Mkuu wa chuo
JF-Expert Member
- Feb 3, 2011
- 7,620
- 5,335
Labda wakati Mwanza ipo pamoja na Geita...Dodoma baada ya 4 years toka sasa itawaacha wengi tu hiyo population tu zamani Mwanza walikuwa wanawazidi Dodoma zaidi ya watu million 2 na zaidi leo laki 4 tu hiyo dalili watu wanakuja sababu fursa zipo Mwanza wamedumaa wanadhani watabaki na ile status jiji la pili milele wakishtuka watu wanawaacha soon.
Huna hoja 😄😄Utaniambia nini wewe mtoto wa Matonya sifa zenu ni kuomba omba na kujifanya vipofu sio kwamba hatuwajui ila huwa tunawasahidia ili msife njaa.😂😂😂nilipita dodoma aisee nilishangaa sana jua kali watu wako pembezoni mwa barabara wanaomba mabasi yanayopita wakati mabasi yenyewe yanatembea speed 100km/hr.Huo muda kwanini mtu usifanye kazi??
Huwa siishi uswazi mimi hata siku moja,nije kwenye Kansa huko kufanya nini?Nitakutag..na dodoma ikifika 700k ..nitag nikutumie nauli uje mwanza .....
[emoji116]
Mwanza duplex apartment [emoji91][emoji91]View attachment 2405769View attachment 2405770
Sent using Jamii Forums mobile app
Acha kulia lia ,leta hoja sio vioja.Wewe jamaa Mwanza inakuumiza kichwa sana😂😂😂ila ni ujinga wako.Mwanza ni habari nyingine,historia inaonesha Mwanza haijawahi kushuka walikuwepo Tanga ikaja ikapotea Mwanza hipo,wakaja Arusha wakapotea mwanza ndo inazidi kusimama,wakaja mbeya wakapote Mwanza hipo.Sasa wamekuja dodoma ambayo haina hata identiity ya kiuchumi tofauti na tanga ina bandari au utalii kama arusha zaidi ya siasa ila wanavyopiga domo utadhani hawaijui mwanza kwa vitu vyake hatari.Dodoma na Mwanza kitabia,Kijiografia,kiutamaduni,kiklamatolojia,kiuchumi na kiasa ni vitu viwil tofauti kabisa yaani mbingu na ardhi na haitatokea dodoma kuwa kama mwanza au mwanza kuwa kama dodoma.Dodoma serikali hata ifanye nini haiwezi fikia Mwanza.Mwanza ni natural attrction.
Bahati nzuri waliopigia debe sana Dodoma kuwa makao makuu ni watu wa kanda ya ziwa na JPM ndio kabisa mtu wa huko akapiga msumari wa mwisho, hakuna budi itabidi mvumilie tu imeshakuwaUtaniambia nini wewe mtoto wa Matonya sifa zenu ni kuomba omba na kujifanya vipofu sio kwamba hatuwajui ila huwa tunawasahidia ili msife njaa.😂😂😂nilipita dodoma aisee nilishangaa sana jua kali watu wako pembezoni mwa barabara wanaomba mabasi yanayopita wakati mabasi yenyewe yanatembea speed 100km/hr.Huo muda kwanini mtu usifanye kazi??
Nina wasiwasi hujawahi fika Dodoma please watu kutoka Dom msaidieni huyu PunguaniSasa maeneo uliyotaja yote unayoita Vijijini ndio yako ndani ya Jiji la Dodoma na Wilaya ya Chamwino ambayo iko mbioni kutangazwa Manispaa..
No excuses here Nimekupa clear data kutoa NBS sasa wewe unaokoteza vitaarifa vinavyo suit ujinga wako 😂😂.
Mzee stuka Dom ya Leo ni ya 2022 sio 2012 👇
Dodoma itaua mtu aisee sio kwa speed hii 👇Nitakutag..na dodoma ikifika 700k ..nitag nikutumie nauli uje mwanza .....
[emoji116]
Mwanza duplex apartment [emoji91][emoji91]View attachment 2405769View attachment 2405770
Sent using Jamii Forums mobile app
Maneno meengi yasiyo na msingi ila ukweli ni hapa kwenye video..Huwa tunawambia Dodoma bado sana watu wazima wanabisha utadhani hawana vichwa.Dodoma pamoja na serikali kupamba sana lakini jiji bado ni matembe na slums hadi anwani za makazi ni shida.Je,Dodoma ikifikia ukubwa wa Dar na Mwanza itakuwaje??
Ulishawahi kufika dodoma?katika majengo yaliyipo pale nyumba za nhc hazifiki hata 5%[emoji28][emoji28][emoji28]eti nyumba za NHC nazo Zina thaman kubwa
Sent using Jamii Forums mobile app
Sa mbona arusha na moshi ni far better than mwanza?na hakuna bahari wala ziwaMji usio na bahari wala Ziwa ni michosho tu. Hivi Dodoma weekend wanakwenda kuenjoy wapi ? Hakuna beach wala zoo ni mitunduru na vumbi kwa kwenda mbele. Mji gani huo wa kuishi ? Pole sana.
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji23]daahWewe mtu wa porini huko Sumbawanga utajua nini mambo ya mjini. Endelea kula nguruwe pori. Mambo ya majiji tuachie wenyewe
Dodoma na mwanza neck neck huoni ni aibu mji mkubwa kama mwanza kutokewa baru na Dodoma?Mnapotoa takwimu.mtoe kikamilifu [emoji116][emoji116].MWANZA ya pili Kwa Majengo,ya kwanza Kwa ujenzi [emoji116]View attachment 2405386
Sent using Jamii Forums mobile app
Hiyo ni Italy weka picha ya mwanzaIvi watu wanaoilinganisha mwanza na dodoma wanaakili kweli nawasiwasi na akili zao
JIJI LA MWANZA :-
1-Kuna MIGODI YA MADINI MIKUBWA MITATU na migodi bubu kama yote
2-Ziwa victoria chanzo cha mto NILE wamisri wanipiga pesa kwa kumia huu mto ambao chanzo chake ni mwanza Dagaa wa mwanza mkoa gani hazipo zimekua mkombozi wa familia nyingi za kitanzania SATO samak mwenye heshima Tanzania nzima nenda hotel yoyote uone sato alivyo jibrand Sangara ana bondo ndani ya tumbo lake lenye thamani kuliko samaki mwenyewe BONDO NI KAMA DHAHABU kwa ufupi tu bondo ndio linatengeza nyuzi za kushonea wakati wa oparation mahosptal zote duniani
3-Vyakula vingi sana na vyote vinazalishwa ndani ya mkoa huska haku hakuna cha mchele wa mbeya
4-Usafiri mwanza hakuna njia kubwa isiyo na daladala sio bajaji daladala la abiria
5-BIASHARA ni kubwa mno kwanza muingiliano wa watu ni mkubwa sana Kuna MIKOA MINGI na WILAYA KUBWA zinaitegemea mwanza mfano shinyanga kahama katoro chato kibondo kasulu kigoma mjini msingwi bukoka katoro chato musoma sirari simuyu kakonko nyakanazi geita ukerewe jaman nimechoka kutype na mingineyo
SO TUBISHANE KWA FACT mkoa unajulikana kwa kuzalisha zabibu tu iacheni MWANZA IJAYOView attachment 2405425
Neck to neck wapi . kwenye kitu gani hasa .Dodoma na mwanza neck neck huoni ni aibu mji mkubwa kama mwanza kutokewa baru na Dodoma?
Takwimu zinaongea sio maneno.Mwanza ndo mkoa unaongoza kwa majengo yanayojengwa(majengo mpya) na hakuna uchafu wa NHc.Sasa sijui Dodoma pamoja na NHC (vijumba vya msaada)mko nafasi yangapi??.Maneno meengi yasiyo na msingi ila ukweli ni hapa kwenye video..
Dom the Capital City 👇