Je, ni kweli kuwa Dodoma CBD inaipiku Mwanza CBD?

Je, ni kweli kuwa Dodoma CBD inaipiku Mwanza CBD?

Dodoma inawafanya mnaweweseka Sana Ila vumilieni labda Kuna siku Mwanza fishing Village itakuwa The Capital City [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16].

Ni Dom Tena [emoji116]View attachment 2460843View attachment 2460844View attachment 2460845View attachment 2460846View attachment 2460847
Ila Dom mji mkavu sana Yani ujue uzuri Sio kutazama ghorofa tu ndo mana watu wanalipia mil 3 kulala Serengeti na mjini dar posta mtu analala kwa laki 2 tu .... Au bro ushamba wa exposure [emoji23]

Sent from my Infinix PR652B using JamiiForums mobile app
 
Dodoma inawafanya mnaweweseka Sana Ila vumilieni labda Kuna siku Mwanza fishing Village itakuwa The Capital City [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16].

Ni Dom Tena [emoji116]View attachment 2460843View attachment 2460844View attachment 2460845View attachment 2460846View attachment 2460847
Kuilinganisha dodoma na mwanza ni kupoteza muda [emoji116]
size ya dodoma ni manispaa ya ilemela...
Kama unabisha leta mtaa wenye mazingira na makazi Bora kama haya[emoji116]
JamiiForums804166220.jpg
JamiiForums67507722.jpg
JamiiForums335033170.jpg
 
Dodoma ...nini msaada wa kuwa na makao makuu sasa [emoji116][emoji116]
Dodoma yaporomoka Toka nafasi ya 22 Kwa mikoa yenye uduni wa kipato Hadi nafasi ya 23 ..huko ikitarajiwa kushika mkia miaka ijayo .. wakati Kagera ikizidi kupata momentum[emoji12][emoji12][emoji12].
Dodoma imekuwa ya mwisho Kwa kiwango Cha Ukuaji wa kipato.ikikua Kwa asilimia 2 tu ...
NB :Mwanza imeongoza Kwa Ukuaji wa kipato Kwa ongezeko la sh 645k .na kuifanya kuwa nafasi ya 8 nyuma ya Arusha ambayo imeporomoka Toka nafasi ya 6 na kuwa nafasi ya 7
[emoji16][emoji16][emoji16]
20230104_210423.jpg
Screenshot_20230104-212406.jpg
Screenshot_20230104-212351.jpg
 
Back
Top Bottom