Mikdde
JF-Expert Member
- Sep 12, 2018
- 6,200
- 5,879
Picha ziko wapiPicha hujaziona? NHC wameanza Samia housing scheme Dar na Dodoma pia
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Picha ziko wapiPicha hujaziona? NHC wameanza Samia housing scheme Dar na Dodoma pia
Kwanini kila kitu hapo kinachojengwa lazima kihusishe serikali, na hii kitu haitasaidi watu wa dodoma, swali la kujiuliza kwanini private sector hawawekezi Dodoma? Usilete picha yako ya kila siku ya kiwanda cha mbolea kilichoingia ubia na serikali.Picha hujaziona? NHC wameanza Samia housing scheme Dar na Dodoma pia
Tumeuliza bando tumeomba render, na wala hatutaki picha za site.Sio kazi yangu kukupa bando ya kusikiliza video
Na hayo majengo yaserikali yanawafanya kuwa na kiburi kwenye mapato ya halmashauri lakini ukweli nyie ni sifuri.Yasibadili kivip wakati pesa zinaingia Kwa watu wa Dodoma? Kwamba majengo yakijengwa pesa inaenda Mwanza au? 😆😆
Acha kutapatapa wewe
Private sector hawawekezi? Una uhakika? Mara ngapi tumeweka apartments za private sector humu? Hoteli za private sector nk?Kwanini kila kitu hapo kinachojengwa lazima kihusishe serikali, na hii kitu haitasaidi watu wa dodoma, swali la kujiuliza kwanini private sector hawawekezi Dodoma? Usilete picha yako ya kila siku ya kiwanda cha mbolea kilichoingia ubia na serikali.
Kwa hiyo majengo ya serikali yanalioa Kodi Jiji au? 😁😁Na hayo majengo yaserikali yanawafanya kuwa na kiburi kwenye mapato ya halmashauri lakini ukweli nyie ni sifuri.
Hizo nyumba mbili ndio uwekezaji wewe ni kichaa, sasa mwanza tukiweka maujenzi ya apartment humu patatosha?Private sector hawawekezi? Una uhakika? Mara ngapi tumeweka apartments za private sector humu? Hoteli za private sector nk?
Ukiacha Dar Mkoa gani mwingine una vituo vingi vya mafuta kuzidi Dodoma? Kwa hiyo ni serikali inajengwa? Yale magorofa yote pale mjini Kati ni serikali inajenga?
Yako wapi hayo ma apartments ya Mwanza?Hizo nyumba mbili ndio uwekezaji wewe ni kichaa, sasa mwanza tukiweka maujenzi ya apartment humu patatosha?
Eti vituo vya mafuta .... mwanza ni second of everythingPrivate sector hawawekezi? Una uhakika? Mara ngapi tumeweka apartments za private sector humu? Hoteli za private sector nk?
Ukiacha Dar Mkoa gani mwingine una vituo vingi vya mafuta kuzidi Dodoma? Kwa hiyo ni serikali inajengwa? Yale magorofa yote pale mjini Kati ni serikali inajenga?
Niletee private apartment na villa huko dodomaYako wapi hayo ma apartments ya Mwanza?
Unalingia kadaraja, mwanza inajenga via duct ya 1.5km flyover ya train😝😝😝😝😝😝Endeleeni kuugua,Dom sio ya kulinganisha na Mwanza,never ever👇View attachment 2485583View attachment 2485584
Vituo vya mafuta..[emoji116]Private sector hawawekezi? Una uhakika? Mara ngapi tumeweka apartments za private sector humu? Hoteli za private sector nk?
Ukiacha Dar Mkoa gani mwingine una vituo vingi vya mafuta kuzidi Dodoma? Kwa hiyo ni serikali inajengwa? Yale magorofa yote pale mjini Kati ni serikali inajenga?
Kwa baadhi ya kodi za majengo na uwekezaji halimashauri haipati?Kwa hiyo majengo ya serikali yanalioa Kodi Jiji au? 😁😁
Kodi ya majengo ni TRA,hakuna pesa ya jengo la serikali inaenda Halmashauri,hayo mabilioni ya Dom City ni biashara za watu na makampuni na baadhi ya Mali chache za Jiji kama kuuza viwanja na uwekezaji wa miradi yake..Kwa baadhi ya kodi za majengo na uwekezaji halimashauri haipati?
🤣🤣NHCMwanza wapelekeee moto Dodoma wanaosubiri miradi ya NHC na miradi ya maofisi ya serikali mji wa mtumba.
Kodi ya majengo ni TRA,hakuna pesa ya jengo la serikali inaenda Halmashauri,hayo mabilioni ya Dom City ni biashara za watu na makampuni na baadhi ya Mali chache za Jiji kama kuuza viwanja na uwekezaji wa miradi yake..
Pesa zinatoka huku
👇