Je, ni kweli kuwa Dodoma CBD inaipiku Mwanza CBD?

Je, ni kweli kuwa Dodoma CBD inaipiku Mwanza CBD?

Una shida mahala ..wew kama sio kichwani bas kwenye hvyo vidole unavyotaipia hapa...

Hili sio soko la machinga ni multi purpose bussines market Ina include retail shops,machinga complex, vegetables and fruits stalls, recreation points,na bussines complex...
By the way limeanza kujengwa magufuli akiwa hai 2020 .. wakati machinga ya dodoma imejengwa magu akiwa marehemu jiulize nani kamuiga mwenzake[emoji28]
Wanajengewa na NHC 🤣🤣🤣.

Dodoma The Capital City 👇
 
Msinune jamani endeleeni kukaza,ipo siku mtafikia Dom 👇
Screenshot_20230118-194052_1.jpg
Screenshot_20230121-080441.jpg

housing_real_estate_dodoma_167427817529990.jpg
 
Wakati ukiendelea kupost vijengo vya wizara huko mtumba ....
Mwanza inaizidi kujengwa na wananchi wake na wawekezaji..(mwanza ni mkoa unaoongoza Kwa idadi ya majengo yanayojengwa)
Nakuletea Miradi mitano ya watu binafsi inaoyoendelea hapa city..
Then jitathimini ni Lin mtaifikia mwanza

1:Royal hospital building [emoji116]
JamiiForums880658872.jpg
 
Wakati ukiendelea kupost vijengo vya wizara huko mtumba ....
Mwanza inaizidi kujengwa na wananchi wake na wawekezaji..(mwanza ni mkoa unaoongoza Kwa idadi ya majengo yanayojengwa)
Nakuletea Miradi mitano ya watu binafsi inaoyoendelea hapa city..
Then jitathimini ni Lin mtaifikia mwanza

1:Royal hospital building [emoji116]View attachment 2490342
Hii ungeleta current hii ni ya muda sana, leta jengo lilipofikia sasa azimie
 
Unaweza jibu Kwa kuleta . project Tano hapo dodoma...za private sector
 
Aisee ,,, dodoma watakufa Kwa kihoro ..hapo pembeni ya Hilo jengo naona wamezungusha bati ...naona mradi mwingine unanukia [emoji4][emoji4][emoji3059]... dodoma mnasubiri kajengo ka TBC pale ihumwa au NHC wajenge mall [emoji849][emoji849][emoji75][emoji75][emoji12][emoji12]
 
Aisee ,,, dodoma watakufa Kwa kihoro ..hapo pembeni ya Hilo jengo naona wamezungusha bati ...naona mradi mwingine unanukia [emoji4][emoji4][emoji3059]... dodoma mnasubiri kajengo ka TBC pale ihumwa au NHC wajenge mall [emoji849][emoji849][emoji75][emoji75][emoji12][emoji12]
Wao wasubiri serikali huku sisi tunaendelea kuwagongelea misumali kwa private sector
 
Wakati ukiendelea kupost vijengo vya wizara huko mtumba ....
Mwanza inaizidi kujengwa na wananchi wake na wawekezaji..(mwanza ni mkoa unaoongoza Kwa idadi ya majengo yanayojengwa)
Nakuletea Miradi mitano ya watu binafsi inaoyoendelea hapa city..
Then jitathimini ni Lin mtaifikia mwanza

1:Royal hospital building [emoji116]View attachment 2490342
Ila wewe Jamaa hunaga aibu yaani huchoki ku post hako kajengo kalikoishia njiani Kila siku?
Punguza upuuzi
 
Back
Top Bottom