Hyo Namba 2 Kwa GDP Iko Kanda gani [emoji849]Mbeya usilinganishe na nyie maskini wa huko Mwanza na Kanda ya Ziwa,tuko namba 3 Kwa GDP Tanzania na tuko namba 2 Kwa per Capita income..
Hayo majumba ya udongo ni Bora kuliko Yale maslums yenu.
[emoji3][emoji3][emoji3] hivi mbeya ni mtaa gani wanaishi matajiri?Mbeya usilinganishe na nyie maskini wa huko Mwanza na Kanda ya Ziwa,tuko namba 3 Kwa GDP Tanzania na tuko namba 2 Kwa per Capita income..
Hayo majumba ya udongo ni Bora kuliko Yale maslums yenu.
Mtaa wa Cha Asubuhi[emoji3][emoji3][emoji3] hivi mbeya ni mtaa gani wanaishi matajiri?
Mtaa wa Cha Asubuhi
Ujinga wa machadema Huwa siufuatiliagi,kwanza wameongea nini huko?
Nimekutumia uone jinsi mwanza ilivyo ..sio story za chadema ...ukitaka chadema ingie YouTube utawaona ...Ujinga wa machadema Huwa siufuatiliagi,kwanza wameongea nini huko?
[emoji3][emoji3][emoji3] sijawahi kuona mkoa wenye bodaboda wengi mjini kama mbeya...Mtaa wa Cha Asubuhi
Wanakaa mtaa Fulani wa kishua unaitwa Cha Asubuhi Mkuu,ukizia huo mtaa.[emoji3][emoji3][emoji3] sijawahi kuona mkoa wenye bodaboda wengi mjini kama mbeya...
Nilikua pale beaco resort nikaenda hadi sabasaba mpaka isendo bila kusahau sehemu inaitwa sijui ivumwe[emoji3][emoji3]
Sina mwenyeji wa kunionyesha wapi matajiri wanakaa ila mbeya kweli ni Green site[emoji1]
We si umwambie ,,,,au unadhani anakukejeli ...hutaki kuitaja mitaa yenu ya mabepari [emoji75][emoji75]..unaogopa utapata aibu maana ni kama kisesa ..Wanakaa mtaa Fulani wa kishua unaitwa Cha Asubuhi Mkuu,ukizia huo mtaa.
Nenda forest na iwambi[emoji3][emoji3][emoji3] sijawahi kuona mkoa wenye bodaboda wengi mjini kama mbeya...
Nilikua pale beaco resort nikaenda hadi sabasaba mpaka isendo bila kusahau sehemu inaitwa sijui ivumwe[emoji3][emoji3]
Sina mwenyeji wa kunionyesha wapi matajiri wanakaa ila mbeya kweli ni Green site[emoji1]
Hakuna mabepari MbeyaWe si umwambie ,,,,au unadhani anakukejeli ...hutaki kuitaja mitaa yenu ya mabepari [emoji75][emoji75]..unaogopa utapata aibu maana ni kama kisesa ..
Visit mwanza.Hakuna mabepari Mbeya
Mbeya ni nyakato kubwa kibaya zaidi mbeya hakuna pisi [emoji1]Nenda forest na iwambi
Siasa peleka huko ,, kwenye vijiwe vyenu vya kahawAMbowe ni reformist kama Samia ila Sasa hicho chama Bado ni Cha wanaharakati [emoji116]
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji28][emoji28]hujaona wasafwa hapo nzovwe [emoji75][emoji75]Mbeya ni nyakato kubwa kibaya zaidi mbeya hakuna pisi [emoji1]
Usifananishe kinyesi Cha mbuzi na nyakato....[emoji16][emoji28].. nyakato wanajenga shopping mall.wakati mbeya hyo ndoto haipo kabisaMbeya ni nyakato kubwa kibaya zaidi mbeya hakuna pisi [emoji1]
Sina mwenyeji hua natembea tembea tu nikichoka narudi kupumzika[emoji1] ila mbeya ni mkoa wa kawaida sana. Maajabu yapo udzungwa tu[emoji1][emoji16][emoji16][emoji16][emoji28][emoji28]hujaona wasafwa hapo nzovwe [emoji75][emoji75]
Nilikuambia hukutaka kunisikia ,,Bora vacation yako ungeenda hata kigoma ..ungeenjoy hata ziwa Tanganyika na kuona chimpanzee pale gombe ...mbeya ni zizi kubwa na hasara kwenda vacation hukoSina mwenyeji hua natembea tembea tu nikichoka narudi kupumzika[emoji1] ila mbeya ni mkoa wa kawaida sana. Maajabu yapo udzungwa tu[emoji1]
Ata hizo mitaa unazan anazijua, utamchosha tu huyu ndondocha wa watu.Kwamba imetapakaa...kongwa ndio majengo yapo..bahi , chamwino au mpwapwa ndiko yalipo ..au unasemea hostel za chuo Cha serikali za mitaa kule hombolo [emoji12][emoji28]...au hostel za mipango pale st gema [emoji849][emoji75][emoji75]