Huko Mwanza hakunaga picha Mpya? 😆😆😆
Hii ni shule au hoteli?
ApartmentHii ni shule au hoteli?
Serikali ya nchigani ...Rwanda au Burundi😆😆na serikali, mnatamba kwa Hela za
Hiyo hiyo inayokuijia kichwani.Serikali ya nchigani ...Rwanda au Burundi😆😆
Wewe endelea kujifariji kwa vipicha vyako kilasiku ...sijaona mtandao wa barabara za lami kama Dodoma .View attachment 3080682View attachment 3080683View attachment 3080684View attachment 3080685
Buswelu, watu wanajenga kwa pesa zao na si kwa kutegemea mashirika ya kiserikali ya NHC, watumishi housing n.k
Tulia kwanza nikushoneWewe endelea kujifariji kwa vipicha vyako kilasiku ...sijaona mtandao wa barabara za lami kama Dodoma .
Nikuulize swali hiyo Serikali ndio imewajengeà wakazi wa Dom nyumba zao,malls zao,viwanda vyao 😂😂😂
Kaka acha utani kabisa! Buswelu ni sehemu watu binafsi wanajenga sana ila kwa vile mmekalili maisha ndo kinakufanya ubeze maendeleo hayo japo ukweli unajua!Wewe endelea kujifariji kwa vipicha vyako kilasiku ...sijaona mtandao wa barabara za lami kama Dodoma .
Nikuulize swali hiyo Serikali ndio imewajengeà wakazi wa Dom nyumba zao,malls zao,viwanda vyao 😂😂😂
Wala hatutumii nguvu sana kumwelimisha. Sehemu hot ni nyingi tu ajipange.Kaka acha utani kabisa! Buswelu ni sehemu watu binafsi wanajenga sana ila kwa vile mmekalili maisha ndo kinakufanya ubeze maendeleo hayo japo ukweli unajua!