Je, ni kweli kuwa Dodoma CBD inaipiku Mwanza CBD?

Haters wanasema eti Dodoma hakuna private investments ....maghorofa yote ni ya serikali tuπŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†
 
Hivyo vihotel wanafaa kujisifia watu wa Namtumbo.
Dodoma inajengwa na Serikali 😁😁😁Wivu utakuua 🀣🀣

Tuletee Kimoja kama hicho kutoka Mwanza maana nilisema ulete Cha namtumbo ntakuwa nakuonea maana hakipo.
 
Leta makazi ya dodoma 19.5km from CBD, acha kutafuta excuses
Kwani ni sifa kujenga mbali na Mji? Mji wenu ni slums ndio maana hakuna mpangilio na majengo(mabanda) yanajengws hovyo hovyo
Your browser is not able to display this video.
 
Dodoma inajengwa na Serikali 😁😁😁Wivu utakuua 🀣🀣

Tuletee Kimoja kama hicho kutoka Mwanza maana nilisema ulete Cha namtumbo ntakuwa nakuonea maana hakipo.
Sina maneno mengi kama machinga wa kariakoo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…