Wapi Mwanza University ππππ
Collection of ugly poor huts ππView attachment 3023423View attachment 3023424View attachment 3023425
Suala la uzuri wa mji. Unaweza kuzoom
Make up ππView attachment 3023429
Kijipande kiduchu
Soma taratibu usije kuzilaiππView attachment 3023426View attachment 3023427
Majirani zake na malaika kule ilemela nao wanajikuna panapowawasha. Moto ndo kwanza unalipuka kama umewekewa petrol.
Mwanza tushatangulia long sana, sema mnafuata nyayoSoma taratibu usije kuzilaiππView attachment 3028778
Labda mumetangulia Kwa Bunda ila sio DomMwanza tushatangulia long sana, sema mnafuata nyayo
Labda mumetangulia Kwa Bunda ila sio Dom
Dodoma Ina 5 Star hotel nyingi kushinda Mwanza πππView attachment 3029504View attachment 3029505
Tushajenga long time tupo tunafanya final touches na mzigo ashauchukua Radisson ambaye atakuwa na hotel mbili tu kwa Tanzania Moja ikiwa Dsm.
5 star hotel unazifahamu lakini, hebu tupatie majina ya hizo hotel tukusaidie kukuelimishaDodoma Ina 5 Star hotel nyingi kushinda Mwanza πππ
Mwanza nzima ziko hoteli 2 tuu ikiwemo hilo gofu ambalo halifanyi kazi π€ͺπ€ͺ
πππ Si Bora ghofu kuliko storyDodoma Ina 5 Star hotel nyingi kushinda Mwanza πππ
Mwanza nzima ziko hoteli 2 tuu ikiwemo hilo gofu ambalo halifanyi kazi π€ͺπ€ͺ
Five Star hotel nyingi ziko dodoma? emu tutajie hizo hotelDodoma Ina 5 Star hotel nyingi kushinda Mwanza πππ
Mwanza nzima ziko hoteli 2 tuu ikiwemo hilo gofu ambalo halifanyi kazi π€ͺπ€ͺ
Mwamba haelewi hata maana ya 5 star hotel.Five Star hotel nyingi ziko dodoma? emu tutajie hizo hotel
Zimeelezwa sana humu ndani ,rejea post za nyumaFive Star hotel nyingi ziko dodoma? emu tutajie hizo hotel
πππ¨ Dodoma wanauza viwanja tuu hakuna kitu pale π€£π€£π€£π€£π€£Mwamba haelewi hata maana ya 5 star hotel.
Leta five star hapa tukunawishe to go tongoπππ¨ Dodoma wanauza viwanja tuu hakuna kitu pale π€£π€£π€£π€£π€£
Alisikika looser mmja kutoka Mwanza isl Slum akijirariji ππ
View: https://twitter.com/ChenMingjian_CN/status/1807789386961973321?t=D-MMqm37FrXYr2EA94Aqgg&s=19
Bestern Western City Hotel unaijua?Leta five star hapa tukunawishe to go tongo