The Sunk Cost Fallacy
JF-Expert Member
- Dec 1, 2021
- 19,582
- 14,167
Hapo kwenye Jiji la ukweli la Mwanza nionyeshe keep left japo 3 mimi nakupa baadhi tu za Domπkwaiyo serikali ndio imewatangazia wagogo kwamba kwa sasa second city ni dodoma eeh! majiji ya kweli bongo hapa we mgogo ni
mengine ni takataka kama hujui we mgogo! halafu mnachonifurahisha vitu vipo wazi wote mnalijua hilo lakin bado mnaleta tu ligue....ina elekea we ulikuwa na akili sana darasan maana unaonekana ni mgumu sana kuelewa
- Dar
- Mwanza
- Arusha
Dom hatuna slums za huko milimani kama kenge wa Baraslums na hata maskini wapo dunia nzima wewe kama hujui we mgogo wa wapi? India watu wanalala kwenye maboksi barabarani unashangaa mwanza watu kulala kwenye nyumba za bati na umeme! slums mpaka amerca zipo na ndio maana unaskia wazee na watu wanaoishi kwenye mazingira magumu wametengewa maeneo yao uko europer sasa ety unakuja kushangaa mwanza! hv unajua asili ya mgogo ni omba omba? na omba omba maarufu tz katoka dodoma kama unamkumbuka yule mzee matonya? asili ya mgogo ni kuomba na upofu wa macho sasa hapo nan maskini?
Atafunguaje Ili ajiaibishe?Kwani nani ameahindanisha, hivi kwa akili yako ndogo ushawahi kuona mkazi yeyote wa Mwanza anakuja kufungua Uzi humu kujilinganisha na sehemu nyingine!? Nyie kinachowatesa ni inferiority complex
we mgogo una matatizo sana...we si ndio jana ulituma mpaka picha za Mwanza ukidai ni dodoma? kila mtu akakudharau...et umechukua picha ya mwanza unatuambia dodoma! mi hata sitaki kubishana na ww nilichokigundua natumia nguvu kubwa kumbe we unachohitaji ni kupata comment nyingi kwenye uzi wako.....iambie serikali yako bas iitangazie umma kwamba dodoma ndio second city baada ya darHapo kwenye Jiji la ukweli la Mwanza nionyeshe keep left japo 3 mimi nakupa baadhi tu za Dom[emoji116]
View attachment 2082729
View attachment 2082730
View attachment 2082731
View attachment 2082732
View attachment 2082733
kwa comment hizo tulizozijaza kwenye uzi wako zinatosha ngoja tuangalie hoja zenye mashiko kwenye majukwaa mengine ....maana tunaonekana kama wote hatuna akili eti kuishindanisha kijiji hiko na Mwanzaslums na hata maskini wapo dunia nzima wewe kama hujui we mgogo wa wapi? India watu wanalala kwenye maboksi barabarani unashangaa mwanza watu kulala kwenye nyumba za bati na umeme! slums mpaka amerca zipo na ndio maana unaskia wazee na watu wanaoishi kwenye mazingira magumu wametengewa maeneo yao uko europer sasa ety unakuja kushangaa mwanza! hv unajua asili ya mgogo ni omba omba? na omba omba maarufu tz katoka dodoma kama unamkumbuka yule mzee matonya? asili ya mgogo ni kuomba na upofu wa macho sasa hapo nan maskini?
Lumumba,nyerere,salima koni,posta mpa(samaki),airport,wiyalani busweru,kitangiri nkHapo kwenye Jiji la ukweli la Mwanza nionyeshe keep left japo 3 mimi nakupa baadhi tu za Dom[emoji116]
View attachment 2082729
View attachment 2082730
View attachment 2082731
View attachment 2082732
View attachment 2082733
Picha zipi za Mwanza hizo?we mgogo una matatizo sana...we si ndio jana ulituma mpaka picha za Mwanza ukidai ni dodoma? kila mtu akakudharau...et umechukua picha ya mwanza unatuambia dodoma! mi hata sitaki kubishana na ww nilichokigundua natumia nguvu kubwa kumbe we unachohitaji ni kupata comment nyingi kwenye uzi wako.....iambie serikali yako bas iitangazie umma kwamba dodoma ndio second city baada ya dar
Ukiingia katikati ya mji ndio utakoma,unanuka inye balaaa,yaani ni mwendo wa kuziba pua tu muda wotemkuu mji una vumbi balaaaa
Ila ukiingia google ya wazungu mpangilio upo hiviujue hawa wagogo wanatafuta kick tu umu majukwaani lengo lao ni kutaka kuipaisha dodoma ili ionekane kama mji wa maana sana kimbe si lolote si chochote....sababu hakuna mtu asiyefaham kama mwanza ni jiji la pili tanzania hapa ukiondoa Dar!! na ukitaja orodha ya majiji hasa tanzania yapo matatu ayo ndio yanatambulika kama majiji ya ukweli
( 1 ) Dar
( 2 ) Mwanza
( 3) Arusha
ukiangalia hata nick name zao zinapendeza.
Bongo au wenyewe wanapaita town
yaan majina tu ukiangalia yanasadifu umaridhawa wa miji!
- the rock city
- A-town au chuga
Mwanza ina ghorofa ya flow 17 jengo hilo lina sehemu kabisa ya kutua helkopta
maana kuna mdau kasema mwanza hakuna jengo refu linalozid flow 10 sasa nakutumia jengo moja tu halafu utanipa jibu kama hii ni mwanza au washington? utanitag babuView attachment 2082592
Nami napata changamoto hiyo mkuu ningekuwa na drone camera ningetuma picha za maeneo mengi lkn namna ya kuzipata, kuna maeneo kama Nyasaka, buswelu, bwiru, isamilo, buzuruga, mkolani, etcPosta keep left
Nimegundua jiji letu la mwanza halina picha kabisa nimehangaika sana kuzipata hizi.. round about nyingi hata mtandaoni hazimo hiii ni changamoto halafu wengi hatupo mwanza so zinapokuja battle kama inakua ni changamoto kweli kweli kuwanyoosha hawa haters mfano keep left za kitangiri,airport na busweru wilayani kwa chini kama unaelekea kahama hazipo hata mtandaoni View attachment 2082771
Nimeshakuoneaha msimamo wa mbele kwa chini paleeWa chini na wajuu wote umeshindwa kuonyesha sasa kilichobaki nionyeshe msimamo wa nyuma
ππwakajambe mbele uko.....sijui nani aliyewadanganya jaman! hawajui kama uyu jamaa aliyeanzisha hili battle alikuwa na nia tu ya kutaka bandiko lake liwe na comment nyingi wao wamejaa kweli wakiamin bandiko la jamaa ni la kweli! we mwanza imetangulia zaid ya miaka 22 uko eti nyie juz tu hata miaka 6 hamna mnataka battle, ukiangalia mji wenyewe kama jangwa vile hamna kivutio chochote cha maana lakini bado tu mnapata ujasir wa ku battle na jiji ambalo lina
boti , meli & ferry za kutosha
- hali ya hewa fresh
- tunalima mazao karibu yote
- tunachimba madini
- tunafuga
- tunavua
- tuna usafir wa majin
mwanza ndio jiji pekee linalosafirisha minofu nje ya nchi kuna wagogo wengine nadhan mlikuwa bado hamjazaliwa kulikuwa na ile kashfa ya mapank ambayo ili trend dunia nzima sasa ile kashfa ilikuwa madege makubwa yanatua mwanza na kusafirisha Minofu ya sangara nje ya nchi sasa tangu kipindi iyo Mwanza bado inatamba kama jiji, inasikitisha wagogo juzi tu utawala wa magu nao wamepandishwa hadhi kipolitics tu kwa sababu dodoma ndio mji wa kiserikali bas wanaanza battle eti na jiji ambalo kitambo tu limetawadhwa. acheni ushamba wenu wagogo mwanza sio saizi yenu
- uwanja wa ndege tofauti na wenu
- viwanda vya kutosha tofauti na ugogoni uko
Walikuwa wanategemea hisani ya serikali sasa itarudi kwenye level za wakina manyoni, manyara na bariadi hiyo ndio size ya dodomahata Chuga hawaigusi hao wanashindana na the green city...chuga kwa sasa wapo mbali sana ...kwa ufupi serikali imejitahid kuipigania dodoma mpaka kufikia pale ...na magu alifanya vile kama hisan na kuifichia nchi sababu mji wa kiserikali haukupaswa kuwa vile na ndio maana akaelekeza nguvu pale ....ila kwa sasa ameshafariki serikali itahamia dar tena kama mnabisha mtaniambia...si umeona wameshaanza kufanya balaa tena dar... kama lile soko la kariakoo tayar ujenzi wa international shopping mall unaanza kwaiyo nguvu sasa inaelekea dar na waliowekeza dom akili inaanza kuwarudia! wengi waliwekeza dom wakiamini washua wote waliokuwa wanaishi ostabay na masaki wanahamia dodoma...lakin kwa sasa mjomba ameshafariki ma don wote wanarudi za mjini sasa sijui hayo iyo miradi ya kwenye makaratas itakuwaje kwa hapo baadae.sasa hv nguvu imerud dar tena...kama kuna mkongwe yeyote umu wa kigogo muulizen anaujua ule mziki wa boys to men? kama anaujua ndio umeshika hatamu hv sasa sio zamu ya wagogo tena sasa hv ni zamu ya Dar, Pwani & Zanzibar bora hata ya The rock city ilikuwa haitegemei bakuli toka kwa mtu yeyote tu asili ya Ngosha ni kuvimba mwenyewe kufanya kazi....!! MWANZA my city of gallery!!
Kwa hiyo hakuna infrastructure zinazoendelea ww unazan Mwanza imelala, mwanza ina mega projects za maana tulia kijana kunywa uji.Maneno mengi Sana ya kujitetea lakini hamna kitu.
Kutangulia sio kufika, Kwani kila aliyetangulia kuzaliwa ana mali/maisha kuliko aliyechelewa?
Nyie Mwanza Mtaendelea labda kuongoza kwa slums na idadi kubwa ya maskini nothing else..
Dom imeshawapiga knock out mtaishia kulia Lia tuu hapa.Hamna barabara za maana,hamna vyuo vya maana,hamna mzunguko wa pesa wa maana,mnaishi kwenye slums.
Imagine infrastructure za Dom nyingi hazijakamilka lakini mnakimbizwa sipati picha ikikamilika.
Mwanza haitegemei serikali kama wakitaka kuleta maendeleo zaid ni hiyari yao lakini sisi tunasonga nyie kaeni mkitegemea kujengewa nyumba na serikali.Mlichosalia saizi ni kujifariji,ooh serikali ita...ita...πππππ.
Hii kitu huwa nashangaa watu wanapenda kuilinganisha Mwanza na vitu vya ajabuKwani nani ameahindanisha, hivi kwa akili yako ndogo ushawahi kuona mkazi yeyote wa Mwanza anakuja kufungua Uzi humu kujilinganisha na sehemu nyingine!? Nyie kinachowatesa ni inferiority complex