simplemind
JF-Expert Member
- Apr 10, 2009
- 16,418
- 9,209
Duh JF bana.Hajatupa hata feedback jinsi alivyowachana chana mabeberu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Duh JF bana.Hajatupa hata feedback jinsi alivyowachana chana mabeberu.
Pascal na Makonda siyowasemaji wa corona ila tulimkosoa makonda lakini tunampongeza Pascal.
na zile pua zake muda wote zipo wazi kama pua za ng’ombe kuukwa ukorona ni rahisi sana.Natabiri: atakuwa yule mwenye kuangalia wenzake kwa kuwakazia macho. Yule alietolewa jalalani.
Hapo wapi??Huyo kajitangaza mwenyewe ila kinachoendelea hapa ni tofauti.
Pascal Mayalla nakushauri futa huu uzi. Kama ulipokonyoka ktk line ya akina Kabendera hapa utanasa. Ni ushauri tuu maana umetafutiwa target muda mrefu.
Salama Aboud Talib (Waziri wa Nishati - SMZ) ashukiwa kuugua CORONA.
Kuumwa sio weakeness, na hamhusu yyt la kwa sbb ya prominence yake lkn na hivyo weakeness inayoongelewa hapo ni ile hatari anayoisababisha mgonjwa kwa kukataa kuvaa mask na kwenda eneo tengwa ili kuwakinga wengine!!Kwani akiugua korona wewe inakuhusu nini
Hatari ni pale anapokataa kuwakinga wengine, we utaina sawa kwa sababu ya uchama but ni HATARI kwako pia!!Yaani ni hatari kwa kuwa Waziri ameugua? Kuna Waziri Mkuu wa Uingereza naye ameugua!