ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 66,537
- 75,687
Umepigwa na kitu kizito kichwani Sasa unaugulia Kwa kutafuta faraja 😁😁Kipya kipi hapo au huo wimbo ndio umekuvutia?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umepigwa na kitu kizito kichwani Sasa unaugulia Kwa kutafuta faraja 😁😁Kipya kipi hapo au huo wimbo ndio umekuvutia?
Hakuna cha kitu kizito wala chepesi, hakuna jipya hapoUmepogwa na kitu kizito kichwani Sasa unaugulia Kwa kutafuta faraja 😁😁
😁😁😁😁 Kipya hicho hapo 👆👆
Dom inakimbia noma sana ni wivu tuu unakusumbua 😁😁Hakuna cha kitu kizito wala chepesi, hakuna jipya hapo
Ukilinganisha na Mbeya ni kweli inakimbia
Kwa udhamini wa TAMISEMI [emoji28][emoji16]Hii ndio maana ya Jiji Sasa.
Dom is on [emoji91][emoji91][emoji91]
View attachment 2529814View attachment 2529815View attachment 2529816View attachment 2529817
The Isa boy ,Isa beibe... isamilo town[emoji91][emoji91][emoji91][emoji116][emoji116][emoji28]Hii ndio maana ya Jiji Sasa.
Dom is on [emoji91][emoji91][emoji91]
View attachment 2529814View attachment 2529815View attachment 2529816View attachment 2529817
Wewe siku hizi hunaga contents umeishiwa kilichobakia ni mihemko ya chuki 😁😁
Leta ushahidi kuwa ni mapato ya ndani [emoji28][emoji28][emoji28]Wewe siku hizi hunaga contents umeishiwa kilichobakia ni mihemko ya chuki [emoji16][emoji16]
Mapato ya ndani unasema Tamisemi,what a desperate creature
Hii ndio maana ya Jiji Sasa.
Dom is on 🔥🔥🔥
View attachment 2529814View attachment 2529815View attachment 2529816View attachment 2529817
Sapoti kubwa ipi unayoitaka wewe? Mwezi ujao mzizi wa fitina unakatwa tutakuwa idadi ya watu Kila Mji.Kukua kwa mji ni pamoja na idadi ya watu na miundo mbinu, Mwanza ni pana sana kuluko Dodoma,watu ni wengi sana ingawa haipata support kubwa ya serikali kupanua miundo mbinu ya jiji,lakini kwa strategic location yake Eneo la maziwa makuu Mwanza haishikiki,lakini kisiasa kitendo cha serikali na Bunge kuhamia hapo ikiwemo ikulu itabidi kulazimisha ichukue no 2 kwa Dar.
Hujaona hater mwenzio aliyeanzisha huu Uzi ,,kasema population ya Mwanza au unajifanya hujaona[emoji28][emoji28]Sapoti kubwa ipi unayoitaka wewe? Mwezi ujao mzizi wa fitina unakatwa tutakuwa idadi ya watu Kila Mji.
Hizi nyumba za kuwa kwenye miji midogo kama manyoni [emoji205],ngudu ,hata Kahama na mijengo mikali kuzidi hizi hiden roof ,za mchongo [emoji28]
Hamna pesa za kujenga contemporary hizo ni nyumba za matajiri nyie maskini jengeni hizo za kunyanyua mapaa pitched roof housesHizi nyumba za kuwa kwenye miji midogo kama manyoni [emoji205],ngudu ,hata Kahama na mijengo mikali kuzidi hizi hiden roof ,za mchongo [emoji28]
Sent using Jamii Forums mobile app
Sijawahi jua,,uko na low exposure Kwa kiwango hiki ...Hamna pesa za kujenga contemporary hizo ni nyumba za matajiri nyie maskini jengeni hizo za kunyanyua mapaa pitched roof houses
Mavumbi 🤪🤪🤪🤪Sijawahi jua,,uko na low exposure Kwa kiwango hiki ...
[emoji116] nyasaka View attachment 2530016View attachment 2530017
Sent using Jamii Forums mobile app
Wivu as normal [emoji28][emoji28].huo ni mtaa ni nje kidogo ya mji km 13 Toka town .Na hauwezi fanana na utopolo wowote hapo zizini dodomaMavumbi [emoji2957][emoji2957][emoji2957][emoji2957]View attachment 2530019