Je, ni kweli kuishi Dar es Salaam bila gari ni kujipunja na kuihujumu familia kimaisha?

Je, ni kweli kuishi Dar es Salaam bila gari ni kujipunja na kuihujumu familia kimaisha?

Huwezi kufanya kilicho kupeleka kwa sababu mambo ni magumu.... Sioni faida ya kwenda jijini DSM wakati huna mwelekeo wa maisha...
Wengi wanaona ni rahisi kufanikiwa wakiwa jijini lakini pia kuna maeneo uchumi anaoutumia kwa siku mkazi wa DSM ambaye anajitafuta kule anakuwa Don.

Maisha ni imani, wenye imani ya kutobolea jijini waachwe ila wajue wanatkia wafaidi sio kuishi huku ukiacha 80% ya vitu vinavyoweza kukunufaisha kisa shida ya usafiri.
 
Kazi sio kupata gari,,,kazi ni kuwa na gari,,,kama vile ilivyo ngumu kupata nyumba na ilivyo rahisi kuwa na nyumba.....kwa kifupi ni kwamba unahitaji fedha kuendelea kuwa na gari ila ukishapata nyumba sio lazima kuwa na fedha ili uendelee kuwa na nyumba.......
 
Wengi wanaona ni rahisi kufanikiwa wakiwa jijini lakini pia kuna maeneo uchumi anaoutumia kwa siku mkazi wa DSM ambaye anajitafuta kule anakuwa Don.

Maisha ni imani, wenye imani ya kutobolea jijini waachwe ila wajue wanatkia wafaidi sio kuishi huku ukiacha 80% ya vitu vinavyoweza kukunufaisha kisa shida ya usafiri.
. Wanaoenda kutoboa maisha dar ni wachache sana kati ya watu 1000 Wanaoenda dar, kumi na tano hawafiki ndo hutoboa maisha. ( na hao 15 kutoboa maisha umri ukiwa umeenda sana )

. Dhana ya kusema ukienda dar ndo utaboa maisha ni uongo, kwa sababu hela ni channel popote pale zipo. ( ikumbukwe kuwa kwenye wajinga wengi, hiyo ndo Sehemu sahihi ya kutoboa maisha)
 
. Wanaoenda kutoboa maisha dar ni wachache sana kati ya watu 1000 Wanaoenda dar, kumi na tano hawafiki ndo hutoboa maisha. ( na hao 15 kutoboa maisha umri ukiwa umeenda sana )

. Dhana ya kusema ukienda dar ndo utaboa maisha ni uongo, kwa sababu hela ni channel popote pale zipo. ( ikumbukwe kuwa kwenye wajinga wengi, hiyo ndo Sehemu sahihi ya kutoboa maisha)
Uko sahihi.
 
Kazi sio kupata gari,,,kazi ni kuwa na gari,,,kama vile ilivyo ngumu kupata nyumba na ilivyo rahisi kuwa na nyumba.....kwa kifupi ni kwamba unahitaji fedha kuendelea kuwa na gari ila ukishapata nyumba sio lazima kuwa na fedha ili uendelee kuwa na nyumba.......
Umeandika ukweli mtupu.
 
Mbona mnaoenda visingizio? Mtaani kuna gari zinauzwa hadi 2m achana na za kuagiza.
Zinakuwa mbovu sana hizo, Hata Japan zipo za Milioni 2 bro ila sasa ikifika Bandarini kodi zake we unazijua
 
Wanaofaidika na jiji la DSM ni wachache sana.

Wengine wanaambulia kung'atwa na MBU tu, plus Kuishi kwa mlo mmoja kwa siku 🥴🥴
Huna logic. Kwani wanoishi mikoa tofauti hawapo wanaokula mlo mmoja
 
Chanika mkuu nilikuwa sijawahi kufika, siku naenda nilialala na kuamka mara tatu safarini kwenye daladala.

Serikali inapopangamba kuweka rami na shortcut za kufikia maeneo ya maana na sisi lazima tupambanr na kuweka malengo ya kufika huko bila kukwamishwa na vitu kama usafiri. Mfano Likizo mtoto unataka aende Maktaba akajisomee au apata connection na wenzake (exposure). Hapo inakuwa kama haiwezekani kwa daladala.
Hapo chanika sikuhizi pameshajaa tayari kama unataka kiwanja itakubidi uende HOMBOZA Huko... abiria wa Chaika wanaongoza Kwa kulala kwenye daladala kwasababu ya kuamka usiku wa manane kuwahi usafiri
 
Gari si basic need. Ukiliondoa binadamu ataendelea kuishi kama kawaida
Recently kuna aina fulani ya majukumu ukiwa nayo ni muhimu kuwa na gari
Food, shelter and clothes hizi zilikiwa basic need enzi tunapata uhuru. Kadili siku zinavyoenda na mtu anavyoweka vipaumbele basic need zinabadilika.
Kuna wengine Private Jet ni basic need kwao wakati wengine kumiliki baiskeli ni anasa.

Watu wapime, na wajiwekee basic needs zao.
 
Nazn kuishi bila gari kwa cc wa tz tusiokuw na ratba ya zoez ni more profitable than having a car
 
Nimekutana na huu mjadala mahala.
Watoa hoja wanatoa sababu za msingi. Dar ni jiji pana kulinganisha na majiji yote nchini.

Mtu kutoka Bunju kwenda chanika Ukiwa Mwanza unakuwa umeshafika karibu na Mwigumbi mpakani na Shinyanga.

Kama unakaa chanika, na unataka kuenjoy na familia weekend qngalau beach. Utateseka hadi ujute kuzaliwa.
Kuna jamaa alitoka Gomzi ndanindani kuelekea Mcity na familia kuwatoa ushamba kidogo, kurudi hakuna usafiri, na anapesa iliyokamiri. Alifika nyumbani saa sita usiku utadhani alikuwa anatokea Singida kumbe yumo humohumo DSM.

Jamaa hawa walikuwa na pointi kwa kiasi flani. Vinginevyo uamue kuichagua kakona kamoja ka jiji na maosha yako yaishie hapohapo huku sehemu za mbali usubiri kuzisikia redioni.

Ukiwa mikoani hata kwa baiskeli unazunguka kila kona na unafika kila sehemu muhimu kwa masaa.

Popote pale kuwa na gari ni muhimu. Na maeneo mengine, hususan ya mjini ni necessity.
 
Food, shelter and clothes hizi zilikiwa basic need enzi tunapata uhuru. Kadili siku zinavyoenda na mtu anavyoweka vipaumbele basic need zinabadilika.
Kuna wengine Private Jet ni basic need kwao wakati wengine kumiliki baiskeli ni anasa.

Watu wapime, na wajiwekee basic needs zao.
Unachanganya basic needs na vitu vingine. Mara ya kwanza natembelea US nilidhani nitakuta kila mtu ana gari, but no. Wengi hawana instead wana prefer publick transport

Basic needs ni zile need muhimu binadamu akikosa anafutika duniani. Gari si basic need
Ni additional need
Na itabaki kuwa hivyo, hao wenye ndege hizo ni need zao kutokana na aina ya life style waliyonayo na business wanazo run

No put in mind si kila mtu ana uwezo, lakini pia ingekuwa ni basic need wasiokuwa na gari wangeshakufa
Dunia ingebaki na wenye magari only
 
TRA waione hii msg pale bandarini na kwenye calculator yao😆😆
Kwenye calculator hapo ndio pa muhimu zaidi maana kodi ya gari moja ina magari mawili 🤣.
"Shenzi" in Leonardo's voice 🤣🤣
 
Back
Top Bottom