Je, ni kweli kuwa Dodoma CBD inaipiku Mwanza CBD?

Je, ni kweli kuwa Dodoma CBD inaipiku Mwanza CBD?

Hii ndio maana ya Jiji Sasa.
Dom is on 🔥🔥🔥
ortamisemi_167734203750794.jpg
ortamisemi_1677342037507532.jpg
ortamisemi_1677342037507585.jpg
ortamisemi_1677342037507463.jpg
 
Kukua kwa mji ni pamoja na idadi ya watu na miundo mbinu, Mwanza ni pana sana kuluko Dodoma,watu ni wengi sana ingawa haipata support kubwa ya serikali kupanua miundo mbinu ya jiji,lakini kwa strategic location yake Eneo la maziwa makuu Mwanza haishikiki,lakini kisiasa kitendo cha serikali na Bunge kuhamia hapo ikiwemo ikulu itabidi kulazimisha ichukue no 2 kwa Dar.
 
Kukua kwa mji ni pamoja na idadi ya watu na miundo mbinu, Mwanza ni pana sana kuluko Dodoma,watu ni wengi sana ingawa haipata support kubwa ya serikali kupanua miundo mbinu ya jiji,lakini kwa strategic location yake Eneo la maziwa makuu Mwanza haishikiki,lakini kisiasa kitendo cha serikali na Bunge kuhamia hapo ikiwemo ikulu itabidi kulazimisha ichukue no 2 kwa Dar.
Sapoti kubwa ipi unayoitaka wewe? Mwezi ujao mzizi wa fitina unakatwa tutakuwa idadi ya watu Kila Mji.
 
Back
Top Bottom