Kaandike UziBado natafuta mwalimu wa kufundisha courses za computer kama vile word excel PowerPoint publisher adobe acrobat chatgpt windows operating system etc.kama una hiyo skillset usisite kunicheki
Nishaandika.Kaandike Uzi
Kituko π€£π€£Waliokusimulia walikudanganya .....fika ujionee[emoji116]View attachment 2751862View attachment 2751864View attachment 2751866View attachment 2751867View attachment 2751868
Leta makazi ya dodoma 19.5km from CBD, acha kutafuta excusesKituko π€£π€£View attachment 2753904
Hivyo vihotel wanafaa kujisifia watu wa Namtumbo.
Dodoma inajengwa na Serikali πππWivu utakuua π€£π€£Hivyo vihotel wanafaa kujisifia watu wa Namtumbo.
Kwani ni sifa kujenga mbali na Mji? Mji wenu ni slums ndio maana hakuna mpangilio na majengo(mabanda) yanajengws hovyo hovyoLeta makazi ya dodoma 19.5km from CBD, acha kutafuta excuses
Sasa hi nayo ni hotel kweli? Kwa Arusha au Mwanza hizi sini lodges
Leta lodge za Arusha & Mwanza ambazo zinafanana na Visano Dodoma HotelSasa hi nayo ni hotel kweli? Kwa Arusha au Mwanza hizi sini lodges
Sina maneno mengi kama machinga wa kariakooDodoma inajengwa na Serikali πππWivu utakuua π€£π€£
Tuletee Kimoja kama hicho kutoka Mwanza maana nilisema ulete Cha namtumbo ntakuwa nakuonea maana hakipo.
Banda lingine la Mwanza hili hapa linaendelea na ujenzi huko fella 40kmKwani ni sifa kujenga mbali na Mji? Mji wenu ni slums ndio maana hakuna mpangilio na majengo(mabanda) yanajengws hovyo hovyo
View attachment 2754236
Tulikubaliana Mwanza inajengwa na Private sector,hii ni nini tena? ππSina maneno mengi kama machinga wa kariakoo
View attachment 2755588
Kwani hizo ni pesa zako tulia dawa ikuingieππππTulikubaliana Mwanza inajengwa na Private sector,hii ni nini tena? ππ
Tulikubaliana Mwanza haijengwi na Serikali, private sector Iko wapi Sasa ππKwani hizo ni pesa zako tulia dawa ikuingieππππ
Tulikubaliana Mwanza haijengwi na Serikali, private sector Iko wapi Sasa ππ