hii comment itawaumiza sana, but no way, be patients!

Bhujiku ng'waka wananzengo👋🏻
 
Nenda kafanye kazi kwa Waarabu ndio utaweza kujua

Mungu aliwabariki sana waarabu, wana mishahara mizuri japo sio wote. Suala la utu kwakweli waarabu ni number 1 in ze weldi, wana huruma, hawapendi dhuluma, in short wanahofu na Mungu
 
Wazungu wako poa
Waarabu wako poa

Kati ya hawa, ni heri kufanya kazi kwenye makampuni ya waarabu, wana utu, wana huruma, wana hofu ya Mungu. So, waarabu kwangu ni number 1 then mzungu.

Wasiowapenda waarabu, hii comment itawaumiza sana, but no way, be patients!

Bhujiku ng'waka wananzengo👋🏻
Hao waarabu hapana aisee, hizi scania nyingi zinazoenda congo, zambia, kenya, n.k za waarabu, Madereva wengi sana wanalalamika kunyanyaswa, hata mikataba tu hakuna, madereva wanaumizwa sana yani + kudhalilishwa...
 
Hao waarabu hapana aisee, hizi scania nyingi zinazoenda congo, zambia, kenya, n.k za waarabu, Madereva wengi sana wanalalamika kunyanyaswa, hata mikataba tu hakuna, madereva wanaumizwa sana yani + kudhalilishwa...

Unachokisema huenda ukawa sahihi au pengine sio sahihi, wewe hujashuhudia kwa macho yako bali umesikia. Ni vizuri ukatuletea ushahidi tukawasikia madereva wakiwalalamikia hao waarabu wakiwanyanyasa.
 
Ukikaa na mzungu na ukiwa mchapakazi una nafasi kubwa sana ya kupata mafanikio
Mzungu kukuachia chimbo baada ya mradi wake kuisha ni dk sifuri kama wewe ndio ulikuwa msimamizi wake 😀 mchina atauza hadi magodoro mliokuwa mnalalia 😀
 
Back
Top Bottom