Rafiki angu uwe unaongea Kwa data basi ..let migration rate ya dodoma vs migration rate ya mwanza ..na ilete birth rate ya dodoma ...Hii ni Logic kwanza wasukuma ni wengi sana nchi hii na wanazaa sana lakini Dodoma wengi wanaokuja sio wazaliwa wa Dodoma wako kwa ajili ya fursa mbele yao hii dalili tosha kukupa idea nchi inaenda wapi. Serikali ime invest sana Dodoma
Unajuwa kuna shida wako watu hawataki kukubali ukweli mimi nimepata bahati ya kufika Dodoma majuzi unaona kabisa kwa macho tu wala uhitaji kusoma kwamba mji unakuwa kwa kasi na fursa zinaongezeka. Nilisikiliza plan ya mji kwa miaka 10 ijayo ni hatari kwa standard zetu za kibongo mji unaenda kukuwa level nyingine watu wamedhamiria.Wakitoa matokeo ya watu ikaonyesha Dom kuwa na wakazi Kati ya 600-700k basi mwaka 2032,Dodoma itakuwa sawa na Mwanza kwenye population..
Ila tofauti itakuwa ni kwamba population ya Dom ni ya wenye pesa na Mwanza ni population ya maskini waliorundikana kwenye mabanda ππ..
Kwa muktadha huo Dom ndio litakuwa Jiji la mfano hapa Tanzania kwa kila kitu kuanzia miundombinu hadi huduma za jamii..
Mpango wa Ujenzi wa Mji wa Serikali unakamilika 2035 na by that time takribani miundombinu yote ya kiserikali na Kijamii itakuwa tayari hapa tunazungumzia ni ndani ya miaka 10 tuu ijayo..
Kama saizi imeshawatoa makamasi na ni ndani ya miaka 4 tuu toka ujenzi uanze unategemea by 2030 Jiji litakuaje?
Hata mim nikikuletea figure ya mwanza master plan .utaona ni Busan city ya koreaUnajuwa kuna shida wako watu hawataki kukubali ukweli mimi nimepata bahati ya kufika Dodoma majuzi unaona kabisa kwa macho tu wala uhitaji kusoma kwamba mji unakuwa kwa kasi na fursa zinaongezeka. Nilisikiliza plan ya mji kwa miaka 10 ijayo ni hatari kwa standard zetu za kibongo mji unaenda kukuwa level nyingine watu wamedhamiria.
Hili wala halihitaji Data Mwanza mjini wasukuma wako kibao nenda Dodoma mjini kama utakuta wagogo hiyo tosha kukwambia wengi sio wazaliwa wa Dodoma.Rafiki angu uwe unaongea Kwa data basi ..let migration rate ya dodoma vs migration rate ya mwanza ..na ilete birth rate ya dodoma ...
Kama huna kaa kimya ..hii battle ngumu kwako
Sent using Jamii Forums mobile app
Dodoma wakandarasi wako kazini sio makaratasiHata mim nikikuletea figure ya mwanza master plan .utaona ni Busan city ya korea
Sent using Jamii Forums mobile app
140Km ring road wakandarasi wanapiga kazi, New airport wako kazini, Mji wa serikali wako kazini....SGR main station wako kazini hii sio makaratasi ni real na hii sio miradi ya kitoto.Hata mim nikikuletea figure ya mwanza master plan .utaona ni Busan city ya korea
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa kukusahidia tu MWANZA pamoja nakuwa na hiyo airport uchwara lakini ndo inaongoza kwa domestic route na domestic passengers baada ya Dar na pia Mwanza ndo airport ya pili kwa wingi wa ndege za cargo za kimatifa.Kuhusu SGR ndo ukae kimya Mwanza ndo hina station mbili za kimataifa(fela na posta) pia kuna bandariya nchi kavu inajengwa sambamba na sgr si hadithi(fela) pia kuna bandari za majini zinafanya kazi na meli kubwa ninajengwa sio hadith.Pia kuna mgodi mkubwa sana wa dhahabu unaanza mwakani ni wapili baada ya GGM .Sasa nyie endeleeni kufiria simple kwa mambo magumu.Mwanza walikuwa wanajukana wanazaana sana hapa issue sio wingi maana hata Tabora wengi tu lakini wana nini? Point yangu naijuwa Mwanza wakati huo naijuwa Dodoma wakati huo, Mwanza walikuwa kama wanataka ushindani na Dar sasa leo hii Dar imekuwa level zingine hawa waliokuwa nyuma sana Dodoma ndio wanakuja kuwapiku very soon hata Aiport 2024 ya Msalato itazima kabisa ndoto za Mwanza kubaki number 2 na hizi barabara za Dodoma na kituo kikubwa cha SGR Dodoma bandari kavu kuna mengi yanaendelea makao makuu tupende tusipende huo ndio ukweli.
Mwanza daraja la bilioni 700 wakandarasi wako asilimia 55 ..SGR viaduct na bandari kavu wakandarasi wako kazini .. airport terminal wakandarasi wako kazini ... central market,meli kubwa ziwa Victoria wakandarasi wako kazini ...Aya wew unasema nini .kipyaDodoma wakandarasi wako kazini sio makaratasi
Kwan wasukuma wote wanatokea mwanzaHili wala halihitaji Data Mwanza mjini wasukuma wako kibao nenda Dodoma mjini kama utakuta wagogo hiyo tosha kukwambia wengi sio wazaliwa wa Dodoma.
Majinga hayo yanaona wivu kupitwa.Utasikia tuonyeshe uwekezaji sasa sijui hiki hapa chini ni taka mwili zao au? .πUnajuwa kuna shida wako watu hawataki kukubali ukweli mimi nimepata bahati ya kufika Dodoma majuzi unaona kabisa kwa macho tu wala uhitaji kusoma kwamba mji unakuwa kwa kasi na fursa zinaongezeka. Nilisikiliza plan ya mji kwa miaka 10 ijayo ni hatari kwa standard zetu za kibongo mji unaenda kukuwa level nyingine watu wamedhamiria.
Hahahahahaaa. Mmea wa Arusha katika ubora wakeHunaga akili wewe [emoji116]
Unajaribu kuleta source za kutunga. Ili kujifariji si ndio? ππππππππ.Kwa taarifa yako hii hapa ndio accurate.figure ya population ya mwanza pamoja na growth rate yake ..we endelea kusubiri makaraniView attachment 2405506
Sent using Jamii Forums mobile app
Siyo rahisi. Mwanza watu wanahamia kila siku kutoka nchi zote za Maziwa Makuu. Watu hawako tayari kuacha samaki na kwenda kuishi mitunduruni.Dodoma baada ya 4 years toka sasa itawaacha wengi tu hiyo population tu zamani Mwanza walikuwa wanawazidi Dodoma zaidi ya watu million 2 na zaidi leo laki 4 tu hiyo dalili watu wanakuja sababu fursa zipo Mwanza wamedumaa wanadhani watabaki na ile status jiji la pili milele wakishtuka watu wanawaacha soon.
Matajiri Dodoma watoke wapi ? Nitajie tajiri mmoja aliyewekeza Dodoma tofauti na waajiriwa wa serikali ambao wakipata fedha wanaenda jenga Dar, Mwanza au Arusha kukimbia baridi yabisi ya Dodoma.Wakitoa matokeo ya watu ikaonyesha Dom kuwa na wakazi Kati ya 600-700k basi mwaka 2032,Dodoma itakuwa sawa na Mwanza kwenye population..
Ila tofauti itakuwa ni kwamba population ya Dom ni ya wenye pesa na Mwanza ni population ya maskini waliorundikana kwenye mabanda [emoji16][emoji16]..
Kwa muktadha huo Dom ndio litakuwa Jiji la mfano hapa Tanzania kwa kila kitu kuanzia miundombinu hadi huduma za jamii..
Mpango wa Ujenzi wa Mji wa Serikali unakamilika 2035 na by that time takribani miundombinu yote ya kiserikali na Kijamii itakuwa tayari hapa tunazungumzia ni ndani ya miaka 10 tuu ijayo..
Kama saizi imeshawatoa makamasi na ni ndani ya miaka 4 tuu toka ujenzi uanze unategemea by 2030 Jiji litakuaje?
Lete Data hapa acha kuropoka kama mwehuItakuwa na by 2032 inaweza kuwa kwenye 1.3Mil vs 1M ya Dom ila tofauti ni kwamba Wa Dom Wana pesa wa kwenu ni njaa kali.
Pole sana hivi kwa mara ya mwisho umefika Mwanza lini ?Chuo Cha fishery Kiko wapi? Ntakuwa nimesahau majina ya mitaa ila sio kwamba siijui Mwanza. mitaa ila njia hiyo yote ya kutoka mkolani ni uswazi wa kuzidi.
Mwanza walikuwa na nafasi kubwa sana lakini imepita hiyo najuwa shida watu wa Mwanza kukubali lakini ndio ukweli mchungu na hakuna haja ya kuandikia mate mambo yanaonekana na siku hizi ukifanya ujinga tu utasikia wasukuma bwana yaani watu wanawachukulia bado sana japo najuwa utani lakini kuna sababu ya kila utani.Siyo rahisi. Mwanza watu wanahamia kila siku kutoka nchi zote za Maziwa Makuu. Watu hawako tayari kuacha samaki na kwenda kuishi mitunduruni.
2050.Pole sana hivi kwa mara ya mwisho umefika Mwanza lini ?