matunduizi
JF-Expert Member
- Aug 20, 2018
- 7,968
- 19,368
- Thread starter
-
- #21
Wengi wanaona ni rahisi kufanikiwa wakiwa jijini lakini pia kuna maeneo uchumi anaoutumia kwa siku mkazi wa DSM ambaye anajitafuta kule anakuwa Don.Huwezi kufanya kilicho kupeleka kwa sababu mambo ni magumu.... Sioni faida ya kwenda jijini DSM wakati huna mwelekeo wa maisha...
. Wanaoenda kutoboa maisha dar ni wachache sana kati ya watu 1000 Wanaoenda dar, kumi na tano hawafiki ndo hutoboa maisha. ( na hao 15 kutoboa maisha umri ukiwa umeenda sana )Wengi wanaona ni rahisi kufanikiwa wakiwa jijini lakini pia kuna maeneo uchumi anaoutumia kwa siku mkazi wa DSM ambaye anajitafuta kule anakuwa Don.
Maisha ni imani, wenye imani ya kutobolea jijini waachwe ila wajue wanatkia wafaidi sio kuishi huku ukiacha 80% ya vitu vinavyoweza kukunufaisha kisa shida ya usafiri.
Uko sahihi.. Wanaoenda kutoboa maisha dar ni wachache sana kati ya watu 1000 Wanaoenda dar, kumi na tano hawafiki ndo hutoboa maisha. ( na hao 15 kutoboa maisha umri ukiwa umeenda sana )
. Dhana ya kusema ukienda dar ndo utaboa maisha ni uongo, kwa sababu hela ni channel popote pale zipo. ( ikumbukwe kuwa kwenye wajinga wengi, hiyo ndo Sehemu sahihi ya kutoboa maisha)
Umeandika ukweli mtupu.Kazi sio kupata gari,,,kazi ni kuwa na gari,,,kama vile ilivyo ngumu kupata nyumba na ilivyo rahisi kuwa na nyumba.....kwa kifupi ni kwamba unahitaji fedha kuendelea kuwa na gari ila ukishapata nyumba sio lazima kuwa na fedha ili uendelee kuwa na nyumba.......
Mbona mnaoenda visingizio? Mtaani kuna gari zinauzwa hadi 2m achana na za kuagiza.TRA waione hii msg pale bandarini na kwenye calculator yao😆😆
Zinakuwa mbovu sana hizo, Hata Japan zipo za Milioni 2 bro ila sasa ikifika Bandarini kodi zake we unazijuaMbona mnaoenda visingizio? Mtaani kuna gari zinauzwa hadi 2m achana na za kuagiza.
Huna logic. Kwani wanoishi mikoa tofauti hawapo wanaokula mlo mmojaWanaofaidika na jiji la DSM ni wachache sana.
Wengine wanaambulia kung'atwa na MBU tu, plus Kuishi kwa mlo mmoja kwa siku 🥴🥴
Hapo chanika sikuhizi pameshajaa tayari kama unataka kiwanja itakubidi uende HOMBOZA Huko... abiria wa Chaika wanaongoza Kwa kulala kwenye daladala kwasababu ya kuamka usiku wa manane kuwahi usafiriChanika mkuu nilikuwa sijawahi kufika, siku naenda nilialala na kuamka mara tatu safarini kwenye daladala.
Serikali inapopangamba kuweka rami na shortcut za kufikia maeneo ya maana na sisi lazima tupambanr na kuweka malengo ya kufika huko bila kukwamishwa na vitu kama usafiri. Mfano Likizo mtoto unataka aende Maktaba akajisomee au apata connection na wenzake (exposure). Hapo inakuwa kama haiwezekani kwa daladala.
Homboza ni km ngapi kutoka chanikaHapo chanika sikuhizi pameshajaa tayari kama unataka kiwanja itakubidi uende HOMBOZA Huko... abiria wa Chaika wanaongoza Kwa kulala kwenye daladala kwasababu ya kuamka usiku wa manane kuwahi usafiri
Aisee ni zaidi ya km 8Homboza ni km ngapi kutoka chanika
Gari si basic need. Ukiliondoa binadamu ataendelea kuishi kama kawaidaGari ni basic need. Gari sio anasa.
Food, shelter and clothes hizi zilikiwa basic need enzi tunapata uhuru. Kadili siku zinavyoenda na mtu anavyoweka vipaumbele basic need zinabadilika.Gari si basic need. Ukiliondoa binadamu ataendelea kuishi kama kawaida
Recently kuna aina fulani ya majukumu ukiwa nayo ni muhimu kuwa na gari
di mikoani..siye wa mikoani tuna magari we wa dsm huna...unafanya nini mjini...Ni kweli mkuu ila kama huna uwezo wa kununua
hilo gari utafanyaje?
Nimekutana na huu mjadala mahala.
Watoa hoja wanatoa sababu za msingi. Dar ni jiji pana kulinganisha na majiji yote nchini.
Mtu kutoka Bunju kwenda chanika Ukiwa Mwanza unakuwa umeshafika karibu na Mwigumbi mpakani na Shinyanga.
Kama unakaa chanika, na unataka kuenjoy na familia weekend qngalau beach. Utateseka hadi ujute kuzaliwa.
Kuna jamaa alitoka Gomzi ndanindani kuelekea Mcity na familia kuwatoa ushamba kidogo, kurudi hakuna usafiri, na anapesa iliyokamiri. Alifika nyumbani saa sita usiku utadhani alikuwa anatokea Singida kumbe yumo humohumo DSM.
Jamaa hawa walikuwa na pointi kwa kiasi flani. Vinginevyo uamue kuichagua kakona kamoja ka jiji na maosha yako yaishie hapohapo huku sehemu za mbali usubiri kuzisikia redioni.
Ukiwa mikoani hata kwa baiskeli unazunguka kila kona na unafika kila sehemu muhimu kwa masaa.
Unachanganya basic needs na vitu vingine. Mara ya kwanza natembelea US nilidhani nitakuta kila mtu ana gari, but no. Wengi hawana instead wana prefer publick transportFood, shelter and clothes hizi zilikiwa basic need enzi tunapata uhuru. Kadili siku zinavyoenda na mtu anavyoweka vipaumbele basic need zinabadilika.
Kuna wengine Private Jet ni basic need kwao wakati wengine kumiliki baiskeli ni anasa.
Watu wapime, na wajiwekee basic needs zao.
Nitajie huo mkoaHuna logic. Kwani wanoishi mikoa tofauti hawapo wanaokula mlo mmoja
Kwenye calculator hapo ndio pa muhimu zaidi maana kodi ya gari moja ina magari mawili 🤣.TRA waione hii msg pale bandarini na kwenye calculator yao😆😆