Kwan wew una evidence gan ya huo ujenzi kama sio maneno matupu ya huyo jamaa ...leta evidence kwa kutuonyesha site au procurement notice ,,,ili tuamini kama wew unavyoforce hapa mamboHuna ndio maana unaongea maneno meengi yasiyo na msingi
Wakati mimi nikitafuta hizo evidence naomba na wewe unipe evidence ya hiyo unayosema dodoma wanajenga mall.Endelea kuota bahati nzuri ni usiku
Umeniwahi utazan tupo pamojaπππKwan wew una evidence gan ya huo ujenzi kama sio maneno matupu ya huyo jamaa ...leta evidence kwa kutuonyesha site au procurement notice ,,,ili tuamini kama wew unavyoforce hapa mambo
SafiKwan wew una evidence gan ya huo ujenzi kama sio maneno matupu ya huyo jamaa ...leta evidence kwa kutuonyesha site au procurement notice ,,,ili tuamini kama wew unavyoforce hapa mambo
Hata rock city mall walisema ni ndoto [emoji28][emoji28]Hizi ni ndoto!
Wanataka adi waone crane zikianza yake.Hata rock city mall walisema ni ndoto [emoji28][emoji28]
Sio muda tutawaaibisha humu [emoji28][emoji28]Wanataka adi waone crane zikianza yake.
Mpaka kufika mwezi wa tatu watakuwa wameanza substructure.Sio muda tutawaaibisha humu [emoji28][emoji28]
Ni jambo zuri lakini jiji linapokuwa na uchumi wa kuforce wa serikali, kwa kuongeza govt sector, haitainua wananchi moja kwa moja, dodoma itakuwa na majengo makubwa na mazuri ata kuliko jiji lolote lakini haina uwekezaji kutoka private sector na hii kitu inazidi kushusha uchumi wa dodoma....... Sasa imekuwa ni mmoja kati ya mikoa mitatu masikini zaidi Tanzania.
Porojo as usual ππNi jambo zuri lakini jiji linapokuwa na uchumi wa kuforce wa serikali, kwa kuongeza govt sector, haitainua wananchi moja kwa moja, dodoma itakuwa na majengo makubwa na mazuri ata kuliko jiji lolote lakini haina uwekezaji kutoka private sector na hii kitu inazidi kushusha uchumi wa dodoma....... Sasa imekuwa ni mmoja kati ya mikoa mitatu masikini zaidi Tanzania.
Tycoon wa kwenye ndoto ππSasa tunasubiri ujenzi kuanza kutoka kwa matycoon na si serikali bro, ni ujenzi uliotukuta wa mega mall complex.
Ile ilikuwa ni ya taasisi za serikali na mradi wa kimkakati ilikuwa lazima ijengweHata rock city mall walisema ni ndoto [emoji28][emoji28]
Porojo as usual ππ
Kumbuka taasisi 189 zinatakiwa kujenga ofisi zao Dom na mwaka huu zinaanza taasisi 44.
Picha hujaziona? NHC wameanza Samia housing scheme Dar na Dodoma piaKwan wew una evidence gan ya huo ujenzi kama sio maneno matupu ya huyo jamaa ...leta evidence kwa kutuonyesha site au procurement notice ,,,ili tuamini kama wew unavyoforce hapa mambo
Niletee mall wanayojenga Dodoma uliyojitambia nayo.Tycoon wa kwenye ndoto ππ
Yasibadili kivip wakati pesa zinaingia Kwa watu wa Dodoma? Kwamba majengo yakijengwa pesa inaenda Mwanza au? ππRudia kunisoma hapo juu, nimesema mtakuwa na majengo mengi na makubwa kuliko mkoa wowote hapa Tanzania lakini hayatabadiri umaskini wa watu wa Dodoma, pia serikali kuamia hapo itazidi kuwaumiza zaidi wananchi maskini wa Dodoma.
Sio kazi yangu kukupa bando ya kusikiliza videoNiletee mall wanayojenga Dodoma uliyojitambia nayo.