ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 66,537
- 75,687
Mwanza haijengwi na Serikali bwana πππππππππππππππ
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mwanza haijengwi na Serikali bwana πππππππππππππππ
Private hii hapaTulikubaliana Mwanza haijengwi na Serikali, private sector Iko wapi Sasa ππ
Yaani umekosa Cha kupost unaleta maduka ππPrivate sector
View attachment 2755658
Compare & contrast with DodomaPrivate hii hapaView attachment 2755657
ππhapo hawezi kujibu labda atakuja kuhamisha magoli kama kawaida yakeTulikubaliana Mwanza haijengwi na Serikali, private sector Iko wapi Sasa ππ
Huwezi pata mtaa kama huu huko Slum village ya Mwanza.Mwanza private investments ndio namba moja
View attachment 2755661View attachment 2755662View attachment 2755663View attachment 2755665
Haka kahotel kanadawa yake toka mwaka 1990, dawa yake ni lenana hotelCompare & contrast with Dodoma View attachment 2755660
Hamtaweza hata kuota kuwa na marvelous, amazing, awesome, fantastic street like thisππ
Imagine Mwanza huu mtaa ni mitachache kutoka Bugandoππ.....π€£π€£
Jifunze kupost naona giza na ukunguImagine Mwanza huu mtaa ni mitachache kutoka Bugandoππ.....π€£π€£
Picha ya mwaka 1977Imagine Mwanza huu mtaa ni mitachache kutoka Bugando[emoji116][emoji116].....[emoji1787][emoji1787]
Pembeni ya majengo ya Hospital na Chuo ndiko tunataka π€£π€£π€£π€£Mitaa ya bugando ni hii
View attachment 2755759
Utapata degedege kwa wivuPembeni ya majengo ya Hospital na Chuo ndiko tunataka π€£π€£π€£π€£
Pembeni ya majengo ya Hospital na Chuo ndiko tunataka [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Unaongelea majengo gani? Hata takwimu tu huna, kashindaneni na wilaya ya Bahi kwenye kwenye nyumba za makuti zilizokandikwa kwa udongo.Arusha tumetulia tu ukitoa dar kwa sasa hakuna anaitufikia kwa majengo
WwUnaongelea majengo gani? Hata takwimu tu huna, kashindaneni na wilaya ya Bahi kwenye kwenye nyumba za makuti zilizokandikwa kwa udongo.
Unaonekana ni mweupe kichwan!!Unaongelea majengo gani? Hata takwimu tu huna, kashindaneni na wilaya ya Bahi kwenye kwenye nyumba za makuti zilizokandikwa kwa udongo.