The Sunk Cost Fallacy
JF-Expert Member
- Dec 1, 2021
- 19,582
- 14,167
Moja kati ya miradi outdated design,,,,,poor and shabby design...,,,,,Jamani Dodomaaa [emoji116]
Hasira za wivu peleka Mwanza mnakoaminishwa makaratasi..Moja kati ya miradi outdated design,,,,,poor and shabby design...,,,,,
Sent using Jamii Forums mobile app
Mara mia hata hii design [emoji116][emoji116]Hasira za wivu peleka Mwanza mnakoaminishwa makaratasi..
Dom ni Kazi tuu [emoji116]
Mwanza imeshavunjwa miguu zamani sana ππ.Wakati huo ..mwanza imevunjwa miguu au ........fatilia growth rate ya miji ndio uje usemee
Wivu tuu unakusumbua,Design ya Dom ni kali kuliko hiyo design ya Mwanza imekaa kama mall ππMara mia hata hii design [emoji116][emoji116]View attachment 2402594
Sent using Jamii Forums mobile app
Hivi mwanza ina watu wangapi mkuu?Nasubiri population figure ya dodoma...si mlisema dodoma inakuja Kwa kasi!!?[emoji28][emoji28][emoji28]
Sent using Jamii Forums mobile app
Kutoka 2.7 milion
Unaweza kutupia hizo taarifa humu nasi tuzipitie.
Unaweza kuweka taarifa hizo humu.
Ushamba wao uliuona kwenye mambo gani wewe zezeta la mirembe, mkiambiwa mlete facts au data mnakimbilia kusema Mwanza wakazi wake ni washamba mkiulizwa ushamba wao huko wapi mnajiumauma tu, au ujanja ni kuwa mashoga na wasenge wasenge kama nyie.Mwanza ni jiji kubwa ila washamba wapo hadi mjini kati. Kwa kifupi mwanza ukiwa mjini na vijijini tofauti ni lami tu
Taarifa ya Leo ya Sensa 2022Unaweza kuweka taarifa hizo humu.
...Ushamba wao uliuona kwenye mambo gani wewe zezeta la mirembe, mkiambiwa mlete facts au data mnakimbilia kusema Mwanza wakazi wake ni washamba mkiulizwa ushamba wao huko wapi mnajiumauma tu, au ujanja ni kuwa mashoga na wasenge wasenge kama nyie.
Hao watu wa Mwanza hawako jikoni bali wako Nansio,Misungwi,Sengerema,Kwimba na maeneo mengine ya huko maporini..