Ya dodoma imekaa kama sehemu ya parade la wanafunzi wa seminary.Kwani huijui? Ni mbaya kama hayo magodown ya hapo Mwanza mnaita stendi?
π¨π¨π¨π¨ππYa dodoma imekaa kama sehemu ya parade la wanafunzi wa seminary.
Dom the Capital City ππView attachment 3011235unaweza kuhisi ni dubai kumbe bongo tena mwanza. Tembelea mwanza maeneo kama hayo hutojutia. Siyo unaenda mwanza unakomea mabatini sehemu za kihistoria.
Achana na capital cty ya jangwa.
Bado hujasema Mtu wa Mwanza uswazini Hadi useme ππAchana na capital cty ya jangwa.
π¨π¨ Maskini Mwanza ππππMtatumia nguvu sana ila bado. Mwanza ni jeshi la mtu mmoja halihitaji kupora pesa za walipa kodi kulipendezesha.
Chuo Cha vichaa hujengwa mahala penye uhitaji. Changamkia fursa sasa.
Lengo ni kuwarekebisha nyie vichaa.Chuo Cha vichaa hujengwa mahala penye uhitaji. Changamkia fursa sasa.