kariobangii
JF-Expert Member
- Jul 21, 2023
- 515
- 671
Umezungumzia kwa kanda ya ziwa ila naamini hiyo Mbogwe hata uipambe vipi haiifikii mpanda kwa mpunga na mahindiMbogwe ni level nyingine kwa uzalishaji wa mpunga kwa kanda ya ziwa hakuna eneo linazidi Mbogwe, na kuna migodi ya dhahabu maeneo mengi ndani ya wilaya hiyo
Acha porojo hatufahamiani ni Bora tukabishana tu kwa mambo mengine na si kwa life style. Picha hata google zipo za kutosha by the way uwanja ni wako bro post mpaka uchoke.ππevidence kwa evidence ...ushahidi ni hizo picha nilizotupia au nikuongezee nyingine upasuke kabisa
Kuna migodi ya dhahabu zaidi ya mitano, serikali inapata mapato ya kuelewekaUmezungumzia kwa kanda ya ziwa ila naamini hiyo Mbogwe hata uipambe vipi haiifikii mpanda kwa mpunga na mahindi
Sasa mpaka hapo hujanishawishi kwa kigezo Cha kuchaguliwa,labda uniambie kwa utashi wa wenye maamuzi!
Unakera kweli na kagorofa haka Kila siku na hakaishagi ππNyegezi is going π₯π₯π₯
View attachment 2982307
Huwa mnatuambia Kanda ya Ziwa ana Madini sana,vipi mbona hamjengewi supportive infrastructures? ππ
Storage wanajenga kwa sababu ya Makao Makuu ya nchi! Sasa hiyo storage itasaidia nini mwananchi wa kawaida wa mkoa wa Dodoma? Ka hiyo wewe vita yako ni Mwanza ambayo inauchumi mkubwa kuliko Mbeya na Dodoma!Huwa mnatuambia Kanda ya Ziwa ana Madini sana,vipi mbona hamjengewi supportive infrastructures? ππ
Kanyaga twende Dom ππ
View: https://twitter.com/TanzaniaInvest/status/1785694130707812700?t=NOduEYoejyz9E7x6J5Ln-g&s=19
ππππ¨,Kutoka Bajeti ya Uchukuzi soma Namba Vipi & X ππStorage wanajenga kwa sababu ya Makao Makuu ya nchi! Sasa hiyo storage itasaidia nini mwananchi wa kawaida wa mkoa wa Dodoma? Ka hiyo wewe vita yako ni Mwanza ambayo inauchumi mkubwa kuliko Mbeya na Dodoma!
Bro Mwanza sio mkoa mdogo mambo mengine ya siasa na kubishana achana nayo!
Lakini sio Mali ya Mkoa wa Mwanza.
Hadi mseme shikamoo Dodoma ππStorage wanajenga kwa sababu ya Makao Makuu ya nchi! Sasa hiyo storage itasaidia nini mwananchi wa kawaida wa mkoa wa Dodoma? Ka hiyo wewe vita yako ni Mwanza ambayo inauchumi mkubwa kuliko Mbeya na Dodoma!
Bro Mwanza sio mkoa mdogo mambo mengine ya siasa na kubishana achana nayo!
ππππ Dodoma bado sana licha ya serikali kuwa huko ila hata nusu ya uchumi wa mwanza hawajafikia
Kumbe Kuna Mali za mikoa na zisizo mikoa...mbona bado hujasemaLakini sio Mali ya Mkoa wa Mwanza.
Kwa Sasa Serikali Iko mbioni kuanza kujenga Sgr ya Tanga-Arusha-Musoma ,sijui Mwanza mtasalia na nini maana biashara zitahamia Musoma.
Ya Mwanza maana inaongeza GDP MwanzaKumbe Kuna Mali za mikoa na zisizo mikoa...mbona bado hujasema
Hii ni Mali ya naniView attachment 2983680View attachment 2983681