Usagara ndiyo mpaka wa Jiji la Mwanza na Misungwi. Sasa jamaa toka Uyole mpaka Igurusi si vijiji mtupu. Eeh kama Arusha toka USA mpaka Kikatiti mashamba tupuKwanza usagara na isesa sio sehemu ya Jiji la Mwanza,ni kama vile unasema kukatiza Jiji la Mbeya kutoka Mbalizi hadi Igurusi ambako ni km 60 iwe Mbeya Jiji.
aliyeijenga dodoma ni magu baada ya kuhamishia serikali dodoma ndio akaelekeza nguvu zake uko ila kwa sasa hayupo serikali inarudi tena dar kwaiyo waliowekeza dodoma sasa akili inawarudia[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] Ndo unavyojifariji sio? Pole Sana Mzee,hiyo inaitwa Battle ot East African Capital Cities,Mwanza ni kijiji cha wavuvi hakina hadhi yoyote.
Pili aliyekwambia Dodoma inajengwa na Serikalini tuu ni nani? Ndio maana mumekariri ujinga kumbe mnapigwa za ugoko.
Kwa taarifa yako hakuna mradi uliosimama,pili unavyoona Dar inajengwa na both private and government ndivyo na Dom inajengwa hivyo hivyo.
Wakati wewe unasubilia kagorofa hako wenzio tunasubilia barabara za njia 4 km 50 kila upande to Arusha,Iringa,Singida na Morogoro..
Hakuna siku itakuja kutokea Jiji la Dom likaachwa kujengwa,saizi pale mjini Kati ni cranes tuu zinapandisha kokoto na sio Serikali bali private sector.
View attachment 2080865
View attachment 2080866
View attachment 2080867
View attachment 2080868
View attachment 2080870
View attachment 2080871
wenzio wamejaribu kuishindanisha mwanza na arusha ...wewe unakuja kuilinganisha mwanza na kijiji hikoaliyeijenga dodoma ni magu baada ya kuhamishia serikali dodoma ndio akaelekeza nguvu zake uko ila kwa sasa hayupo serikali inarudi tena dar kwaiyo waliowekeza dodoma sasa akili inawarudia
hajatembea ndio maanaWe mgogo hizo data za kuwa Dodoma inakua haraka kuliko Mwanza sijui umezitoa wapi
Acheni ushambenga lile soko limeprojectiwa kwa ajili ya malengo ya baadae pale lilipo ni mbali mno na city center but project zote za mitaa ile zikiisha ule mtaa hautomachi na mtaa wowote tz isitoshe kule ndo kutakuwa kama city center yenyewe ijayo ya Dodoma sasa bakini mkizubaa hapo kulinganisha Dodoma na vijijilile soko au kijisoko? wameshakifungua lakin hamna soko pale ..... bora hata soko la chief kingalu morogoro kuliko kisoko cha ndugai!
Barabara 4 km 50 kila upande ni vitu vya kusadikika, Dodoma sasa hivi imekufa kifo cha Mende.😀😀😀😀 Ndo unavyojifariji sio? Pole Sana Mzee,hiyo inaitwa Battle ot East African Capital Cities,Mwanza ni kijiji cha wavuvi hakina hadhi yoyote.
Pili aliyekwambia Dodoma inajengwa na Serikalini tuu ni nani? Ndio maana mumekariri ujinga kumbe mnapigwa za ugoko.
Kwa taarifa yako hakuna mradi uliosimama,pili unavyoona Dar inajengwa na both private and government ndivyo na Dom inajengwa hivyo hivyo.
Wakati wewe unasubilia kagorofa hako wenzio tunasubilia barabara za njia 4 km 50 kila upande to Arusha,Iringa,Singida na Morogoro..
Hakuna siku itakuja kutokea Jiji la Dom likaachwa kujengwa,saizi pale mjini Kati ni cranes tuu zinapandisha kokoto
Acha ndoto basi Mkuu.Unahisi tukiachana na CBD tukahesabu jengo moja moja la ghorofa mpaka lingine kwa mji mzima mwanza inatoboa kwa Dom?
Vipi ushaitembelea chinangali, CBE, Majengo,mazengo,nyerere square, sabasaba, developed cities area n.k huko kote majengo marefu yanazidi inuka tu ndugu yangu kitu pekee mwanza inaizidi Dom kwa sasa ni ile density/kusongamana kwa maghorofa katika eneo finyu la CBD yao ukilinganisha na Dom.
Dodoma CBD imetanuka nje ya kariakoo yao ndogo inayoitenganisha na CBD nakuleta mwonekano wa kisasa na majengo mazuri yaliyoachiana uwazi wa kupumua ukilinganisha na Zoo na siku nyumba za bati au kawaida zikishaondoka zote kupisha ghorofa CBD ya Zoo ikatafute ligi yake kwenye suala la CBD.
Hakuna cha aliyekuwa anaifanya... Dodoma ni jiji lenye hadhi yake Wananchi na serikali wote wanashirikiana kupaendeleza na kwa taarifa yako ujenzi wa Dodoma kwa serikali siyo hiyari ni lazima na mpaka sasa ujenzi hausimami wanaendelea na ujenzi mchana na usiku na kila mwaka bajeti lazima itengwe hapana chezea makao makuu ya nchialiyekuwa anaifanya dodoma ikue ndio amesha pass sasa kwaiyo dodoma itarudi kama zaman? ndio jini pekee linaloongoza kwa ugonjwa wa macho na watu wake kuombaomba! dodoma oyeeeeee
sasa hivi mpaka viongozi wa nchi wanapakimbia Dodoma halafu useme kule kijijini kuje kuwe Center nani ajenge porini hivyoAcheni ushambenga lile soko limeprojectiwa kwa ajili ya malengo ya baadae pale lilipo ni mbali mno na city center but project zote za mitaa ile zikiisha ule mtaa hautomachi na mtaa wowote tz isitoshe kule ndo kutakuwa kama city center yenyewe ijayo ya Dodoma sasa bakini mkizubaa hapo kulinganisha Dodoma na vijiji
Miradi ya Magufuli ikiisha Dodoma chali.Hakuna cha aliyekuwa anaifanya... Dodoma ni jiji lenye hadhi yake Wananchi na serikali wote wanashirikiana kupaendeleza na kwa taarifa yako ujenzi wa Dodoma kwa serikali siyo hiyari ni lazima na mpaka sasa ujenzi hausimami wanaendelea na ujenzi mchana na usiku na kila mwaka bajeti lazima itengwe hapana chezea makao makuu ya nchi
Duu pole,tega sikia mwezi wa 4 kwenye bajetiBarabara 4 km 50 kila upande ni vitu vya kusadikika, Dodoma sasa hivi imekufa kifo cha Mende.
Miradi yote iliyopo kwa sasa ni ile ilianzishwa wakati wa Magufuli, kuna siku utakumbuka kauli yangu. Muda utaongea
Dar ipi inayorudi? Sasa kama inarudi umeona lini serikali imeacha kujenga? Pole Sana endelea kujifariji👇aliyeijenga dodoma ni magu baada ya kuhamishia serikali dodoma ndio akaelekeza nguvu zake uko ila kwa sasa hayupo serikali inarudi tena dar kwaiyo waliowekeza dodoma sasa akili inawarudia
Aisee Mkuu usiendelee kuwatesa namna hii jua wanaumia lakini hawana namnaHicho kijiji cha wavuvi cha Mwanza siku kikifikia hapa ni tag
View attachment 2080644
View attachment 2080646
View attachment 2080648
View attachment 2080649
View attachment 2080650
View attachment 2080651
Nimesema kutoka Mbalizi hadi Inyala,unapita uyole,kuna Vijijini gani unavijua wewe tutajie basi? Huo ni umbali wa km takribani 60..Usagara ndiyo mpaka wa Jiji la Mwanza na Misungwi. Sasa jamaa toka Uyole mpaka Igurusi si vijiji mtupu. Eeh kama Arusha toka USA mpaka Kikatiti mashamba tupu
Watakwambia Mwanza imejengeka sijui omejijenga 😝😝😝Aisee Mkuu usiendelee kuwatesa namna hii jua wanaumia lakini hawana namna
Hawana chochote hawa zaidi ya ubishi.Watu wa Dodoma muache kujichetua, sasa mbona mna maneno mengi lakini hamji na evidence, leteni Basi hata picha za huo mji wenu tusadiki hayo maneno yenu mbona ni blah blah tu, mara arena, mara airport, Mara majengo marefu.... Sasa si muyalete hapa tuyaone hata Kama ziko hatua za mwanzo za ujenzi nyie leteni