Huyo jamaa alikuwa anatuma picha za Dodoma lakini cha kushangaza kwenye hizo picha kulikuwa na picha za jiji letu pendwa la mwanza, pia anatuma na michoro badala ya kuweka picha halisi, kuilinganisha Mwanza na Dodoma ni upumbavu wa hali ya juu ata kama sehemu unaichukia. Asante sana kiongozi.Hii ni mwanza, Leta picha Kama hii hapo dodoma tuone, View attachment 2080478
Mkuu samahani Ila ni Kama unataka kujitoa tu ufahamu yani kuna kitu hapo unaona mwanza inazidiwa na dodoma! Sawa tuanze na mpangilio wa jiji susha vitu, picha ndo itakuwa vizuri zaidi usiweke rendersWe jamaa bwana,ni vitu vingi Sana.
1.Mpangilio wa Jiji.
2.Residential apartments
3.Idadi ya majengo ya ghorofa both tall na ordinary.
4.Vyuo na taasisi za elimu.
5.Urefu na ubora Wa barabara.
6.Mapato ya Jiji.
7.The list is endless.
bado watoto wa Arusha maana nao wanaongea sanaLook how green the city isView attachment 2080408
Vitu gani,kwani hujui Dom ndio iko well planned kuliko Mji wowote Tzn? 80% is planned sasa nondo gani unataka?Mkuu samahani Ila ni Kama unataka kujitoa tu ufahamu yani kuna kitu hapo unaona mwanza inazidiwa na dodoma! Sawa tuanze na mpangilio wa jiji susha vitu, picha ndo itakuwa vizuri zaidi usiweke renders
Yako wapi 😆😆😆Kuna majengo Kama haya mwanza zaidi ya elfu sasa ukitaka tulete mojamoja tutamaliza kweli?
Hii stendi imeshaisha mwezi huu ndo wanazindua.Under constructionView attachment 2080635
Hata Mimi nimeiona sema nimemkaushia tu, ni ile ya roundabout ambayo kuna Kama mawe yamepangwa,[emoji23]K
Huyo jamaa alikuwa anatuma picha za Dodoma lakini cha kushangaza kwenye hizo picha kulikuwa na picha za jiji letu pendwa la mwanza, pia anatuma na michoro badala ya kuweka picha halisi, kuilinganisha Mwanza na Dodoma ni upumbavu wa hali ya juu ata kama sehemu unaichukia. Asante sana kiongozi.
Umekosea kutuma kiongozi, ungetuma lile jengo la capripoint lenye floor 17, haya majengo ni ya Dar.mwanza ipo losheni 17....utawasimulia wagogo wenzio ...hio ndio mwanzaView attachment 2080688
mtoa mada kaanzisha ligi halafu kaingia mitini
Wambie waende isela,ilalila,kishiri,nyamadoke,kiseke,igombe,kitangiri,bwiru, sweya NK[emoji38][emoji38] tatizo haujaelewa ni nini namaanisha...?? mwanza watu wengi hasa wageni wanajua maeneo yaliyo jirani na barabara kuu ambayo kiuhalisia naweza sema ni asilimia 20 tu wengi wanaijua buhongwa kwa kuiangalia kutoka barabarani kisha wanafuata lami hadi mjini kati wanakula kona nata hadi kisesa au wanaanzia mji kati hadi ilemela kanisani kisha wanakuja kutengeneza Uzi hapa
Mtu anasema dodoma imepanuka sijui hadi wapi.. ninauhakika mleta uzi buhongwa tu au mkolani hazijui hata kwa 10% japo n maeneo yaliyo kando ya barabara kuu
Tunaweza pata aerial view au hata low oblique photo ya mji wote wa dodoma ili tuthibitishe unachokisema?Vitu gani,kwani hujui Dom ndio iko well planned kuliko Mji wowote Tzn? 80% is planned sasa nondo gani unataka?
Ndio maana unaona kuna ujenzi wa ma apartments kila sehemu ikiwemo Mji wa serikali.
Pili barabara tuu za Mji wa serikali km 51 ,Mwanza hakuna .
Mwisho hata square meters za Dom ni kubwa kuliko Mwanza
Ingia jukwaa la Kenya utazikuta,kuna Uzi wa Dom vs NairobiTunaweza pata aerial view au hata low oblique photo ya mji wote wa dodoma ili tuthibitishe unachokisema?
Haya hapa halafu ni mengi Sana asee yani kuweka mojamoja tutajichoshaYako wapi [emoji38][emoji38][emoji38]
Hahhaah yani dodoma mmechanganyikiwa yani mmeanzisha ligi mpaka kwa Nairobi[emoji23][emoji23][emoji23]Ingia jukwaa la Kenya utazikuta,kuna Uzi wa Dom vs Nairobi
Nyasaka, mecco, nundu, gedeli, kangaye nkWambie waende isela,ilalila,kishiri,nyamadoke,kiseke,igombe,kitangiri,bwiru, sweya NK
mwanza ipo losheni 17....utawasimulia wagogo wenzio ...hio ndio mwanzaView attachment 2080688
Dom sio level ya Mwanza,Nairobi yote katafute Ring road ambayo ni dual carriage yenye km 110,ukiipata nitag 😆😆Hahhaah yani dodoma mmechanganyikiwa yani mmeanzisha ligi mpaka kwa Nairobi[emoji23][emoji23][emoji23]
si mgogo uyo ana post pi ha za UDOM ligue wameianza wenyewe matokeo yake wanakimbiana umu jukwaaniYani we jamaa unafurahisha unatuletea hapa majengo ya chuo