ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 66,537
- 75,687
Dodoma City Hotel imekamilika ni nzuriKilaza kweli wewe hii Dodoma yenye ghorofa mbili iizidi City center ya Mwanza [emoji32]
Hapa kuna ghorofa moja tu jipya nalo ni hotel iliyopo karibu na white house nimeisahau jina owner nadhani ni serikali design mbaya ya kizamani kabisa.
Kwingine hakuna ni vijumba uchafu, ndio maana hata Vunjabei ya Dodoma ni robo ya ukubwa wa ile iliyopo Iringa.
Biashara za oneway na 7/7 zotee zinafungwa kuanzia saa 1 yani saa mbili ni mji unaanza kulala.
Usafiri wa kutoka city center ya wagogo saa tatu ni unabahatisha daladala bajaj ndio wana double bei.
Purchasing power ni ya hovyo wengi ya wanunuzi wa bidhaa za hawa wakoma ni wanafunzi na wafanyakazi wengine ni mandezi tu
Jambo jema ili wakulima wachapa kazi wa kanda ya ziwa walime kilimo chenye tija zaidi.Bil.700 zinamwagwa kwenye kiwanda hiki hapa Dom.
Kuzalisha zaidi ya tani mil.1 za mbolea
Humu sio jukwaa la umbeya, leta picha maneno mpelekee mkeo.Dodoma City Hotel imekamilika ni nzuri
Haka ndio ka CBD kajiji la dodoma, hapa kahama inaweza kuonyesha ubavuDom is 🔥🔥
Hiyo Mall pale keepleft naona imeshafanyiwa clddding.
View attachment 2569801View attachment 2569802View attachment 2569803View attachment 2569804
Hiki Kijiji Cha wapiDom is [emoji91][emoji91]
Hiyo Mall pale keepleft naona imeshafanyiwa clddding.
View attachment 2569801View attachment 2569802View attachment 2569803View attachment 2569804
Cha misungwiHiki Kijiji Cha wapi
Wewe ulivyosema ipo karibu na CCM uliweka pichaHumu sio jukwaa la umbeya, leta picha maneno mpelekee mkeo.
CCM ndio kitu gani kuwa mtu wa logic acha kukurupuka, nenda kwenye majukwa ya umbeya na vipodozi.Wewe ulivyosema ipo karibu na CCM uliweka picha
Humu sio jukwaa la umbeya, leta picha maneno mpelekee mkeo.
Vitu kama hivi vinapatikana nchi za scandinavia, na sehemu baadhi za ulaya na kule BrazilOnly in tilapia city View attachment 2569837View attachment 2569838
Weka picha acha janja za kigogo, wewe ni matonya wa upande gani?
unatumia smartfone alafu huwezi kuingia kwa website uliyowekewa hadi link eti unataka picha😀😀😀ingia kwa website utazikuta pichaWeka picha acha janja za kigogo, wewe ni matonya wa upande gani?
Cairo ipo jangwani na inaongoza Africa😀😀.Alafu kama ni kweli Dodoma ipo Jangwani wasingeongoza kwa kilimo cha Zabibu,Alizeti,Tende,Mtama plus soko la mahindi la kimataifa Kibaigwa 🤣🤣🤣🤣Nimeamini kuna watu hawana aibu, yani Dodoma iliyo jangwani ulinganishe na Mwanza watu wa aina hii plug zitakuwa hazichomi.
Umesahau kupiga picha na Shoppers Plaza,GSM na ile ya round about Zuzu😀😀Dodoma hii sehemu ndio mnaita city mall [emoji38][emoji38]View attachment 2563287
Na barabara ya karibu na hili jengo mnashindwa kufix mashimo mashimo, yaani barabara haitamaniki [emoji38][emoji38]View attachment 2563290
Exactly,eneo la Mwanza Jiji limezungukwa na Ziwa Victoria plus milima ya mawe,lipo scattered unlike Dodoma ambayo eneo lote lipo Compact sehemu moja hakuna ma-gaps yoyote ukitoa tu maeneo ya jeshi-Msalato,Makutupora,Nala,Ihumwa pamoja na kambi ndogo ya jeshi NtyukaTunaongelea mipaka ya jiji wewe unaongelea sehemu za wilaya za Misungwi na huko Kwimba ilimradi kuchimba watu mikwara mji uonekane ni mpana kumbe hamna kitu.
Unlike mji wako huo linear uliobanwa na safu ya milima unapata wapi pumzi ya kujilinganisha na Dodoma iliyojengwa katika mfumo wa nuclear settlement na ina pande zote nne zilizojengeka na bado kuna maeneo makubwa kwa ajili ya mji kuja kutanuka hapo baadae.
Mwanza ina pande kuu tatu tu zilizojengwa zinazooneshwa na barabara zake kuu tatu yaani mjini-airport, mjini-buhongwa na mjini-nyamhongolo palipobaki ni aidha eneo la ziwa au nje ya mipaka ya eneo la jiji.