ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 66,537
- 75,687
Wanaokoteza tupicha twa kajengo kamoja Moja wanakuja kuweka ๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃhawawezi na haitatokea wakaonesha picha ya mtaa mzima kwamfano huo uliopangiliwa wa Iyumbu....wanachoweza ni kupost Ziwa Victoria au nyumba moja moja za watu ๐๐
Ngoja tuwasaidie kupost๐๐๐๐๐Wanaokoteza tupicha twa kajengo kamoja Moja wanakuja kuweka ๐คฃ๐คฃ
Wanaona aibu tutaona uswazi wao ๐๐
Kuna baadhi ya huduma za kijamii na hata sekta za kiuchumi za kimkakati zinakuwepo kwa sababu ya mahitaji kutoka kwenye eneo husika.Nimekwambia hospitali apo Mwanza yenye hadhi ni moja tu ya Bugando ya wakatoliki na yenyewe inahudumia almost lake zone yote.Hizo zingine zote ni takataka ni sawa tu na Health Centres ๐๐ndiomana huwezi kupata rufaa ya kwenda apo ....sasa linganisha na Dom wenye๐๐
"Hospitali ya Taifa"
"Hospitali Kuu ya Jeshi"
"Hospitali ya Rufaa ya Kanda"
"Hospitali Maalum ya Macho"
"Hospitali Maalum ya kimkakati"
Jifunze kupost picha ndio tuje tubishaneNgoja tuwasaidie kupost๐๐๐๐๐
Hakuna hospitali ya taifa ya magonjwa ya macho Dodoma bali iliyopo ni DCT MVUMI Hospitali ambayo hadhi yake ni DDH ila ina uzoefu,wataalamu na vifaa vya kutosha kwenye matibabu ya magonjwa ya macho na miwani ndiomana baadhi ya wagonjwa kutoka hata KCMC,Bugando,Muhimbili wanapewa rufaa kwenda Mvumi Hospital.Kwa mfano Hospitali ya macho ya taifa ilijengwa DODOMA kwa sababu Dodoma ilikuwa ndio eneo lenye watu wengi wenye magonjwa ya macho. Facts kama hizi sio za kujisifia.
Unaongea vitu vya vijiweni ..yaani mtu atoke bugando eye clinic aende mvumi.. hospital ya wilaya .. kawadanganye wasandawe wenzioHakuna hospitali ya taifa ya magonjwa ya macho Dodoma bali iliyopo ni DCT MVUMI Hospitali ambayo hadhi yake ni DDH ila ina uzoefu,wataalamu na vifaa vya kutosha kwenye matibabu ya magonjwa ya macho na miwani ndiomana baadhi ya wagonjwa kutoka hata KCMC,Bugando,Muhimbili wanapewa rufaa kwenda Mvumi Hospital.
Wanaokoteza tupicha twa kajengo kamoja Moja wanakuja kuweka ๐คฃ๐คฃ
Wanaona aibu tutaona uswazi wao ๐๐
Toa marango rangi hayo picha haieleweki maana mnatumia marangi kuficha au kupunguza uswazi ๐๐View attachment 2992232
Bado hujasema
๐๐Eti stori za vijiweni unataka kubishana na reality...Magufuli(RIP) alipeleka nduguyake kutoka Chato kwenda kutibiwa Hospitali ya Mvumi Dodoma vp Bugando na Mvumi wapi ni mbali๐๐๐๐๐Unaongea vitu vya vijiweni ..yaani mtu atoke bugando eye clinic aende mvumi.. hospital ya wilaya .. kawadanganye wasandawe wenzio
Kumbe anataka ..nilijua alitangaza mvumi kuwa hospital ya macho ya taifa ...we ni chizi ....๐๐Eti stori za vijiweni unataka kubishana na reality...Magufuli(RIP) alipeleka nduguyake kutoka Chato kwenda kutibiwa Hospitali ya Mvumi Dodoma vp Bugando na Mvumi wapi ni mbali๐๐๐๐๐View attachment 2992303
Aliwahi kumpeleka mzee wake akitokea wapi au hujui wabunge Kuna kipind wanakaa dodoma na ndugu zao ..๐๐Eti stori za vijiweni unataka kubishana na reality...Magufuli(RIP) alipeleka nduguyake kutoka Chato kwenda kutibiwa Hospitali ya Mvumi Dodoma vp Bugando na Mvumi wapi ni mbali๐๐๐๐๐View attachment 2992303
Unabisha ilimradi uonekane na wewe unabishana na mimi ...nimekuuliza ilikuwaje mgonjwa atoke Chato aende kutibiwa Mvumi (zaidi ya km 700) na sio Bugando ambapo ni karibu na Chato kama sio ubora wa DCT Mvumi Hospital ๐๐Kumbe anataka ..nilijua alitangaza mvumi kuwa hospital ya macho ya taifa ...we ni chizi ....
Kumbe anataka ..nilijua alitangaza mvumi kuwa hospital ya macho ya taifa ...we ni chizi ....
Unapiga picha usiku ili u-edit๐๐....ukipost kama hizi zinazoonesha mtaa mzima uhalisia ndio tutajua hujaedit๐๐View attachment 2992232
Bado hujasema
Na post hizi slum za nzuguni..zilivyokaa kama mkutano wa nziUnapiga picha usiku ili u-edit๐๐....ukipost kama hizi zinazoonesha mtaa mzima uhalisia ndio tutajua hujaedit๐๐View attachment 2992335
Unapiga picha usiku ili u-edit๐๐....ukipost kama hizi zinazoonesha mtaa mzima uhalisia ndio tutajua hujaedit๐๐View attachment 2992335
Mbona hatuzioni apo slums kamahizi๐๐...very clear kabisa๐๐Na post hizi slum za nzuguni..zilivyokaa kama mkutano wa nziView attachment 2992342