ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 66,537
- 75,687
Hapa mtafika lini? K's Hospital Mbeya ππVipi hiyo hospital ya Mkoa wa Mwanza kuna aibu gani hapo?View attachment 2981479
Kaka achana na kufananisha Mwanza na Mbeya nikutafuta matatizo tu ya afya ya akili!Hapa mtafika lini? K's Hospital Mbeya ππ
View: https://youtu.be/968ykcE8z_s?si=tPMwDAq5rmYHv2KPView attachment 2981487
Mwanza Hakuna Hospital Kali kuzidi Mbeya ,wewe elewa hivyo.Kaka achana na kufananisha Mwanza na Mbeya nikutafuta matatizo tu ya afya ya akili!
Acha ushamba basi who should justify kwamba ulikuwa tulip hotel?. Mbona kama unajikuta sana mwamba, kwamba unaamini sisi hatupajui?. Hata ujinga unatakiwa uwe na kikomo budaa.Hujawahi kukanyaga hoteli yoyote apa Posta najua utabisha sana.Nakusaidia ππjuzi nilikuepo Golden Tulip City Centre ulizia bei ya kulala standard room
Ficha aibu yako, unatuonyesha empty plotsππUnaongelea private owned residential apartments kuna anayeweza kulinganisha na mwekezaji binafsi wa iyumbuπ...waturuki wote wanaojenga SGR wapo huko
- YouTube
Auf YouTube findest du die angesagtesten Videos und Tracks. AuΓerdem kannst du eigene Inhalte hochladen und mit Freunden oder gleich der ganzen Welt teilen.www.google.com
Siingilii battle zenu, ila kuifananisha Mbeya na Mwanza ni kuikosea heshima mwanza, jiji limejaa nyumba za udogo, City centre pamepoa hamna hata majengo ya kisasa, mji upo alongside the road ukienda ndani kidogo tu ni slums kibao. Mbeya na Tanga ni majiji ya mchongo tu, kwangu mimi bora hata Morogoro ina hadhi kidogo.Mwanza Hakuna Hospital Kali kuzidi Mbeya ,wewe elewa hivyo.
Sio mara ya kwanza napiga za utosini ,ni sawa na kwenye Vyuo Mwanza ni zero Kwa Mbeya.
ππTafuta hela ukanyage apo sikumoja na weweAcha ushamba basi who should justify kwamba ulikuwa tulip hotel?. Mbona kama unajikuta sana mwamba, kwamba unaamini sisi hatupajui?. Hata ujinga unatakiwa uwe na kikomo budaa.
Iyumbu Satellite City hiyo....Mwanza haitatokea mitaa iliyopangiliwa kama hiiFicha aibu yako, unatuonyesha empty plots
Narudia kukwambiaSiingilii battle zenu, ila kuifananisha Mbeya na Mwanza ni kuikosea heshima mwanza, jiji limejaa nyumba za udogo, City centre pamepoa hamna hata majengo ya kisasa, mji upo alongside the road ukienda ndani kidogo tu ni slums kibao. Mbeya na Tanga ni majiji ya mchongo tu, kwangu mimi bora hata Morogoro ina hadhi kidogo.
Ukijua namna ya kupost picha nitakujibi hoja zako ..ila endelea kula spanaIyumbu Satellite City hiyo....Mwanza haitatokea mitaa iliyopangiliwa kama hii
Umebakia kupost picha za Ziwa Victoria ....ndio kimebaki kichaka chako .Nilishakwambia picha za Ziwa hata Kigoma,Musoma,Mbamba Bay,Nansio,Bukoba tunazipata hakuna cha ajabu nataka unioneshe "man made features" kwa mfano mtaa mzima(zaidi ya nyumba 1000) apo Mwanza ambao umepangiliwa kama Iyumbu Satellite City..πππUkijua namna ya kupost picha nitakujibi hoja zako ..ila endelea kula spana
WAGG HILL CAMPSITE RESORT
Ecological and natural attractive city ... never in DODOMA desert View attachment 2981666View attachment 2981667
View attachment 2981662
Hapo umeona ziwa tu sio ..kama na nyie mnalo si mposti. ..Umebakia kupost picha za Ziwa Victoria ....ndio kimebaki kichaka chako .Nilishakwambia picha za Ziwa hata Kigoma,Musoma,Mbamba Bay,Nansio,Bukoba tunazipata hakuna cha ajabu nataka unioneshe "man made features" kwa mfano mtaa mzima(zaidi ya nyumba 1000) apo Mwanza ambao umepangiliwa kama Iyumbu Satellite City..[emoji23][emoji23][emoji23]
Siwezi kupost mazingira hiyo ni "natural feature" napost "man made features" ndizo zinazotofautisha maendeleo ya mji husika na mwingine. Kama mazingira ingekua kigezo cha kupima ubora wa mji basi Lushoto,Makete,Mafinga,Njombe zingekua na hadhi ya Jiji zamani sana...ππHapo umeona ziwa tu sio ..kama na nyie mnalo si mposti. ..
Nimepost resort na campsite yenye mazingira mazuri hapo Kwanni na wew usipost mazingira kama hayo kama mnayoView attachment 2981688
Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
Unataka tupost usije kukumbia tu.Siwezi kupost mazingira hiyo ni "natural feature" napost "man made features" ndizo zinazotofautisha maendeleo ya mji husika na mwingine. Kama mazingira ingekua kigezo cha kupima ubora wa mji basi Lushoto,Makete,Mafinga,Njombe zingekua na hadhi ya Jiji zamani sana...ππ
Halafu ukute kajitu kenyewe kafupi cheusi kapiga debe stand kananitunishia misuli. Dunia hii Ina vitu vingi vya ajabu pamoja na hiki.ππTafuta hela ukanyage apo sikumoja na wewe
Bado hujasema [emoji2]Siwezi kupost mazingira hiyo ni "natural feature" napost "man made features" ndizo zinazotofautisha maendeleo ya mji husika na mwingine. Kama mazingira ingekua kigezo cha kupima ubora wa mji basi Lushoto,Makete,Mafinga,Njombe zingekua na hadhi ya Jiji zamani sana...[emoji23][emoji23]
Sifa yangu kubwa humu JF inayonitofautisha na wengine ni uwezo wa kujibu hoja kwa hoja ,facts kwa facts,evidence kwa evidence. Huwa sijibu michambo,porojo,ngonjera,stori za vijiweni hizo peleka Facebook ndio level zakoπππHalafu ukute kajitu kenyewe kafupi cheusi kapiga debe stand kananitunishia misuli. Dunia hii Ina vitu vingi vya ajabu pamoja na hiki.
Hiyo porojo ya kusema ulikuwa tulip hotel dsm inajibiwa kwa fact zipi?. Halafu hiyo ya tafuta Hela uende golden tulip unaona kwako siyo porojo. Au unataka kila mtu aanze kujimwambafy. Anyway jikite kwenye hoja usipende sifa.Sifa yangu kubwa humu JF inayonitofautisha na wengine ni uwezo wa kujibu hoja kwa hoja ,facts kwa facts,evidence kwa evidence. Huwa sijibu michambo,porojo,ngonjera,stori za vijiweni hizo peleka Facebook ndio level zakoπππ
ππevidence kwa evidence ...ushahidi ni hizo picha nilizotupia au nikuongezee nyingine upasuke kabisaHiyo porojo ya kusema ulikuwa tulip hotel dsm inajibiwa kwa fact zipi