We mwenye exposure ni kitu gani umexpose hapa zaidi ya ulimbukeni na kutafuta popularity isivyo na maanWapo wengi sana. Tatizo watu wa mwanza exposure zero, au mkipata kidogo ni uzeeni alafu mnajikuta mnajua.
Watu wa mwanza huwa hawajui kutafuta kujua vitu vya kijinga huwa wanatumia muda mwingi kusaka pesa na sio kusikiliza story za vijiwe vya kahawa.Wapo wengi sana. Tatizo watu wa mwanza exposure zero, au mkipata kidogo ni uzeeni alafu mnajikuta mnajua.
Popularity ningeitaka ningeweka majina yangu ya kiserikali lofa wewe. Najaribu tu kuwaambia watu wa mwanza kuwa kweli mji wenu umekua, wasukuma sasa angalau wanaona vighorofagjorofa tudogo, ila wenzenu walishawatangulia, yani ni Arusha na Dar. On all fronts. Alafu arusha sehemu incorporated ya jiji ni CBD tu, watafanya marekebisho na utaelewa kwa nini mwanza ni shithole tu. Arusha wenzenu pale hakuna lugha isiyoongelewa pale, kireno, kirussi name it, Arusha ina global presence, wameanza kila kitu kabla yenu. Poleni lakini please please hakuna cha kulinganisha, Mwanza ni mji mkubwa lakini hauna la maana. Its not popping. Bakini kuwa watazamaji. Trendsetters Tanzania ni Dar na Arusha. Tanga ni honorable mention.We mwenye exposure ni kitu gani umexpose hapa zaidi ya ulimbukeni na kutafuta popularity isivyo na maan
Ukiangalia how ... impotent you're..uleta mambo ya arusha kwenye Uzi wa dodoma how do they relate ..Popularity ningeitaka ningeweka majina yangu ya kiserikali lofa wewe. Najaribu tu kuwaambia watu wa mwanza kuwa kweli mji wenu umekua, wasukuma sasa angalau wanaona vighorofagjorofa tudogo, ila wenzenu walishawatangulia, yani ni Arusha na Dar. On all fronts. Alafu arusha sehemu incorporated ya jiji ni CBD tu, watafanya marekebisho na utaelewa kwa nini mwanza ni shithole tu. Arusha wenzenu pale hakuna lugha isiyoongelewa pale, kireno, kirussi name it, Arusha ina global presence, wameanza kila kitu kabla yenu. Poleni lakini please please hakuna cha kulinganisha, Mwanza ni mji mkubwa lakini hauna la maana. Its not popping. Bakini kuwa watazamaji. Trendsetters Tanzania ni Dar na Arusha. Tanga ni honorable mention.
Ni kwamba, ata dodoma imewazidi.Ukiangalia how ... impotent you're..uleta mambo ya arusha kwenye Uzi wa dodoma how do they relate ..
Nenda kaongeze level of your intelligence capacity ndio urudi kwenye uzi
Ukitoa majengo ya AICC,NSSF,PPF,NGORONGORO, na nyuumba za NHC ni nyingi sana hapo! Usitudanganye serkali na uwepo wa Afrika mashariki ndo kunaibeba Arusha sana!Kama jengo lipi la utalii? Kumbe ata kutembea hujatembea. Arusha ni wapambanaji, hakuna maghorofa ya serikali mengi pale. Mengi ni ya watu binafsi.
Arusha bila mkono wa serikali haina tofauti na loliondo.Ukitoa majengo ya AICC,NSSF,PPF,NGORONGORO, na nyuumba za NHC ni nyingi sana hapo! Usitudanganye serkali na uwepo wa Afrika mashariki ndo kunaibeba Arusha sana!
Takwimu zinawakataa sana wakazi wa Mwanza...sema sasa watafanyaje inabidi wakaze kutuonyesha ziwa VictoriaKila Takwimu Dom lazima iwanyee Mwanza [emoji23] [emoji23]
Mapato ya TRA +Halmashauri (Bilions?)
Mwanza 220+44=264.
Dodoma 191+89=280
View attachment 2471342
Dodoma imechapa Mwanza,kila siku nawaambia Mwanza is overrated [emoji1787][emoji1787]
Vip hzi zinawakubali[emoji28][emoji28][emoji116]Takwimu zinawakataa sana wakazi wa Mwanza...sema sasa watafanyaje inabidi wakaze kutuonyesha ziwa Victoria
[emoji23][emoji23][emoji23]
Mmeanza kurely kwenye predictions [emoji23][emoji23][emoji23]Vip hzi zinawakubali[emoji28][emoji28][emoji116]View attachment 2473688
Kwa Sasa wanachofanya Ni kujitutumua tuu..Takwimu zinawakataa sana wakazi wa Mwanza...sema sasa watafanyaje inabidi wakaze kutuonyesha ziwa Victoria
Hamna takwimu zozote Duniani zisizoanza na prediction....na obviously our statistical accuracy ni 95 percent ...Mmeanza kurely kwenye predictions [emoji23][emoji23][emoji23]
Ukweli kabisa arusha na dodoma imetuchapa[emoji116][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]Kwa Sasa wanachofanya Ni kujitutumua tuu..
Arusha imewachapa,
Dom imewachapa
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji16][emoji16][emoji1732][emoji1732][emoji1732][emoji1732]
Naona NHC medeli wamepaka rangi . kidogo papendeze sasa[emoji28]Kukua kwa Jiji la Dodoma kunawauma Sana watu wa Mwanza [emoji1787][emoji1787].
Dom in the making [emoji116]View attachment 2473723View attachment 2473724View attachment 2473725View attachment 2473726View attachment 2473727View attachment 2473728View attachment 2473729