kina kirefu
JF-Expert Member
- Dec 14, 2018
- 15,188
- 18,583
Watanzania tunautamaduni wakuungana kwenye mambo yamsingi tofauti na gvt ...hapa mayala ametwambia jambo zuri LA kitanzania na sio lakiserikali LA ki nchi
Sent using Jamii Forums mobile app
Leo sioni Pascal kuambiwa mchumia tumbo wala kutaka kuteuliwa na rais,sababu ameeleza yenye kuwafurahisha.
Sent using Jamii Forums mobile app