Keep left kwa Mwanza ndio mahala pake sema nikutumie keep left za buswelu tu ndio zinapaswa ushindane nazo lkn sio za Mwanza, pili nimeona nabishana na mtu ambaye hajawahi kufika Mwanza, na kama ungekuwa umefika usingeuliza swali la kijinga kama ili.Hapo kwenye Jiji la ukweli la Mwanza nionyeshe keep left japo 3 mimi nakupa baadhi tu za Dom👇
View attachment 2082729
View attachment 2082730
View attachment 2082731
View attachment 2082732
View attachment 2082733
View attachment 2082739
Hakika mkuu kama hapa nimetafuta keep left ya nyerere iliyopigwa kwa juu nimechemsha ikanibidi nichukue picha ya riberty nzimaNami napata changamoto hiyo mkuu ningekuwa na drone camera ningetuma picha za maeneo mengi lkn namna ya kuzipata, kuna maeneo kama Nyasaka, buswelu, bwiru, isamilo, buzuruga, mkolani, etc
Buswelu kuna round about kubwa sana zipo mbili kuna ile ya barabara ya sabasaba kiseke adi busweru kwenda na nyamadoke na ya sasa ni kubwa na nzuri zaid ambayo ujenzi unaendele ipo hapo wilayani ilemela kwenye barabara ya kuelekea kahama karibu na mall mpya ya mtu binafsi ukipata muda utaenda ata kupiga picha tuongeze kwenya gallery yetu.Hakika mkuu kama hapa nimetafuta keep left ya nyerere iliyopigwa kwa juu nimechemsha ikanibidi nichukue picha ya riberty nzima
Pia kuhusu drone ni jambo zuri sana wish nikirudi home nitachukua picha za kutosha jiji la mwanza linavitu vingi vizuri sana ila hata kwenye net hazipo mfano kuna siku nilikua mjini naenda nyasaka nikapitia njia ya sakafa,lake,mji mwema hadi kilimahewa aisee hio barabara ni nzuri sijapata kuona imekaa kishua sana la kwenye net haipo hata barabara ya sabasaba to busweru nayo haipo sijui tatizo ni nini
Aisee kumbe pale makutano ya busweru wameweka round about 2019 nilienda pale wilayani masuala ya nida walikua bado kwenye ujenzi bila shaka ule mti waliukataBuswelu kuna round about kubwa sana zipo mbili kuna ile ya barabara ya sabasaba kiseke adi busweru kwenda na nyamadoke na ya sasa ni kubwa na nzuri zaid ambayo ujenzi unaendele ipo hapo wilayani ilemela kwenye barabara ya kuelekea kahama karibu na mall mpya ya mtu binafsi ukipata muda utaenda ata kupiga picha tuongeze kwenya gallery yetu.
sasa muulize hizo round about zipo dodoma? tena kali hatarLumumba,nyerere,salima koni,posta mpa(samaki),airport,wiyalani busweru,kitangiri nk
Pale wilaya wamefanya mambo makubwa japo ujenzi bado unaendelea natamani kwenye hizo keep left za buswelu wangeweka bustani nzuri kama pale samaki.Aisee kumbe pale makutano ya busweru wameweka round about 2019 nilienda pale wilayani masuala ya nida walikua bado kwenye ujenzi bila shaka ule mti waliukata
Ile ya hapo wilayani nayo niliiacha ila hakukua na taratibu zozote nashukuru kama wanaiendeleza
Huyo jamaa hopeless kabisa hakuna anachojua zaid y a ubishisasa muulize hizo round about zipo dodoma? tena kali hatar
Mshamba mmoja anakuja et natupicha twa keep left za dodoma nikamzoom niasema hiiiiii yaaaaniii.sasa muulize hizo round about zipo dodoma? tena kali hatar
Hana exposure.Huyo jamaa hopeless kabisa hakuna anachojua zaid y a ubishi
mifano ipo mingi sana mgogo hata mm pia nina mifano yangu, wewebumezaliwa na wazazi wako bado mtoto mdogo, unakula na kulala kwa wazazi wako....mimi pia mtoto mdogo lakin kwa wakati huo najitegemea, nimepanga chumba kwamaana kwamba nalipa kodi na kula nakula kwa kujitegemea, sina kitu chochote zaid ya chumba yaan hata kitanda sina....jeh! unaweza uka battle na mimi? kwaiyo niliyetangulia nimetangulia tuManeno mengi Sana ya kujitetea lakini hamna kitu.
Kutangulia sio kufika, Kwani kila aliyetangulia kuzaliwa ana mali/maisha kuliko aliyechelewa?
Nyie Mwanza Mtaendelea labda kuongoza kwa slums na idadi kubwa ya maskini nothing else..
Dom imeshawapiga knock out mtaishia kulia Lia tuu hapa.Hamna barabara za maana,hamna vyuo vya maana,hamna mzunguko wa pesa wa maana,mnaishi kwenye slums.
Imagine infrastructure za Dom nyingi hazijakamilka lakini mnakimbizwa sipati picha ikikamilika.
uyu jamaa ukwel anaujua sema anahitaji comment nyingi kwenye bandiko lakePosta keep left
Nimegundua jiji letu la mwanza halina picha kabisa nimehangaika sana kuzipata hizi.. round about nyingi hata mtandaoni hazimo hiii ni changamoto halafu wengi hatupo mwanza so zinapokuja battle kama inakua ni changamoto kweli kweli kuwanyoosha hawa haters mfano keep left za kitangiri,airport na busweru wilayani kwa chini kama unaelekea kahama hazipo hata mtandaoni View attachment 2082771
dodoma hamna kituIla ukiingia google ya wazungu mpangilio upo hivi
1.Dar
2.Mwanza
3.Zanzibar
4.Arusha
5.Tanga
6.Mbeya
7.sijaona Dodoma
Hii orodha zijaiweka mimi wala sijatunga mbele za mungu we ingia google utaona kama nadanganya kiongozi, top 3 ni Dar.Mwanza na zanzinar.dodoma hamna kitu
Nyasaka wana barabara nzuri sn, pamoja na kilimahewa adi mji mwema na ile ya isamilo adi mji mwema utazan upo baverry hill huko USA.Hakika mkuu kama hapa nimetafuta keep left ya nyerere iliyopigwa kwa juu nimechemsha ikanibidi nichukue picha ya riberty nzima
Pia kuhusu drone ni jambo zuri sana wish nikirudi home nitachukua picha za kutosha jiji la mwanza linavitu vingi vizuri sana ila hata kwenye net hazipo mfano kuna siku nilikua mjini naenda nyasaka nikapitia njia ya sakafa,lake,mji mwema hadi kilimahewa aisee hio barabara ni nzuri sijapata kuona imekaa kishua sana la kwenye net haipo hata barabara ya sabasaba to busweru nayo haipo sijui tatizo ni nini
zingepatikana hizo ingekuwa poa sana maana sasa hv vimji vinavyokuwa kupitia mabakuli ya serikali vyote vinataka ku battle na mwanza....sasa kama dodoma jaman nayo ya ku battle na mwanza? hv tumewakosea nn hawa wagogo kwann wasijishindanishe na mbeya au tanga? wanatia hasira sana hawa...Arusha wana battle na mwanza......dodoma wana battle na mwanza....kwani mwanza kuna nn?Hakika mkuu kama hapa nimetafuta keep left ya nyerere iliyopigwa kwa juu nimechemsha ikanibidi nichukue picha ya riberty nzima
Pia kuhusu drone ni jambo zuri sana wish nikirudi home nitachukua picha za kutosha jiji la mwanza linavitu vingi vizuri sana ila hata kwenye net hazipo mfano kuna siku nilikua mjini naenda nyasaka nikapitia njia ya sakafa,lake,mji mwema hadi kilimahewa aisee hio barabara ni nzuri sijapata kuona imekaa kishua sana la kwenye net haipo hata barabara ya sabasaba to busweru nayo haipo sijui tatizo ni nini
Huyo jamaa yeye ni mtu wa njombe lkn kila post inyohusu Mwanza lazima aje haipondee ata ww ukianzisha uzi wa Mwanza vs Tandahimba lazim atakuja na kusema Tandahimba ni zaid na atatuma zile report za 2012 zikionesha mwanza ni mkoa masikini tena hatakuwa anairudia hiyo post mara mia moja, huyoa ndio opportunity cost sasa hivi anajiita sijui sunk cost fallacy.Huyo jamaa hopeless kabisa hakuna anachojua zaid y a ubishi
Tatizo tuna upungufu wa picha itabidi niongee na mr drone camera japo na yeye kapotea sn.zingepatikana hizo ingekuwa poa sana maana sasa hv vimji vinavyokuwa kupitia mabakuli ya serikali vyote vinataka ku battle na mwanza....sasa kama dodoma jaman nayo ya ku battle na mwanza? hv tumewakosea nn hawa wagogo kwann wasijishindanishe na mbeya au tanga? wanatia hasira sana hawa...Arusha wana battle na mwanza......dodoma wana battle na mwanza....kwani mwanza kuna nn?
mwenye access ya kuvipata afanya hivyo maana kuna watu wanatia hasira sana umu majukwaanBuswelu kuna round about kubwa sana zipo mbili kuna ile ya barabara ya sabasaba kiseke adi busweru kwenda na nyamadoke na ya sasa ni kubwa na nzuri zaid ambayo ujenzi unaendele ipo hapo wilayani ilemela kwenye barabara ya kuelekea kahama karibu na mall mpya ya mtu binafsi ukipata muda utaenda ata kupiga picha tuongeze kwenya gallery yetu.
Chuki zitamuuaHuyo jamaa yeye ni mtu wa njombe lkn kila post inyohusu Mwanza lazima aje haipondee ata ww ukianzisha uzi wa Mwanza vs Tandahimba lazim atakuja na kusema Tandahimba ni zaid na atatuma zile report za 2012 zikionesha mwanza ni mkoa masikini tena hatakuwa anairudia hiyo post mara mia moja, huyoa ndio opportunity cost sasa hivi anajiita sijui sunk cost fallacy.
Wanatuchukulia poa sana ila tutawanyooshazingepatikana hizo ingekuwa poa sana maana sasa hv vimji vinavyokuwa kupitia mabakuli ya serikali vyote vinataka ku battle na mwanza....sasa kama dodoma jaman nayo ya ku battle na mwanza? hv tumewakosea nn hawa wagogo kwann wasijishindanishe na mbeya au tanga? wanatia hasira sana hawa...Arusha wana battle na mwanza......dodoma wana battle na mwanza....kwani mwanza kuna nn?