The Sunk Cost Fallacy 2
JF-Expert Member
- Nov 8, 2022
- 9,436
- 10,944
Wanajengewa na NHC 🤣🤣🤣.Una shida mahala ..wew kama sio kichwani bas kwenye hvyo vidole unavyotaipia hapa...
Hili sio soko la machinga ni multi purpose bussines market Ina include retail shops,machinga complex, vegetables and fruits stalls, recreation points,na bussines complex...
By the way limeanza kujengwa magufuli akiwa hai 2020 .. wakati machinga ya dodoma imejengwa magu akiwa marehemu jiulize nani kamuiga mwenzake[emoji28]
HIV huko mvua Huwa hazinyeshi [emoji849][emoji849]Msinune jamani endeleeni kukaza,ipo siku mtafikia Dom [emoji116]
View attachment 2489684View attachment 2489685
View attachment 2489678View attachment 2489680
😂😂😂😂😂 hauna vitu tofauti na mji wa kiserikali wa mtumba, ngoja muendelee kula mtori labda nyama mtazikuta chini.Mwanza mtaficha wapi aibu yenu?
Dodoma 👇
Wakati ukiendelea kupost vijengo vya wizara huko mtumba ....[emoji116]
View attachment 2489762
Hii ungeleta current hii ni ya muda sana, leta jengo lilipofikia sasa azimieWakati ukiendelea kupost vijengo vya wizara huko mtumba ....
Mwanza inaizidi kujengwa na wananchi wake na wawekezaji..(mwanza ni mkoa unaoongoza Kwa idadi ya majengo yanayojengwa)
Nakuletea Miradi mitano ya watu binafsi inaoyoendelea hapa city..
Then jitathimini ni Lin mtaifikia mwanza
1:Royal hospital building [emoji116]View attachment 2490342
Naomba unisaidie current picture...,,,,niwaonyeshe wagogo..maana hii picha ni ya SeptemberHii ungeleta current hii ni ya muda sana, leta jengo lilipofikia sasa azimie
Zipo kwenye uzi wetu wa mwanza city photo...Naomba unisaidie current picture...,,,,niwaonyeshe wagogo..maana hii picha ni ya September
Na pembeni kuna mradi mkubwa wa ghorofa 13.Hii hapa angalau
View attachment 2490388
Aisee ,,, dodoma watakufa Kwa kihoro ..hapo pembeni ya Hilo jengo naona wamezungusha bati ...naona mradi mwingine unanukia [emoji4][emoji4][emoji3059]... dodoma mnasubiri kajengo ka TBC pale ihumwa au NHC wajenge mall [emoji849][emoji849][emoji75][emoji75][emoji12][emoji12]Hii hapa angalau
View attachment 2490388
Wao wasubiri serikali huku sisi tunaendelea kuwagongelea misumali kwa private sectorAisee ,,, dodoma watakufa Kwa kihoro ..hapo pembeni ya Hilo jengo naona wamezungusha bati ...naona mradi mwingine unanukia [emoji4][emoji4][emoji3059]... dodoma mnasubiri kajengo ka TBC pale ihumwa au NHC wajenge mall [emoji849][emoji849][emoji75][emoji75][emoji12][emoji12]
Ila wewe Jamaa hunaga aibu yaani huchoki ku post hako kajengo kalikoishia njiani Kila siku?Wakati ukiendelea kupost vijengo vya wizara huko mtumba ....
Mwanza inaizidi kujengwa na wananchi wake na wawekezaji..(mwanza ni mkoa unaoongoza Kwa idadi ya majengo yanayojengwa)
Nakuletea Miradi mitano ya watu binafsi inaoyoendelea hapa city..
Then jitathimini ni Lin mtaifikia mwanza
1:Royal hospital building [emoji116]View attachment 2490342